Wewe haujawahi kukutana na penzi tamu. Unampenda mtu humuachi yaani mnatengana kwa muda tu ila ukienda ule utamu kama kitimoto unakuvuta.
Mfano mimi,yule mtoto 'Invyo' naanzaje kumuacha,ni mchagga nikamfundisha kuikatikia na kuifinyia kwa ndani, lakini mbaya zaidi ni yule mtoto alishika mbinu zangu za "Zemanda Kamasutra". Akajua kunata na biti langu aisee.
Nikajaribu kumuacha,weeeee miezi mitatu tu nilimtafuta mwenyewe nikakuta kuna jamaa anataka kuzengea awe nae serious (hakumla lakini)aisee nilimchukua kibabe kama mke wangu wa ndoa na nilimfokea mbele ya jamaa na kazi nilimuachisha nikamwambia sishindwi kukutunza. Tupa line zote nikamchongea mpya.
Aiseee
Now mwaka wa 12 tunaendesha uhusiano.