Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

JF Prefixes:

  • Sticky
Wanabaraza naomba mnitoe tongo tongo TGS D (Tanzania Gov. Scale D) ni shilingi ngapi kwa sasa? Nataka kuachia tawi Private Sector niende huko lakini sijui kukoje... ============== July 2014...
115 Reactions
2K Replies
1M Views
  • Sticky
Salaam! Ni muda sasa humu Jukwaani kumekuwa na mabandiko ya watu mbalimbali wakiomba kazi, zile za ujuzi mahususi na zile za jumla. Baadhi ya wanaoandika wamekuwa wakitaja sifa zao, wengine...
87 Reactions
210 Replies
148K Views
  • Sticky
Wewe ni mfanyakazi wa Serikali, Kada ya Kilimo (Afisa Mifugo, Afisa Kilimo, Bwana Nyuki n.k) na unahitaji mtu wa kubadilishana naye kituo cha kazi? Kutokana na wengi kuweka maombi ya watu wa...
3 Reactions
145 Replies
95K Views
  • Sticky
Habari zenu wana-JF? Naomba msaada wa jinsi ya kuandaa CV yangu.. Mie ni mwanafunzi wa mwaka wa mwisho Computer science, nataka kuandaa CV yangu vizuri. Shukrani! Namna ya kuandika CV...
41 Reactions
296 Replies
253K Views
Naomba kuuliza juu ya Tangazo hili kama ni la kweli, maana linasambaa sana. [emoji120]
10 Reactions
211 Replies
8K Views
Natumai mko sawa kiafya Lengo la kuanzisha uzi huu ni kupeana mbinu {njia} tofauti za udereva kama kusomea udereva kutafuta leseni kurenew leseni na ajira za ndani na njee ya nchi na kadhalika
1 Reactions
6 Replies
516 Views
Wanajamvi, Nilitaka kujua kwanini utumishi hutumia takriban miez miwili kuita watu kazini baada ya kufanya Oral, kuna nini kinachoendelea?
40 Reactions
50K Replies
3M Views
kuna hii fursa imejitomeza huko TAESA, nimeona nisiwe mchoyo ni waletee humu ili MADEREVA wenye vigezo mkajaribu bahati yenu hii fursa bwana ni mkataba wa mwaka mmoja. kama upo Dar es salaam...
1 Reactions
4 Replies
168 Views
Wasalamu ndugu,Bungeni Leo wamesema kibali Cha Ajira kimetoka. Nawashauri vijana ambao mnategemea kuomba hasa zile za kuaaply mfanye maandalizi mapema. 1.Vyeti vyako visiwe mbali na wewe 2.Simu...
18 Reactions
38 Replies
2K Views
Habari zenu jobless kwa graduates, waajiri kwa wakurugenzi n.k . Niende direct kwenye mada Kutokana na watu wengi kuhangaika kutafuta ajira na wengine kutafuta waajiriwa humu nimeamua kuja na huu...
76 Reactions
919 Replies
70K Views
Habari wakuu Kama kuna mtu humu ndani alikuwa shortlisted kwenye position ya Intern Gender and Respectful Care at Jhpiego na kufanya interview jana naomba tufahamiane
2 Reactions
3 Replies
91 Views
Children Hope Organization ni shirika lisilo la kiserikali, limeundwa na bodi ya Wakurugenzi 5 wenye Nia ya kulisaidia Taifa katika kuleta maendeleo katika jamii kupitia ufadhili wa mtoto, hivyo...
1 Reactions
6 Replies
195 Views
Siku hizi ni kawaida kama zitatangazwa ajira zozote za serikali vijana kuhangaika kutafuta watu wa kuwabeba maana kwenye vigezo watumishi wa serikali hawazingatii Vijana wengi wamekata tamaa ku...
5 Reactions
14 Replies
391 Views
Habari za Jumapili ndugu zangu wanajamii na wenzangu, Ninaomba kufahamu taratibu za kuomba uhamisho (transfer) kutoka Taasisi X kwenda Taasisi Y kupitia mfumo wa Utumishi (e-Utumishi). Je, kuna...
5 Reactions
31 Replies
2K Views
Position: Software Developer Cum Development Operations Engineer Role Summary: A Software Developer cum Development Operations Engineer is responsible for building and maintaining systems...
0 Reactions
3 Replies
235 Views
Habarini za muda wakuu, poleni na majukumu ya kila siku. Ninahitaji kuzalisha fedha kuanzia millioni moja na kuendelea kwa siku ya Kuanzia leo mpaka Jumamosi. Ili niweze kutatua tahadhari...
3 Reactions
11 Replies
425 Views
Kwanzia nianze kuomba hizi kazi zaidi ya mwaka sjawai itwa kwenye interview,. Nimetuma maombi karibia mara 40 na vigezo vyote wanavyotangaza ninavyo. Hata watu nao wafahamu ambao walishawai...
1 Reactions
31 Replies
4K Views
Wazee, mwenye lonja ya lini wajuba wanatoa majina/kupiga simu ya watakaoitwa kwenye usaili awajuze wadau, watu alili zao hazitaki kufanya kazi nyingine zaidi ya kuwaza Depo tu. NB: Depo ya...
6 Reactions
245 Replies
28K Views
Sifa za waombaji, 1. Awe msichana kuanzia miaka 18 hadi 30. 2. Awe ana ujuzi wa massage na urembo (beauty therapy) 3. Awe mkazi wa dar es salaam, ikiwa anaishi ilala atapewa kipaumbele. 4. Awe...
3 Reactions
26 Replies
3K Views
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limetangaza nafasi za kujiunga na Jeshi kwa Vijana ambao wametumikia au wamefanya mafunzo ya kujitolea katika Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kwa miaka...
14 Reactions
670 Replies
73K Views
Habari za Jumapili, Kwa yoyote anayehitaji chef tuwasiliane 0744054228/0657642225
5 Reactions
40 Replies
643 Views
Job Description Altezza Travelling Limited wishes to invite competent, qualified, experienced, and dedicated Tanzanians to fill in the job vacancies positions currently available in the company...
0 Reactions
0 Replies
61 Views
EMPLOYMENT OPPORTUNITY-HEAD OF FINANCE AND OPERATIONS ORGANIZATIONAL BACKGROUND: CARE is a leading humanitarian organization dedicated to fighting poverty and social injustice and places a...
0 Reactions
0 Replies
48 Views
Company Description SNV is a not-for-profit international development organisation. Founded in the Netherlands 50 years ago, we work in more than 20 countries in Asia, West Africa, and East and...
0 Reactions
0 Replies
48 Views
Back
Top Bottom