Wakuu kwema?
Mwezi wa 3 mwaka huu nilimpoteza mpenzi wangu, na uzi nilileta hapa
Ilimradi alikufa kipindi tukiwa hatuko sawa kutokana na yeye kunisaliti sasa tulikua tumepanga mengi kama mke na mme.
But tokea amekufa nimekua mpweke sana nimefuta picha zake zote ila nimeshindwa kufuta namba yake ya simu yaani nimeshindwa.
Natamani tena kuwa kwenye mahusiano nioe.
Nahisi nikikaa na mwanamke nikimuona mda wote nitakua sawa maana kwa sasa naishi peke yangu na wakati mwingine mdogo wangu huwa anakuja na kuondoka.
Nimekua mtu wa kusikiliza mziki mda wote
Naona kama ndo unanipa faraja kwa sasa natafuta partner nahisi naweza kukaa sawa.
Naombeni ushauri nichukue hatua gani?.
Mwezi wa 3 mwaka huu nilimpoteza mpenzi wangu, na uzi nilileta hapa
Ilimradi alikufa kipindi tukiwa hatuko sawa kutokana na yeye kunisaliti sasa tulikua tumepanga mengi kama mke na mme.
But tokea amekufa nimekua mpweke sana nimefuta picha zake zote ila nimeshindwa kufuta namba yake ya simu yaani nimeshindwa.
Natamani tena kuwa kwenye mahusiano nioe.
Nahisi nikikaa na mwanamke nikimuona mda wote nitakua sawa maana kwa sasa naishi peke yangu na wakati mwingine mdogo wangu huwa anakuja na kuondoka.
Nimekua mtu wa kusikiliza mziki mda wote
Naona kama ndo unanipa faraja kwa sasa natafuta partner nahisi naweza kukaa sawa.
Naombeni ushauri nichukue hatua gani?.