Wakuu mambo niaje,
Nahitaji ku install app ambayo nikiplay wimbo popote na kuifungua hiyo app iwe na uwezo wa ku-play lyrics yake automatically.
Msaada wenu wakuu.
Mambo Kuna mtu yupo uarabuni(saudia), nimemuomba anichukulia iphone 5s, lakini ninachanganya kati ya iphne 5s na iphone 5se(sijui ipi ni bora zaidi) naombeni msaada kwa mnaozijua vizuri, naomba...
Nina Pc yangu ndogo Lenovo think pad! Core i5 sasa nilikuwa naitumia ghafla ikawa inaandika FAN ERROR nikiiwasha so nikawa siwezi kuitumia baadae ikawa inakubari tena inazingua nikapeleka kwa...
Habari zenu wadau,natamani sana
kujua mobile app zinatengenezwaje nikisha install android studio hatua zipi zinafuata ili nitengeneze ya app yngu.Idea nnayo tayari
Habari za muda huu wadau,nimepatwa na tatizo ambalo nimeshindwa nilitatue vipi.
Nina external HardDisk aina ya TRANSCEND storejet GB 500,ghafla imepotea haionekani kwenye pc bali taa yake inawaka...
Wakuu waya wa charge ya PC yangu inapitisha moto lakini haichajishi PC inaniandikia maelezo kuwa AC ADAPTER HAS WAT WAT ATA SIELEWI MWENYE UUJUZI ANISAIDIE TAFADHALI.
Habarini wana JF
Naomba mnisaidie ni kitu gani kimekuvutia mpaka umeamua kutumia aina na simu unayotumia ( Iphone,Samsung,LG, HTC.....)
Mimi napenda iphone kwasababu ya security na pia inakaa na...
Simu ya Iphone 7 imedaiwa kusababisha kuwaka kwa moto katika gari
moja huko nchini Australia.
Mmiliki wa simu hiyo Matt Jones anasema aliiacha simu yake katika gari
na kuelekea darasani na ndipo...
Kampuni ya Google Jana ilizindua messaging app mpya inayoitwa allo itakayokuwa ikitumia namba za simu kama mtandao wa watsapp, allo imetofautiana kidogo na whatsapp kwani inakupa vitu vingi katika...
Habari waungwana,
Naomba kuuliza kuhusu mtu mwenye ujuzi la laptop. Nina laptop aina ya Sony Vaio ila haikubali game kila nikiweka program au cd ina sema sijui graphic haipo supported na vitu...
samsung S4 nikiweka laini inasoma kuwa imo na hata sehemu inayoonesha mnara ipo poa ila inaniandikia No service tangu jana mchana, nimejaribu kuweka laini za mtandao mwingine ila tatizo bado lipo.
Wakuu Habari za huku? ni wazi kuwa upatikanaji wa microcontroller Ni changamoto hasa kwa wanafunzi na hobysist wanaotaka kuautomate vitu/shughuli mbalimbali! Lakini sasa ondoa shaka kwani Sasa...
wandugu habar zenu..... pc yangu elitebook nikiiwasha inaandika "Non system disk or disk error replace and strike any key when ready" tatizo nini apo wakuu mana mi siko deep na haya mambo.
Samahanini ndg zng nimekuwa nikipata wakat mgumu wa kudownload miziki hasa ile ya nyuma maana baadhi ya app ninazozijua hazina sehemu ya ku-search!hivyo bac naomba mnijuze app zenye sehemu ya...