Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

On JF:

Naomba utusaidie kutoa malalamiko yetu Ajira Mpya 2025/2026 katika Halmashauri ya Bunda DC Kada ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi mpaka sasa ni mwaka hatujalipwa hela ya kujikimu.
0 Reactions
1 Replies
28 Views
Tunaomba mamlaka husika zitusaidie kufuatilia na kuhakikisha tunalipwa fedha zetu zote za kujikimu kwa mujibu wa mwongozo uliopo. Tumepokea malipo hayo baada ya kuchelewa kwa muda mrefu, lakini...
0 Reactions
1 Replies
32 Views
Sisi ni walimu wa ajira mpya tulioajiriwa mwezi Januari 2026. Kwa muda sasa tumekuwa tukifuatilia malipo ya fedha zetu za kujikimu, lakini hadi sasa hatujapata majibu yoyote rasmi kutoka kwa...
0 Reactions
1 Replies
31 Views
Anonymous
Naomba tusaidie kupaza sauti huenda mamlaka zikasikia kilio chetu tukasaidika. Sisi walimu ajira mpya intake ya March-July 2025 kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Msalala hatujalipwa pesa zetu za...
1 Reactions
16 Replies
444 Views
Sisi ajira mpya (2025) Kada ya Ualimu Wilaya Mtwara Vijijini mkoa Mtwara, bado hatujalipwa fedha zetu za kujikimu tukiuliza tunaambiwa jambo lipo kwenye mchakato.
0 Reactions
1 Replies
35 Views
Halmashauri ya Wilaya ya Magu Ajira Mpya 2025 Ualimu tunadai Nusu ya Pesa ya Kujikimu tulipewa Nusu bado Laki Tano kila Mmoja.
0 Reactions
2 Replies
49 Views
Baadhi ya watumishi wa kada ya ualimu katika Halmashauri ya Kaliua hatujalipwa fedha za kujikimu hadi sasa. Wale waliolipwa wamepewa sehemu tu ya malipo hayo, huku kiasi kilichobaki kikiwa bado...
0 Reactions
2 Replies
43 Views
Ajira Mpya Urambo Tabora, tangu January 2026 Idara ya Afya na Walimu hatujalipwa fedha za kujikimu, tukiuliza tunaambiwa fedha zetu hazijafika, zilizofika ni awamu hii ya mwishoni Ajira ya May...
0 Reactions
3 Replies
34 Views
Mimi napenda kumfichua jamaa mmoja anaitwa ALLY OMARI ZABRON anafanya kazi wizara ya elimu, huyu jamaa anawatapeli watumishi wa umma kuwa anaweza kuwahamisha kutoka sehemu waliopo na hivyo kula...
3 Reactions
15 Replies
317 Views
Wafanyakazi wa Hospitali ya Ekenywa iliyopo Magomeni Mwembe Chai tunapenda kuwasilisha malalamiko yetu kuhusu changamoto tunazopitia katika sehemu yetu ya kazi. Kwa muda sasa tumekuwa...
0 Reactions
2 Replies
59 Views
Huu ni Waraka kutoka kwa katibu mkuu. Hii iwaendee Supervisors Maafisa utumishi HR na Wakurugenzi malalamiko yetu watumishi ya kucheleweshwa kwa maombi ya uhamisho sasa yamemfikia mh. KATIBU...
2 Reactions
32 Replies
1K Views
Wadau, naombeni kufahamu kuhusu uhamisho wa watumishi wa UMMA. Nilipata nafasi kazi Chuo kikuu fulani hapa nchini nikaomba kuhamishia ajira yangu chuoni hapo kupitia ESS kutoka idara ya...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Fedha za uhamisho na madai Halmashauri ya Karagwe ni kama mwendo wa kobe hasa Idara ya Afya sijui hizo pesa hazipo kweli au ndiyo kulipwa kwa kujuana. Madai ya Pesa toka mwaka 2023 ya uhamisho...
0 Reactions
0 Replies
26 Views
Mimi ni mtumishi Idara ya Kilimo Wilaya ya Bariadi kero yangu ni kuhusu Fedha ya Kujikimu, tangu mwaka 2025, Julai tulipo ajiriwa tumepunguzwa laki Moja tu kati ya laki 6, baadhi ya tulioingia nao...
0 Reactions
0 Replies
16 Views
Halmashauri ya Wilaya ya Geita imekuwa halipi kabisa likizo kwa watumishi hasa Idara ya Elimu Sekondari na hata wakilipa wanalipa kiasi cha fedha kidogo au wanalipa kwa baadhi ya walimu wachache...
0 Reactions
0 Replies
16 Views
Awali, nyongeza za mishahara kwa watumishi wote zilikuwa zikitolewa mwezi Julai kila mwaka. Hata hivyo, baadaye Serikali ilianzisha mfumo mpya ambapo nyongeza hizo hutolewa kulingana na mwezi...
0 Reactions
1 Replies
34 Views
Naomba kuwasilisha malalamiko kuhusu changamoto mbalimbali zinazodaiwa kuwepo katika Hospitali ya Wilaya ya Ubungo, hususan katika usimamizi wa ajira za kujitolea (volunteer), maslahi ya...
0 Reactions
2 Replies
134 Views
Halmashauri ya Jiji la Arusha, Ajira mpya elimu tumelipwa hela ya kujikimu nusu ila tukiuliza kuhusu pesa iliyobaki hatupewi majibu yanayojitosheleza, wanasema turidhike na hiyo hiyo maana kuna...
0 Reactions
0 Replies
20 Views
Sisi ni vibarua wa Halmashauri ya Jiji la Tanga, Idara ya Mazingira na Bustani, tunaomba kuwasilisha malalamiko yetu kuhusu kuchelewa kwa malipo ya mishahara. Kwa muda sasa, vibarua wa jiji...
0 Reactions
0 Replies
19 Views
Watumishi wanaotumia mfumo wa ESS kuomba mikopo wameeleza kukumbana na changamoto kubwa, hasa katika hatua ya kupata namba ya uthibitisho (OTP) inayohitajika kukamilisha maombi. Wanasema baada ya...
0 Reactions
1 Replies
32 Views
Back
Top Bottom