Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

On JF:

Nilijisajili na NSSF Mwaka 2017 wakati naanza chuo, wasajili walikosea tarehe yangu ya kuzaliwa, nimekuja kugundua na kuanza utaratibu wa kuomba kubadilishiwa ni baada ya kupata ajira Mwaka huu...
1 Reactions
5 Replies
62 Views
Tulifanya kazi ya kusimamia na kusahihisha mitihani Julai 2025, mpaka leo bado, tukiwatafuta wanasema tutalipa week hii lakini week zinaisha tu hawalipi. Ni mwaka sasa, tusaidieni kufichua uovu...
0 Reactions
2 Replies
48 Views
Mimi ni mkazi wa Arusha hapa Ungalimited, nilikuwa mwajiriwa halali wa Hospital ya Tanga Central Hospital iliyopo Tanga nilifanya kazi pale kwa muda wa miezi 7 na kumaliza mkataba wangu ila mpaka...
0 Reactions
1 Replies
50 Views
Saccos ya Posta na simu walipeni pesa zao wastaafu na waliojitoa. Eneo la Mabibo limeshauzwa muda sasa, kwanini mnaomba rushwa na hamtaki kuwalipa haki zao.
0 Reactions
0 Replies
32 Views
Anonymous
Halmashauri ya Nyang’hwale ajira za july 2025 kada zingne zote wamepata hela yao ya kujikimu isipokuwa kada ya afya na tukiulizia kwa katibu wa afya anatufokea
0 Reactions
2 Replies
82 Views
Hongera team ya JamiiForums kwa kazi kubwa mnafanya kuhabarisha umma na jamii zote ndani na nje ya nchi hii ya Tanzania. Ninayokero ambayo inahusiana na Sekretiati ya Ajira kwa maana ya Ajira...
0 Reactions
0 Replies
27 Views
Halmashauri ya Mpwapwa haijatupeleka watumishi wake kwenye mashindano ya michezo kwa miaka mitatu mfululizo, ikieleza kuwa fedha zilizotengwa kwa ajili ya michezo zitatumika katika shughuli za...
0 Reactions
0 Replies
14 Views
Habari! Natafuta mwalimu wa kubadilishana naye kituo idara ya elimu sekondari kwa masomo ya mathematics. Aje Lindi - mtama nije geita. Asante!
0 Reactions
1 Replies
97 Views
Habari wakuu? Nahitaji mtaalamu wa maabara wa kubadilishana nae kituo cha kazi AJE MTWARA NIENDE MBEYA(wilaya yoyote) Asanter
1 Reactions
2 Replies
101 Views
Mimi ni afisa afya mazingira nayafuta mtu wa KUBADILISHANA nae kituo Cha kazi mimi Nipo mafinga nataka mtu wa dar, morogoro au Tanga Mawasiliano 0772812544
1 Reactions
8 Replies
172 Views
Walimu kutoka Wilaya ya Chemba, Mkoa wa Dodoma, tunacheleweshwa kupandishwa madaraja, tulitakiwa kupanda madaraja kuanzia Mei 2026, lakini hadi sasa hatujapandishwa wala kupewa maelezo ya wazi...
0 Reactions
0 Replies
17 Views
Anonymous (8b17)
Ajira mpya halmashauri ya korogwe vijijini hatujapewa pesa za kujikimu mpaka sasa hivi miezi mitatu sasa... Tunaomba Serikali itusikie jamani tunateseka ...🙏
1 Reactions
1 Replies
124 Views
Anonymous
Walimu ajira mpya katika Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe, tuliporipoti kazini tulikuwa tunaandikishwa barua za kuomba pesa ya kujikimu kiasi cha Sh 130k per month, mara 7 ambayo ni sasa na Sh...
3 Reactions
16 Replies
358 Views
Anonymous
Sisi ni walimu wenye shahada tulioajiriwa Januari 2026 katika Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama. Tumekaa miezi minane tukisubiri malipo ya fedha za kujikimu na nauli, tukiamini kuwa hatimaye...
0 Reactions
4 Replies
144 Views
Anonymous (c732)
Ajira mpya wa mwaka huu 2026 tuliingiziwa kiasi cha shilingi za kitanzania laki mbili na themanini lakini tangu hapo hatujaona kitu tena huku kinacholeta wasi wasi zaidi tukiuliza wenzetu wa mwaka...
0 Reactions
8 Replies
201 Views
Jamani tusaidie Walimu tunaonewa Tarime Mkoa wa Mara tunaenda kusimamia Mtihani wa Mock kwa mkopo unaweza ukapangiwa kituo cha mbali, sasa hivi nauli zimepanda unatumia nauli shiingi 8,000 kwenda...
0 Reactions
12 Replies
84 Views
Anonymous (810f)
Habari, Tunaomba upaze sauti mamlaka zisikie maafisa maendeleo wa kata halmashaur ya kwimba tunanyanyasika, mkuu wa idara Yuko biased anajali walioko headquarter tu. Yaani maafisa wa kata...
1 Reactions
5 Replies
68 Views
Habari ya uzima. Mimi ni fundi pikipiki mzoefu wa muda mrefu natafuta kazi kwa sasa nipo DSM Natengeneza pikipiki za aina zote
0 Reactions
5 Replies
978 Views
Natafuta fundi Pikipiki location Kunduchi Duka ni jipyaa tutamlinda kwa posho mpaka pachangamke 0657736223
0 Reactions
0 Replies
14 Views
salaam wakuu. Nimefungua akaunti ya ajira portal tangu mwaka jana, taarifa zote muhimu(CV)nimeweka na imekamilika kwa asilimia 98. Changamoto nipale ninapotaka ku apply nafasi za kazi inaniandikia...
1 Reactions
14 Replies
260 Views
Back
Top Bottom