Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

On JF:

Habarini za wakati, ndugu wana jamii forum. Kwanza nipende kushukuru wale wote walio niamini wakanipa kazi za mda kufanya nayo, Mwenyezi Mungu awafanyie wepesi. Leo, nipo kwenu tena. Ombi langu...
2 Reactions
2 Replies
59 Views
Anonymous
Kuna kiwanda cha kinaitwa Global Aluminium Ltd kipo Kibaha Zogowale, Wachina wanaamrisha mfanyakazi aende kazini kila siku hakuna sikukuu wala weekend. Kama hutaenda unafukuzwa kazi, mikatabao ya...
6 Reactions
35 Replies
606 Views
  • Redirect
Habari wakuu wa JF, Naitwa Mustapha Komba, kijana wa Songea, kwa sasa nipo nyumbani baada ya masomo yangu ya shahada ya Health Systems Management (BHSM) Chuo Kikuu cha Mzumbe. Kwa sasa sina kazi...
3 Reactions
Replies
Views
Watumishi tulioajiriwa mwaka 2025 katika idara mbalimbali bado hatujapewa barua za kuthibitishwa kazini, pamoja na fedha zetu za kujikimu. Serikali, tunaomba mtusaidie.
0 Reactions
2 Replies
38 Views
Habar za wakati huu, Samahan Mimi ni Kijana mchapakazi na muaminifu. Niko Mwanza nina miaka 30. Natafuta kazi yoyote ya halali, Nina ujuzi mkubwa wa kutumia computer pamoja na ufundi upande wa...
1 Reactions
0 Replies
27 Views
Mwaka huu toka uanze mpaka sasa nimepiga oral 3,ila mpaka sasa hakuna iliyo blue tick.kwa uelewa wangu hizo oral zote nimepiga fresh tu kama wadau wengine walivyopiga.changamoto ni kwamba hatuitwi...
8 Reactions
33 Replies
418 Views
Anonymous
Kero yangu tulioitwa kwenye interview ya UTUMISHI siku ya Jumamosi tarehe 15-08-2026, iliyofanyika Chuo cha IFM Posta, Kada ya Artisan Electrical tumeishia kufukuzwa na kusimamishwa na kuzuiliwa...
5 Reactions
43 Replies
640 Views
Ndugu yangu ameitwa kazini kama Afisa Usafirishaji na katika barua yake ya ajira ameagizwa kuripoti Dodoma. Alifika mapema katika kituo alichopangiwa na kuanza taratibu za kuripoti kama...
4 Reactions
27 Replies
615 Views
Wadau mimi nilikuwa muhudumu wa Afya (medical attendant) niliacha kazi mwaka 2011, niliondoka bila kuaga wala kuandika barua ya kuacha kazi baada ya kunyimwa ruhusa yakwenda kusoma. Nikaenda...
3 Reactions
53 Replies
4K Views
Jamani! Nahitaji kazi amabayo ipo flexible ya kwenda na kurudi ili ni balance na studies. Any recommendations let me know Nipo dar
1 Reactions
5 Replies
59 Views
Habari wana JamiiForums. Natafuta nafasi ya kazi yoyote nitakayopewa kulingana na uwezo wangu. Kwa sasa sina ujuzi maalum wa kitaalamu, lakini niko tayari kujifunza, kufanya kazi kwa bidii na...
8 Reactions
50 Replies
443 Views
Anonymous
Habari za muda huu wana JamiiForums! Kwanza kabisa naomba kuwasilisha kero iliyopo kwenye halmashauri yetu ya jiji la ilala. Mimi ni mhitimu wa shahada ya ualimu wa masomo ya sanaa Mwaka 2016...
2 Reactions
10 Replies
150 Views
Anonymous (ce6e)
Wanafunzi ambao tumesoma Bachelor of Technical Education in Mechanical Engineering, Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST) tumeshindwa kusajiliwa na Engineers Registration Board(ERB)...
1 Reactions
30 Replies
822 Views
Anonymous
Watumishi wa Umma tumefunguliwa Mfumo wa ESS ambao tumeambiwa ndio suluhisho la Watumishi lakini mfumo huu bado ni changamoto, Mtumishi anaomba uhamisho kwenye mfumo mpaka unafika TAMISEMI halafu...
1 Reactions
3 Replies
139 Views
Habari wadau wa JF, Mimi ni mdau mwenzenu ambaye nimekuwa sehemu ya jukwaa hili kwa muda mrefu. Kupitia JF nimejifunza mambo mengi, nimeongeza maarifa na ujuzi muhimu, na pia nimepata fursa...
6 Reactions
10 Replies
359 Views
Upcountry Kitchen Taste iliyopo Mweka -Moshi inatangaza nafasi za kazi ya kuhudumia ( Service) na mpishi ( Chef). Waombaji wenye uzoefu watapewa kipaumbele. Waombaji wawe jinsia ya kike ...
1 Reactions
1 Replies
45 Views
Anonymous (4f6e)
Wafanyakazi wa afya katika Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi tunaomba mamlaka husika, hususan TAMISEMI na Wizara ya Afya, kusikiliza kilio chetu kuhusu stahiki zetu za kikazi. Licha ya kufanya kazi...
0 Reactions
4 Replies
124 Views
EDUCATION : BA in Community Economic Development (BA-CED) - 2022 EXPERIENCE : 2+ working in international NGO World Vision Tanzania (DODOMA&KIGOMA) FIELD: Community Engagement Officer and...
4 Reactions
8 Replies
130 Views
Anonymous
Niliitwa kwenye usaili wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), nilipofika katika kituo nilichopangiwa nilikumbana na changamoto ambayo nimeona si sahihi. Waombaji walikaguliwa vyeti pamoja na mavazi...
29 Reactions
307 Replies
3K Views
Habarini za sasa hivi wakubwa. Nina mdogo wangu ambaye amekidhi vigezo vya kufanya kazi kama Hydraulic Excavator Operator na amepata mafunzo katika IHET, Dar es Salaam. Ana ndoto kubwa na shauku...
3 Reactions
19 Replies
87 Views
Back
Top Bottom