Nilijisajili na NSSF Mwaka 2017 wakati naanza chuo, wasajili walikosea tarehe yangu ya kuzaliwa, nimekuja kugundua na kuanza utaratibu wa kuomba kubadilishiwa ni baada ya kupata ajira Mwaka huu...
Tulifanya kazi ya kusimamia na kusahihisha mitihani Julai 2025, mpaka leo bado, tukiwatafuta wanasema tutalipa week hii lakini week zinaisha tu hawalipi.
Ni mwaka sasa, tusaidieni kufichua uovu...
Mimi ni mkazi wa Arusha hapa Ungalimited, nilikuwa mwajiriwa halali wa Hospital ya Tanga Central Hospital iliyopo Tanga nilifanya kazi pale kwa muda wa miezi 7 na kumaliza mkataba wangu ila mpaka...
Saccos ya Posta na simu walipeni pesa zao wastaafu na waliojitoa.
Eneo la Mabibo limeshauzwa muda sasa, kwanini mnaomba rushwa na hamtaki kuwalipa haki zao.
Halmashauri ya Nyang’hwale ajira za july 2025 kada zingne zote wamepata hela yao ya kujikimu isipokuwa kada ya afya na tukiulizia kwa katibu wa afya anatufokea
Hongera team ya JamiiForums kwa kazi kubwa mnafanya kuhabarisha umma na jamii zote ndani na nje ya nchi hii ya Tanzania.
Ninayokero ambayo inahusiana na Sekretiati ya Ajira kwa maana ya Ajira...
Halmashauri ya Mpwapwa haijatupeleka watumishi wake kwenye mashindano ya michezo kwa miaka mitatu mfululizo, ikieleza kuwa fedha zilizotengwa kwa ajili ya michezo zitatumika katika shughuli za...
Mimi ni afisa afya mazingira nayafuta mtu wa KUBADILISHANA nae kituo Cha kazi mimi Nipo mafinga nataka mtu wa dar, morogoro au Tanga
Mawasiliano 0772812544
Walimu kutoka Wilaya ya Chemba, Mkoa wa Dodoma, tunacheleweshwa kupandishwa madaraja, tulitakiwa kupanda madaraja kuanzia Mei 2026, lakini hadi sasa hatujapandishwa wala kupewa maelezo ya wazi...
Ajira mpya halmashauri ya korogwe vijijini hatujapewa pesa za kujikimu mpaka sasa hivi miezi mitatu sasa...
Tunaomba Serikali itusikie jamani tunateseka ...🙏
Walimu ajira mpya katika Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe, tuliporipoti kazini tulikuwa tunaandikishwa barua za kuomba pesa ya kujikimu kiasi cha Sh 130k per month, mara 7 ambayo ni sasa na Sh...
Sisi ni walimu wenye shahada tulioajiriwa Januari 2026 katika Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama. Tumekaa miezi minane tukisubiri malipo ya fedha za kujikimu na nauli, tukiamini kuwa hatimaye...
Ajira mpya wa mwaka huu 2026 tuliingiziwa kiasi cha shilingi za kitanzania laki mbili na themanini lakini tangu hapo hatujaona kitu tena huku kinacholeta wasi wasi zaidi tukiuliza wenzetu wa mwaka...
Jamani tusaidie Walimu tunaonewa Tarime Mkoa wa Mara tunaenda kusimamia Mtihani wa Mock kwa mkopo unaweza ukapangiwa kituo cha mbali, sasa hivi nauli zimepanda unatumia nauli shiingi 8,000 kwenda...
Habari,
Tunaomba upaze sauti mamlaka zisikie maafisa maendeleo wa kata halmashaur ya kwimba tunanyanyasika, mkuu wa idara Yuko biased anajali walioko headquarter tu.
Yaani maafisa wa kata...
salaam wakuu. Nimefungua akaunti ya ajira portal tangu mwaka jana, taarifa zote muhimu(CV)nimeweka na imekamilika kwa asilimia 98. Changamoto nipale ninapotaka ku apply nafasi za kazi inaniandikia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.