Iphone 7 yasababisha mlipuko huko Australia

Iphone 7 yasababisha mlipuko huko Australia

poposindege

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2010
Posts
456
Reaction score
175
Simu ya Iphone 7 imedaiwa kusababisha kuwaka kwa moto katika gari
moja huko nchini Australia.

Mmiliki wa simu hiyo Matt Jones anasema aliiacha simu yake katika gari
na kuelekea darasani na ndipo aliporudi na kuona moshi mzito ukitoka katika gari
na alipofungua mlango wa gari aligundua kuungua kwa vitu vilivyomo ndani ya gari.

Alikuta jozi ya suruali aliyoiacha ndani ya gari ikiwa imeshika moto na chini yake kulikuwa na simu ya iphone 7 ambayo nayo ilikuwa imeungua vibaya.

"Wakati naangalia nikaona simu ikiwa kama imeyeyuka. Hakuna shaka kwamba simu hii imekuwa chanzo cha moto", alisema Matt Jones.na kuongeza kuwa "Na hakukua na vitu vingine vyenye kusababisha moto zaidi ya simu"

Betri za lithium-ion zinaelezwa huweza kusabaisha mlipuko endapo zitagongwa au kupata joto kali. Kampuni ya Apple Inc wamekataa kutoa maoni yao kuhusiana na tukio hilo, na walibainisha kuwa watafanya uchunguzi wao wenyewe kilichosababisha kutokea mlipuko huo.

Kumbuka matukio ya ulipukaji wa simu yaliliripotiwa kutokea kwa Simu za Samsung Galaxy Note 7 kiasi cha kupelekea kampuni hiyo kusitisha utoaji wa simu hizo.
iphone7.png

iphone.png

Link:
iPhone 7 пошел по стопам Galaxy Note 7? – Naked Science

NB: matukio ya ulipukaji ya iphone huko siku za nyuma
http://www.telegraph.co.uk/news/2016/08/02/exploding-iphone-leaves-man-with-third-degree burns/
http://www.smh.com.au/technology/mo...ns-after-iphone-exploded-20160801-gqirdx.html
Briton Burned After iPhone Explodes In Pocket
 
afadhali nazo zimenza kulipuka maana waliwatumia nafasi ya kulipuka kwa note7 kuuza sana iphone7
 
Hivi Hizi simu zetu si zinatumia Lithium ion Batteries?

People need to learn kwamba Li-ion batteris ni hatari,ndo maana kama umewahi agiza mizigo nje several times kuna Shipping couriers wana charge extra cost ya ku handle Li-ion battery na kuna kampuni hazikubali kabisa sababu hizi battery zina pontetial ya kulipuka.

Nafikiri baada ya Note 7 tumeanza sikia watu waki exagerate hizi habari,mm naona improper handling ya hivi vifaa inaweza sababisha matatizo kama haya

#Ushauri_wangu

People need to be taught the chemistry of Li-Ion and its potential of exploding and proper handling of devices utilizing such batteries
 
Hizi namba saba zinanini?? Iphone 7, note 7...
 
Mwaga mboga nimwage ugali.
Biashara Biashara Biashara huu ni zaidi ya wimbo wa taifa
 
Simu ya Iphone 7 imedaiwa kusababisha kuwaka kwa moto katika gari
moja huko nchini Australia.

Mmiliki wa simu hiyo Matt Jones anasema aliiacha simu yake katika gari
na kuelekea darasani na ndipo aliporudi na kuona moshi mzito ukitoka katika gari
na alipofungua mlango wa gari aligundua kuungua kwa vitu vilivyomo ndani ya gari.

Alikuta jozi ya suruali aliyoiacha ndani ya gari ikiwa imeshika moto na chini yake kulikuwa na simu ya iphone 7 ambayo nayo ilikuwa imeungua vibaya.

"Wakati naangalia nikaona simu ikiwa kama imeyeyuka. Hakuna shaka kwamba simu hii imekuwa chanzo cha moto", alisema Matt Jones.na kuongeza kuwa "Na hakukua na vitu vingine vyenye kusababisha moto zaidi ya simu"

Betri za lithium-ion zinaelezwa huweza kusabaisha mlipuko endapo zitagongwa au kupata joto kali. Kampuni ya Apple Inc wamekataa kutoa maoni yao kuhusiana na tukio hilo, na walibainisha kuwa watafanya uchunguzi wao wenyewe kilichosababisha kutokea mlipuko huo.

Kumbuka matukio ya ulipukaji wa simu yaliliripotiwa kutokea kwa Simu za Samsung Galaxy Note 7 kiasi cha kupelekea kampuni hiyo kusitisha utoaji wa simu hizo.
View attachment 423970
View attachment 423972
Link:
iPhone 7 пошел по стопам Galaxy Note 7? – Naked Science

NB: matukio ya ulipukaji ya iphone huko siku za nyuma
http://www.telegraph.co.uk/news/2016/08/02/exploding-iphone-leaves-man-with-third-degree burns/
Sydney bike rider Gareth Clear left with third-degree burns after iPhone 'explodes'
Briton Burned After iPhone Explodes In Pocket
hahahaaaaa, Samsung wamechemsha, wanataka na Iphone nao wachemshe, yaani macho madogo wanatumia ujanja wa kizamaaaaani. Keep It Up Iphone!!!!!!!!!!!!!
 
hahahaaaaa, Samsung wamechemsha, wanataka na Iphone nao wachemshe, yaani macho madogo wanatumia ujanja wa kizamaaaaani. Keep It Up Iphone!!!!!!!!!!!!!
Ngoja na utasikia mengine zaidi ya hili.

Huyu alianza wenzie wanamaliza kabisa.
 
Aliiacha simu kwenye gari akaenda darasani...haya bwana😵
 
Simu ya Iphone 7 imedaiwa kusababisha kuwaka kwa moto katika gari
moja huko nchini Australia.

Mmiliki wa simu hiyo Matt Jones anasema aliiacha simu yake katika gari
na kuelekea darasani na ndipo aliporudi na kuona moshi mzito ukitoka katika gari
na alipofungua mlango wa gari aligundua kuungua kwa vitu vilivyomo ndani ya gari.

Alikuta jozi ya suruali aliyoiacha ndani ya gari ikiwa imeshika moto na chini yake kulikuwa na simu ya iphone 7 ambayo nayo ilikuwa imeungua vibaya.

"Wakati naangalia nikaona simu ikiwa kama imeyeyuka. Hakuna shaka kwamba simu hii imekuwa chanzo cha moto", alisema Matt Jones.na kuongeza kuwa "Na hakukua na vitu vingine vyenye kusababisha moto zaidi ya simu"

Betri za lithium-ion zinaelezwa huweza kusabaisha mlipuko endapo zitagongwa au kupata joto kali. Kampuni ya Apple Inc wamekataa kutoa maoni yao kuhusiana na tukio hilo, na walibainisha kuwa watafanya uchunguzi wao wenyewe kilichosababisha kutokea mlipuko huo.

Kumbuka matukio ya ulipukaji wa simu yaliliripotiwa kutokea kwa Simu za Samsung Galaxy Note 7 kiasi cha kupelekea kampuni hiyo kusitisha utoaji wa simu hizo.
View attachment 423970
View attachment 423972
Link:
iPhone 7 пошел по стопам Galaxy Note 7? – Naked Science
t
Что такое вообще. Это все глупо .. Этот телефоне очень дороже стоит. Надо быть осторужно!!
 
Back
Top Bottom