Habarini za wakati, ndugu wana jamii forum.
Kwanza nipende kushukuru wale wote walio niamini wakanipa kazi za mda kufanya nayo, Mwenyezi Mungu awafanyie wepesi.
Leo, nipo kwenu tena. Ombi langu...
Kuna kiwanda cha kinaitwa Global Aluminium Ltd kipo Kibaha Zogowale, Wachina wanaamrisha mfanyakazi aende kazini kila siku hakuna sikukuu wala weekend.
Kama hutaenda unafukuzwa kazi, mikatabao ya...
Habari wakuu wa JF,
Naitwa Mustapha Komba, kijana wa Songea, kwa sasa nipo nyumbani baada ya masomo yangu ya shahada ya Health Systems Management (BHSM) Chuo Kikuu cha Mzumbe. Kwa sasa sina kazi...
Watumishi tulioajiriwa mwaka 2025 katika idara mbalimbali bado hatujapewa barua za kuthibitishwa kazini, pamoja na fedha zetu za kujikimu. Serikali, tunaomba mtusaidie.
Habar za wakati huu,
Samahan Mimi ni Kijana mchapakazi na muaminifu. Niko Mwanza nina miaka 30.
Natafuta kazi yoyote ya halali, Nina ujuzi mkubwa wa kutumia computer pamoja na ufundi upande wa...
Mwaka huu toka uanze mpaka sasa nimepiga oral 3,ila mpaka sasa hakuna iliyo blue tick.kwa uelewa wangu hizo oral zote nimepiga fresh tu kama wadau wengine walivyopiga.changamoto ni kwamba hatuitwi...
Kero yangu tulioitwa kwenye interview ya UTUMISHI siku ya Jumamosi tarehe 15-08-2026, iliyofanyika Chuo cha IFM Posta, Kada ya Artisan Electrical tumeishia kufukuzwa na kusimamishwa na kuzuiliwa...
Ndugu yangu ameitwa kazini kama Afisa Usafirishaji na katika barua yake ya ajira ameagizwa kuripoti Dodoma. Alifika mapema katika kituo alichopangiwa na kuanza taratibu za kuripoti kama...
Wadau mimi nilikuwa muhudumu wa Afya (medical attendant) niliacha kazi mwaka 2011, niliondoka bila kuaga wala kuandika barua ya kuacha kazi baada ya kunyimwa ruhusa yakwenda kusoma. Nikaenda...
Habari wana JamiiForums.
Natafuta nafasi ya kazi yoyote nitakayopewa kulingana na uwezo wangu. Kwa sasa sina ujuzi maalum wa kitaalamu, lakini niko tayari kujifunza, kufanya kazi kwa bidii na...
Habari za muda huu wana JamiiForums!
Kwanza kabisa naomba kuwasilisha kero iliyopo kwenye halmashauri yetu ya jiji la ilala.
Mimi ni mhitimu wa shahada ya ualimu wa masomo ya sanaa Mwaka 2016...
Wanafunzi ambao tumesoma Bachelor of Technical Education in Mechanical Engineering, Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST) tumeshindwa kusajiliwa na Engineers Registration Board(ERB)...
Watumishi wa Umma tumefunguliwa Mfumo wa ESS ambao tumeambiwa ndio suluhisho la Watumishi lakini mfumo huu bado ni changamoto, Mtumishi anaomba uhamisho kwenye mfumo mpaka unafika TAMISEMI halafu...
Habari wadau wa JF,
Mimi ni mdau mwenzenu ambaye nimekuwa sehemu ya jukwaa hili kwa muda mrefu. Kupitia JF nimejifunza mambo mengi, nimeongeza maarifa na ujuzi muhimu, na pia nimepata fursa...
Upcountry Kitchen Taste iliyopo Mweka -Moshi inatangaza nafasi za kazi ya kuhudumia ( Service) na mpishi ( Chef).
Waombaji wenye uzoefu watapewa kipaumbele.
Waombaji wawe jinsia ya kike ...
Wafanyakazi wa afya katika Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi tunaomba mamlaka husika, hususan TAMISEMI na Wizara ya Afya, kusikiliza kilio chetu kuhusu stahiki zetu za kikazi.
Licha ya kufanya kazi...
EDUCATION : BA in Community Economic Development (BA-CED) - 2022
EXPERIENCE : 2+ working in international NGO World Vision Tanzania (DODOMA&KIGOMA)
FIELD: Community Engagement Officer and...
Niliitwa kwenye usaili wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), nilipofika katika kituo nilichopangiwa nilikumbana na changamoto ambayo nimeona si sahihi.
Waombaji walikaguliwa vyeti pamoja na mavazi...
Habarini za sasa hivi wakubwa.
Nina mdogo wangu ambaye amekidhi vigezo vya kufanya kazi kama Hydraulic Excavator Operator na amepata mafunzo katika IHET, Dar es Salaam.
Ana ndoto kubwa na shauku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.