KUHUSU SOKA LETU NCHINI TANZANIA, TUJADILI KUOKOA MPIRA WA MIGUU NCHINI(TATHIMINI).
Bandugu naitwa Don Nalimison Mwanamziki na mdau wa soka Duniani Mimi sio kocha Bali kocha ambaye ni shabiki...
=======
Aston Villa’s Smith discusses Samatta and Betrand Traore omission in Sheffield United win
Mbwana Samatta was omitted from the Aston Villa squad that defeated Sheffield United 1-0 on...
KAZI ya kwanza ya beki anapokua uwanjani ni kuzuia mashambulizi. Anafanya hivyo akihakikisha mipira hatari inayoweza kusababisha bao haimfikii golikipa. Kwa kufanya hivi, beki anawazuia wachezaji...
Tff ndie mdau wa kwanza wa mpira nchini kwetu hamna sera yeyote ile hata kutueleza nia yenu siku moja hatujawahi kusikia kuhusu sehemu za kuchezea yaani pitch. Inasikitisha kwakweli kwa taasisi...
Mimi naanza na huyu Sergio Ramos, ni miongoni mwa wachezaji wanaochukiwa na timu pinzani kutokana na aina yake ya uchezaji, jihadi bila kusahau kebehi zake.
Karibu kwa mjadala...
Kuna maneno mengi sana kwenye magroup yakiwahushisha asilimia kubwa kuihujumu timu aidha kuihujumu GSM
Wanadai wanawambia sana taratibu za kusaidia timu wanaonekana waongo wanawasikiliza sana...
Habari wadau,
kumekuwepo wimbi la wachambuzi wa mpira hasa wa miguu hapa nchini. Je wewe yupi unamkubali, na kwa vigezo gani?
Ainisha hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni list ya wachezaji wa Brazil ambao wamecheza zama tofauti, chagua mmoja ambaye unamkubali zaidi.
Chaguo langu ni Ronaldo De lima, jamaa ni bora sana kuliko wote hapo.
Wachezaji sita wa Simba wa kimataifa wameitwa kwenye timu zao za Taifa. Wachezaji wa Yanga imekuwaje hata hawachezei timu zao za Taifa. Hii ina maana gani kwa soka la Bongo? Wamenunua makapi au...
Kichwa cha habari kinajieleza.
Kwa nini kiwanja pande hizi?
Jibu: Ni rahisi kufikika na mashabaki hata wa mikoani. Jiji la Dar linakua kuelekea Kibaha na Bagamoyo. Hivyo kujenga uwanja pande...
Mdau wa football...
Katika maisha ya soka kuna wachezaji waliocheza timu moja mara 2..
Yaani akauzwa, au mkataba wake ukaisha akaondoka then akarudi tena kwenye klabu yake ya zamani na maisha...
Inaniuma sana nikiwa Kama shabiki wa soka mkubwa. Hasa nikiwatazama mahasimu wakubwa wa soka waliokuwa wakinogesha soka kwa uhasimu wao uliowekwa na mashabiki wa soka duniani?
Majina yao...
Naona kama kalenda ya kimataifa imebana hadi tarhe 17 na team kama simba ina wachezaji sita wa kimataifa wameitwa huko bado hapa ndani kwetu sijui itakuwaje?
TFF waliliangalia hili, angalau wao...
Ni Simba SC dhidi ya African Lyon pale Azam Complex. Mechi itaanza hivi punde ni mechi ya kirafiki kuwapa burudani watanzania wote.
Mako dinda mako stamina. Bendera chuma mlingoti chuma.....Show Show
Naanza na Salamu ya Daima Mbele Nyuma Mwiko.
Mimi nikiwa Mwanachama na Mfuasi wa Timu ya Wananchi Kindakindaki kwakweli Mpira walioucheza Simba SC Jana dhidi ya Biashra United umetushituwa sana...
Wiki mbili zilizopita hapa hapa Uwanja wangu wa 'Kujidai' katika huu Mtandao wangu pendwa kabisa wa JamiiForums nilikuja na 'Uchambuzi' wangu wa Kuwahusu Wachezaji Wawili wa Wapinzani wangu (wetu)...
Anaandika @exaud_msaka_habari
Leo nimewaza Jinsi swala la @bm3gh linavyopotea kirahisi nikajisemea hapana ngoja niwe kila mwezi nakumbusha mara moja mpaka tumpate mchawi.
Yani naona kama Movie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.