Wahenga wanasema ni bora kuishi na mchawi kuliko mnafiki usiyemjua
Hivi umewahi kuishi na snitch na unajua kabisa ana kunafikia?
Then ukawa una mchora tu na unafiki wake anavyojimaliza?
Mara...
Nimeamua kushare hapa hiki kisa cha kweli kilichonitokea kwenye maisha yangu. Nikiamini wengi mtajifunza na kuburudika pia.
NB: Majina ya watu na baadhi ya Majina ya sehemu yatakuwa sio halisi...
30s guys wanachukiwa sana na hawa wadada maana 30s guys wamejikuta katika chaos time, uchumi mgumu na maendeleo yasio tabilika thus ukitaka kula hela yake lazima na wewe uliwe kisawa sawa😁😁
40s...
Wewe ukiguswa wapi mwili wako unaitikia au unalainika na kuwa tayari kwa mechi? Ngoja niwape kastory kidogo.
Angalizo: kama hupendi mambo ya heka heka za chumbani, basi ishia hapa kusoma, si...
Hakuna sehemu maalum ya kupata mchumba au mke wa maisha.
Hoja sio hiyo bali ilikuwaje ulipompata mchumba kupitia mtandaoni?
Hasa mlipokubaliana mkutane kwa mara ya kwanza na kumpeleka...
Je,
inaweza kua motro wa round ya kwanza ulikua mkali sana?
Au mshedede unasukutua hadi unagusa maini na mapafu yake?
Ana changamoto ya afya ya via vya uzazi au kisaikolojia?
Je,
hakuandaliwa...
KAMA FAMILIA YENU MNAISHI KWA UPENDO, MSHUKURUNI SANA MUNGU.
Miaka ya nyuma pindi tunakuwa kwa kiasi kikubwa familia nyingi zilikuwa na upendo, maelewano, na kutembeleana mara kwa mara.
Lakini...
Habari zenu,
Wengine shikamoon.
Si ujanja,wala usistaduu, kwenye kuishi na watu,bali unyenyekevu kama tunavyofundishwa kwenye nyumba za ibada unaweza kutuweka katika mazingira bora na kuwa na...
Harusi ni sherehe inayofanyika baada ya agano la ndoa.
Unapowaza kufanya harusi usifikirie kuhusu pesa zilizopo kwenye mifuko ya watu.
Angalia mfuko wako mwenyewe kama unaweza kumudu gharama za...
Kuna baadhi ya maeneo ya kazi ukiajiriwa tu unaanza kuamini dunia bado ina furaha. Sio kwa mshahara kwanza… bali mazingira yenyewe yanakuwa kama series isiyoisha kuhusu “uhamiaji wa viumbe wazuri”...
Wanaishi pamoja kama kawaida lakini wamechokana, mama anatamani baba afe ili arithi mali, baba anatamani mama afe ili aoe dogodogo. Halafu mbaya zaidi wanaombeana vifo vya ghafla na kuugua kwa...
Dah kweli nime amini maisha Yana hitaji mengi.
👉Mwezi huu Umekuwa wa kiutofauti sana upande wangu, aisee niko bored kinyama.
Starehe zangu ni kula, kucheza game na kuangalia series.
👉Sinywi...
Twende kwenye mada;
Jamani mi nina rafiki yangu ambae tulisoma wote primary & O-level,
Baada ya hapo tulipotezana bila mawasiliano kwa miaka kadhaa, ila katika harakati za maisha tumekutana tena...
Wakuu kwema?
Mwezi wa 3 mwaka huu nilimpoteza mpenzi wangu, na uzi nilileta hapa
Ilimradi alikufa kipindi tukiwa hatuko sawa kutokana na yeye kunisaliti sasa tulikua tumepanga mengi kama mke na...
Kama unajijua kabisa 6 x 6 nguvu zimeisha, jogoo hawiki, dakika hufiki ushamaliza, n.k.
Mkeo akikwambia huwezi kumridhisha, ukaendelea kubaki nae, siku ukagundua kaanza kutoka nje kwajili ya sex...
Yaani mwenza anapost vitu ambavyo unaona kabisa kakulenga wewe kufuatia mkwaruzano uliojitokeza. Mimi nachukia hii tabia ambayo wanawake wanayo zaidi. Kupost status ni kuwapa faida watu wengine...
Cool down, kubaliana na ukweli. Ndio maisha hayo, ndio asili ya wanawake kutaka upgrade au comfort kutoka kwa mwanaume. Hakuna chochote unachoweza kufanya kubadilisha hilo suala. Usilazimishe...
Hamn mwingine mwenye maarifa makubwa kama yeye.Akiwa jukwaan kuko best sana,asipokuwepo kuna boa sana.
maana ana mautalaam balaa na nyuz zake nying n za kishua.Hongera sana mtaalam wet wa heshima.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.