Dereva na udereva

Mahrez

Member
Apr 29, 2023
17
20
Natumai mko sawa kiafya

Lengo la kuanzisha uzi huu ni kupeana mbinu {njia} tofauti za udereva kama kusomea udereva kutafuta leseni kurenew leseni na ajira za ndani na njee ya nchi na kadhalika
 
a14e9b09-7b07-46ef-98bd-cd5d185ebb80.jpg
 
kama upo Dar es salaam hakikisha unaenda kwenye ofisi za TAESA wanazo ajira za udereva wanahitajika madereva wengi sana.
  1. uwe na elimu ya kidato cha nne na kuendelea...!​
  2. uwe na uzoefu kuanzia miaka 5​
  3. uwe na Leseni ya class E​
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom