Walimu tulioajiriwa na Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu (Kasulu DC) mwezi Julai 2025 bado hatujathibitishwa kazini hadi sasa.
Hatujapewa maelezo ya wazi kuhusu sababu ya kuchelewa kwa uthibitisho...
Nimewahi kufanya kazi katika Taasisi ya Moyo Medicare, Arusha, na niliacha kazi zaidi ya mwaka mmoja uliopita. Hata hivyo, hadi sasa Taasisi hiyo haijawasilisha michango yangu ya NSSF, licha ya...
JamiiForums tunaomba mtusaidie kupaza sauti Watumishi wa Afya katika Halmashauri ya Wilaya ya Nyang`hwale, ajira za August 2025 na January 2026 mpaka leo hatujalipwa fedha zetu za kujikimu licha...
Mwanzoni mwa mwezi huu niliandika hapa kuwa Wafanyakazi katika Chuo cha Afya Mvumi (Mvumi Institute of Health Sciences – MIHS) kilichopo Mvumi, Dodoma tunaomba msaada na uingiliaji wa mamlaka...
Wanabodi, mimi ni kijana wa kiume wa 20's. Mkazi wa Dar, kwa sasa ninaishi mbezi magari saba. Naomba yoyote mwenye nafasi au information ya kazi msaada wako unahitajika.
Kuuza duka, storekeeper...
Customer Relationship & Operations Officer at Mixx by Yas – Dar es Salaam
Job Overview
Mixx is hiring a Customer Relationship & Operations Officer based in Dar es Salaam.
Requirements
University...
Wazee, mwenye lonja ya lini wajuba wanatoa majina/kupiga simu ya watakaoitwa kwenye usaili awajuze wadau, watu alili zao hazitaki kufanya kazi nyingine zaidi ya kuwaza Depo tu.
NB: Depo ya...
Nilibahatika kufaulu written interview ya kule sekreatieti ya ajira na nikafanya Oral interview. Lakini hadi sasa sijaiona jina langu kwenye mikeka inayotoka.
Mwalimu wa Primary ngazi ya...
Kwema
Kuna changamoto nimeipata kwangu ni mpya na sielewi niitatue vipi au niende wapi ama napaswa kusubiri.
Ni kuhusu malipo ya mshahara wangu, wenzangu walilipwa mapema kabisa mwezi huu. Mimi...
Kwa walio interested na kuearn real extra income, kuna AI training jobs zinazolipa from $12/hr to 150/hr kulingana na expertise kwenye field husika. Kuna various fields za kila aina mfano law, IT...
Ninaomba kuwasilisha changamoto inayowakumba watumishi wa umma, hususan wa ajira ya mwaka 2015 kada ya elimu katika baadhi ya halmashauri, nikitolea mfano Wilaya ya Lushoto.
Kumekuwa na tatizo la...
Watumishi wapya wa Idara ya Afya walioajiriwa mwaka 2025/2026 katika Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, mkoani Tabora, hatujalipwa fedha zao za kujikimu hadi sasa.
Kila tunapofuatilia malipo yetu...
Nimeona Wizara ya Afya imeanzisha programu za Higher Diploma (NTA Level 7) katika maeneo ya Anaesthesia kupitia MWACHAS, na Midwifery kupitia MUHAS. Hili ni jambo zuri na hatua kubwa katika...
Hello JF,
Natafuta school Nurse, mwenye good recommendation kindly PM me kwa kunitumia CV.
Qualification - Diploma in Nursing and has to be a registered Nurse.
Asanteni.
Napenda kuwasilisha changamoto ambayo imekuwa ikiwakabili baadhi ya watumishi wa umma wanaotafuta uhamisho kutoka taasisi moja kwenda nyingine kwa kufuata taratibu zilizowekwa.
Katika hali yangu...
Huu ni Waraka kutoka kwa katibu mkuu.
Hii iwaendee Supervisors Maafisa utumishi HR na Wakurugenzi malalamiko yetu watumishi ya kucheleweshwa kwa maombi ya uhamisho sasa yamemfikia mh.
KATIBU...
Naomba mamlaka husika ichunguze muundo na uteuzi wa viongozi wa CHMT katika Halmashauri ya Mpimbwe, kwa kuwa kuna baadhi ya nafasi za uratibu na uongozi zinazoshikiliwa na watumishi ambao sifa zao...
Habari wana forum kwamajina naitwa Hassan Manz ni mkaz wa Dar es salaam naishi Temeke ninatafuta gari aina ya toyota alphard au vellfire kwajili ya kufanyia kazi iwe kwa mkataba au kwa hesabu nipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.