ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,655
Hakika usiombe ukutane na haya masaibu ninakutana nayo sasa.
Huku kusoma uzeeni nako noma kweli.
Jamani wale watoto walokuwa wanagomba kila siku wamekuwa na
kwa sasa wanasoma....ila hawjaacha kuendelea kuchapana ila
walu kwa sasa wako bize kidogo na shule, nikuiona wanaanza
kuleteana mizengwe nawajazia home work wanakuwa bize fujo zinapungua.
Mwaka jana nami niliamua kwenda shule ila si mnajua shule za uzeeni, jioni
unarudi nyumbani unafanya 'assignment zako' na wao wako bize na 'home work'.
Kero niliyonayo ni mtinodo walionao wa kuchua 'stationeries' zangu. leo ukija na obama pen, nao
wanataka, ukija na executive pen, wanataka pia. Kuna wakati nikaanza kuwa
mnoko.......weeeeeeeeeeeeeee! Kelele za kuombwa zikapotea ghafla ila kituko ni
kwamba hizo 'stationeries' sasa zikawa zinapotea bila kujua zinaenda wapi
utadhani labda kuna jini ndani.
Siku nikaamua tu kufanya msako kwenye mabegi yao ya shule......nikagundua
kumbe 'stationeries' zangu zilikuwa zinapotelea kwenye mabegi ya hawa
wanafunzi wa kizazi cha dot.com cha english medium. Nilichofanya ni kukusanya
vyote vilivyo vyangu na kuviweka mezani ili wajue nimegundua vitu vyangu vinakoendaga.
Leo siku ya pili naona vimeanza kupungua tena nahisi wameanza tena 'kuniazima'
vitu vyangu ingawa nao wanavyo.....Jamani hebu nisaidieni kwanini hawa watoto
wako 'very possessive' na stationeries zangu wakati wao pia wanavyo kama hivyo?
Kids wanaboa sometime, class mwalimu anaona mi kilaza au pengine nina jeuri ya
uzeeni, nyumbani nakatwa stimu kufanya 'assignment zangu'.
Oooooooooh, nakomaje mwenzenu na hii shule ya uzeeni!
Huku kusoma uzeeni nako noma kweli.
Jamani wale watoto walokuwa wanagomba kila siku wamekuwa na
kwa sasa wanasoma....ila hawjaacha kuendelea kuchapana ila
walu kwa sasa wako bize kidogo na shule, nikuiona wanaanza
kuleteana mizengwe nawajazia home work wanakuwa bize fujo zinapungua.
Mwaka jana nami niliamua kwenda shule ila si mnajua shule za uzeeni, jioni
unarudi nyumbani unafanya 'assignment zako' na wao wako bize na 'home work'.
Kero niliyonayo ni mtinodo walionao wa kuchua 'stationeries' zangu. leo ukija na obama pen, nao
wanataka, ukija na executive pen, wanataka pia. Kuna wakati nikaanza kuwa
mnoko.......weeeeeeeeeeeeeee! Kelele za kuombwa zikapotea ghafla ila kituko ni
kwamba hizo 'stationeries' sasa zikawa zinapotea bila kujua zinaenda wapi
utadhani labda kuna jini ndani.
Siku nikaamua tu kufanya msako kwenye mabegi yao ya shule......nikagundua
kumbe 'stationeries' zangu zilikuwa zinapotelea kwenye mabegi ya hawa
wanafunzi wa kizazi cha dot.com cha english medium. Nilichofanya ni kukusanya
vyote vilivyo vyangu na kuviweka mezani ili wajue nimegundua vitu vyangu vinakoendaga.
Leo siku ya pili naona vimeanza kupungua tena nahisi wameanza tena 'kuniazima'
vitu vyangu ingawa nao wanavyo.....Jamani hebu nisaidieni kwanini hawa watoto
wako 'very possessive' na stationeries zangu wakati wao pia wanavyo kama hivyo?
Kids wanaboa sometime, class mwalimu anaona mi kilaza au pengine nina jeuri ya
uzeeni, nyumbani nakatwa stimu kufanya 'assignment zangu'.
Oooooooooh, nakomaje mwenzenu na hii shule ya uzeeni!