Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Wahenga wanasema ni bora kuishi na mchawi kuliko mnafiki usiyemjua Hivi umewahi kuishi na snitch na unajua kabisa ana kunafikia? Then ukawa una mchora tu na unafiki wake anavyojimaliza? Mara...
25 Reactions
148 Replies
2K Views
Nimeamua kushare hapa hiki kisa cha kweli kilichonitokea kwenye maisha yangu. Nikiamini wengi mtajifunza na kuburudika pia. NB: Majina ya watu na baadhi ya Majina ya sehemu yatakuwa sio halisi...
46 Reactions
514 Replies
129K Views
30s guys wanachukiwa sana na hawa wadada maana 30s guys wamejikuta katika chaos time, uchumi mgumu na maendeleo yasio tabilika thus ukitaka kula hela yake lazima na wewe uliwe kisawa sawa😁😁 40s...
6 Reactions
28 Replies
480 Views
Wewe ukiguswa wapi mwili wako unaitikia au unalainika na kuwa tayari kwa mechi? Ngoja niwape kastory kidogo. Angalizo: kama hupendi mambo ya heka heka za chumbani, basi ishia hapa kusoma, si...
24 Reactions
272 Replies
3K Views
Hakuna sehemu maalum ya kupata mchumba au mke wa maisha. Hoja sio hiyo bali ilikuwaje ulipompata mchumba kupitia mtandaoni? Hasa mlipokubaliana mkutane kwa mara ya kwanza na kumpeleka...
5 Reactions
43 Replies
3K Views
Je, inaweza kua motro wa round ya kwanza ulikua mkali sana? Au mshedede unasukutua hadi unagusa maini na mapafu yake? Ana changamoto ya afya ya via vya uzazi au kisaikolojia? Je, hakuandaliwa...
3 Reactions
7 Replies
207 Views
Kutwa kuakaa kusifia mademu na ngono zao. Kwenu men. Kutwa kusifia miboo mikubwa na ngono za kuwapeleka puta. Kwenu women. Alafu unakuja kulalamika... Ndoa chungu" na vikauli kibao vya kuikosoa...
9 Reactions
59 Replies
647 Views
KAMA FAMILIA YENU MNAISHI KWA UPENDO, MSHUKURUNI SANA MUNGU. Miaka ya nyuma pindi tunakuwa kwa kiasi kikubwa familia nyingi zilikuwa na upendo, maelewano, na kutembeleana mara kwa mara. Lakini...
17 Reactions
25 Replies
854 Views
Kwema binaadamu wenzangu mliomo humu? Jamani kuna huyu mwanamke naweza sema ni mchumba wangu tuna kama miaka miwili toka tumefahamiana. Tumepitia stages tofauti tofauti, kugombana, kupotezeana...
25 Reactions
105 Replies
2K Views
Habari zenu, Wengine shikamoon. Si ujanja,wala usistaduu, kwenye kuishi na watu,bali unyenyekevu kama tunavyofundishwa kwenye nyumba za ibada unaweza kutuweka katika mazingira bora na kuwa na...
1 Reactions
6 Replies
168 Views
Harusi ni sherehe inayofanyika baada ya agano la ndoa. Unapowaza kufanya harusi usifikirie kuhusu pesa zilizopo kwenye mifuko ya watu. Angalia mfuko wako mwenyewe kama unaweza kumudu gharama za...
18 Reactions
52 Replies
1K Views
Kuna baadhi ya maeneo ya kazi ukiajiriwa tu unaanza kuamini dunia bado ina furaha. Sio kwa mshahara kwanza… bali mazingira yenyewe yanakuwa kama series isiyoisha kuhusu “uhamiaji wa viumbe wazuri”...
2 Reactions
6 Replies
215 Views
Wanaishi pamoja kama kawaida lakini wamechokana, mama anatamani baba afe ili arithi mali, baba anatamani mama afe ili aoe dogodogo. Halafu mbaya zaidi wanaombeana vifo vya ghafla na kuugua kwa...
72 Reactions
330 Replies
44K Views
Dah kweli nime amini maisha Yana hitaji mengi. 👉Mwezi huu Umekuwa wa kiutofauti sana upande wangu, aisee niko bored kinyama. Starehe zangu ni kula, kucheza game na kuangalia series. 👉Sinywi...
49 Reactions
2K Replies
48K Views
Twende kwenye mada; Jamani mi nina rafiki yangu ambae tulisoma wote primary & O-level, Baada ya hapo tulipotezana bila mawasiliano kwa miaka kadhaa, ila katika harakati za maisha tumekutana tena...
10 Reactions
66 Replies
976 Views
Wakuu kwema? Mwezi wa 3 mwaka huu nilimpoteza mpenzi wangu, na uzi nilileta hapa Ilimradi alikufa kipindi tukiwa hatuko sawa kutokana na yeye kunisaliti sasa tulikua tumepanga mengi kama mke na...
2 Reactions
30 Replies
1K Views
Kama unajijua kabisa 6 x 6 nguvu zimeisha, jogoo hawiki, dakika hufiki ushamaliza, n.k. Mkeo akikwambia huwezi kumridhisha, ukaendelea kubaki nae, siku ukagundua kaanza kutoka nje kwajili ya sex...
1 Reactions
2 Replies
128 Views
Yaani mwenza anapost vitu ambavyo unaona kabisa kakulenga wewe kufuatia mkwaruzano uliojitokeza. Mimi nachukia hii tabia ambayo wanawake wanayo zaidi. Kupost status ni kuwapa faida watu wengine...
5 Reactions
23 Replies
547 Views
Cool down, kubaliana na ukweli. Ndio maisha hayo, ndio asili ya wanawake kutaka upgrade au comfort kutoka kwa mwanaume. Hakuna chochote unachoweza kufanya kubadilisha hilo suala. Usilazimishe...
26 Reactions
57 Replies
1K Views
Hamn mwingine mwenye maarifa makubwa kama yeye.Akiwa jukwaan kuko best sana,asipokuwepo kuna boa sana. maana ana mautalaam balaa na nyuz zake nying n za kishua.Hongera sana mtaalam wet wa heshima.
7 Reactions
29 Replies
313 Views
Back
Top Bottom