wakimataifa.
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 1,625
- 554
Kuna maneno mengi sana kwenye magroup yakiwahushisha asilimia kubwa kuihujumu timu aidha kuihujumu GSM
Wanadai wanawambia sana taratibu za kusaidia timu wanaonekana waongo wanawasikiliza sana waongo ambao hawasaidii timu
Wanadai hawaamini tena yanga kutokuchukua ubingwa mwaka huu
Wanadai wanawambia sana taratibu za kusaidia timu wanaonekana waongo wanawasikiliza sana waongo ambao hawasaidii timu
Wanadai hawaamini tena yanga kutokuchukua ubingwa mwaka huu