mareeTZ
Senior Member
- Jun 4, 2015
- 171
- 179
Kampuni ya Google Jana ilizindua messaging app mpya inayoitwa allo itakayokuwa ikitumia namba za simu kama mtandao wa watsapp, allo imetofautiana kidogo na whatsapp kwani inakupa vitu vingi katika kureply SMS. Je Google wataweza kufua dafu au ndo watakuwa kama telegram... Tusubiri