Google waja na mpinzani wa WhatsApp

Google waja na mpinzani wa WhatsApp

mareeTZ

Senior Member
Joined
Jun 4, 2015
Posts
171
Reaction score
179
Kampuni ya Google Jana ilizindua messaging app mpya inayoitwa allo itakayokuwa ikitumia namba za simu kama mtandao wa watsapp, allo imetofautiana kidogo na whatsapp kwani inakupa vitu vingi katika kureply SMS. Je Google wataweza kufua dafu au ndo watakuwa kama telegram... Tusubiri
 
Pia inakupa option ya kujibu jumbe bila kutype kwa kukuonesha suggestions mbalimbali
1474519759372.png
1474519764901.png
1474519770300.png
1474519775610.png
1474519779503.png
karibu allo
 
Uzuri wa Google security hapo itakua ya juu sana ukilinganisha na whatsapp. Ngoja nijipakulie hiyo kitu.
 
kampuni ya Google Jana ilizindua messaging app mpya inayoitwa. allo itakayokuwa ikitumia namba za simu kama mtandao wa watsapp allo imetofautiana kidogo na whatsapp kwani inakupa vitu vingi katika kureply SMS. je Google wataweza kufua dafu au ndo watakuwa kama telegram... tusubiri
Inapatikana kwenye OS gan na kwa jina gani?
 
Wangekuwa kama Telegram waweke hadi app ya pc ingekuwa poa sana kwangu
 
Back
Top Bottom