Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Ndugu zangu, Naamini mnaendelea vema. SAMAHANI KAMA NITAWAKWAZA: Naomba msaada wenu kwa anayejua kuhusu SIFA NA TABIA za wanawake wa KIIRAQ au WAMBULU na majirani zao WARANGI. Na pia naomba...
9 Reactions
97 Replies
3K Views
UZI TAYARI. Yupi kati ya mwanamke au mwanaume anayepaswa ashukuru baada ya tendo?
2 Reactions
9 Replies
313 Views
Am planning to have a self driving to Tanga via Bagamoyo, Saadan national park, Pangani final destination Tanga. It's a leisure trip , any single under23 girl please send me pm
0 Reactions
35 Replies
3K Views
Wakuu habari, Nimekuwa nikijadili hili jambo na rafiki yangu mmoja hadi akaniita 'Toxic' kwamba sifai Wakati nipo kwenye umri wa 20+ ilikuwa nikitongozwa na mwanaume wa umri wa 30+ na...
16 Reactions
94 Replies
2K Views
Habari zenyu, poleni na majukumu Moja Kwa moja kwenye pointi, 2024 nlivyoondoka huku dar kulikuwa na kabinti Kwa huo mwaka niliona si vyema kuingia nako kwenye mahusiano, tukawa tu marafiki story...
4 Reactions
144 Replies
3K Views
Hapa msije mkanielewa vibaya kutokana na kichwa cha habari Nazungumzia ile kaliba ya watu ambao wamejikuta kwenye ulevi fulani kwasababu ya upweke! Hakuna kitu kibaya kama upweke! Athari zake ni...
39 Reactions
125 Replies
15K Views
Kuna hii hali ya ndugu na marafiki wanakuja kwako kukuomba hela, ila kwa kuona ili asiendelee kuwa ombaomba pamoja na kuwa na maisha magumu, unaamua kumpa kazi kwenye biashara zako au kampuni...
5 Reactions
28 Replies
324 Views
Ndugu zangu. Mpaka unakuja kuzeeka na kuingia kaburini kila mtu ana yule rafiki au mpenzi ambaye kamwe hawezi kuja kumsahau kwenye maisha yake kama chachu ya mafanikio au kutokufanikiwa kwake...
12 Reactions
264 Replies
10K Views
1. Nawasihi sana ndugu zangu vijana msiige kila mnayoyaona mitandaoni. Influencer anapiga domo kwenye Instagram kwamba ni financially independent kumbe ana babu yake a.k.a SANTA CLAUS...
19 Reactions
122 Replies
7K Views
Jamaa kamfinyia huyu dada vitendo vya kilusifa kamtumia kadi ya mwaliko wa harusi kwamba anaoa mwanamke mwingine. dada kawahiwa na marafiki zake kidogo ajitie kitanzi.
10 Reactions
67 Replies
1K Views
  • Redirect
Mimi nilikuwa natumwa na madam Kila siku kumbe alikuwa ananitaka 🤣🤣 Mwisho wa siku tulijikuta tumeshakulana maisha yakaendelea na somo lake nikapata A.
0 Reactions
Replies
Views
Miezi miwili nyuma nilimshuku mke wangu ana mawasiliano na jamaa yake aliyemtoa bikira uko SONGEA. Nikaanza kunyatia katika mawasiliano yao. Kiukweli wakakumbushana mambo mengi mpaka siku...
42 Reactions
225 Replies
29K Views
Mimi nafikiri haya yote ni madhara ya kuangalia porno sana na ubaya zaidi ni kuwa porno imezagaa katika simu za vijana na kushikamana kama vile pua na mdomo. Sasa hivi watu hawaoni haya...
15 Reactions
184 Replies
5K Views
Maoni yako , tafadhari. Je ni sahihi kumkimbia mwanamke ambaye ushamlipia mahari na ukamuachia na ujauzito au kwa jina maarufu Mimba .?.. Natafuta Ajira
1 Reactions
3 Replies
133 Views
Nipo hapa mgahawani napata chakula tangu saa 2 asubuhi mpaka muda huu. Sitaki kabisa kwenda nyumbani, nipo naosha osha macho angalau niweze kutoka na mmoja. Wakuu, nimchukue yupi kati ya hawa?
1 Reactions
17 Replies
309 Views
Have you ever sat across from a Tarot reader, nervously tapping your foot, waiting for that one ultimate card to flip over? We’ve all been there. Whether you are deeply single and wondering when...
0 Reactions
1 Replies
317 Views
Mwanza ? Arusha ? Mbeya ? Iringa ? Dodoma ? Hali ipoje hayo majiji,
9 Reactions
59 Replies
973 Views
Tarehe 29/04/2026 Mahakama Kuu ya Tanzania masjala ya Dar es Salaam imehitimisha kesi ya kusisimua na kusikitisha inayomhusisha Abdallah Miraji Mussa, maarufu kama "Mr. Blue", aliyepatikana na...
16 Reactions
135 Replies
2K Views
Wanaume wengi wanapo balehe , miaka 13 wakiwa kidato cha kwanza, wenye kuweza kutongoza huanza ngono na waoga huanza kujichua. Je, Wewe ulianza kujichua mpaka sasa upo na miaka zaidi ya 30...
16 Reactions
170 Replies
3K Views
Back
Top Bottom