ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,146
- 7,683
Nina Pc yangu ndogo Lenovo think pad! Core i5 sasa nilikuwa naitumia ghafla ikawa inaandika FAN ERROR nikiiwasha so nikawa siwezi kuitumia baadae ikawa inakubari tena inazingua nikapeleka kwa Fundi akazingua kutengeneza fundi mwingine akasema tubadiri Fan akabadiri lakini tatizo bado sasa hivi inaandika Fan Error ila ukibonyeza Caps inawaka ila inapata moto sanaa sasa je nifanyaje
Mafundi wote wamezingua au kuna tatizo jingine msaada Tafadhari!!!
Mafundi wote wamezingua au kuna tatizo jingine msaada Tafadhari!!!