Wakuu,
Kuna pisi mmoja hivi nimeanza mahusiano nayo kama miezi 3 imepita. Kwa kweli inapenda sana Shoo.
Yaani kidogo tu anakuuliza uko wapi, ukimwambia uko home Dk 40 hizo hapo kashakuja geto...
Wakuu,nimeona watu wengi hasa wenye vipato vya juu huwalea binti zao wawe wenye vipato vyao,kazi nzuri,maisha mazuri na matokeo yake mabinti wengi huishia kwenye ukahaba,usingle mama na tabia...
Nimeikuta huko mtandaoni mtu anaomba ushauri nimesoma nimeumizwa sana lakini imenifikirisha zaidi.
Ni Me copy na kupaste nilitaka kuihariri nikaona naweza kupoteza maana hebu soma tu mwenyewe...
Hamjambo wanabodi.
Moja ya vitu vinampa mtu Amani na utulivu ni kufurahia mazingira ,iwe kazini,hotelini,mgahawani inshort kila unachofanya ni vizuri sana ukikifurahia.
Lakini suala la ugumu...
Ati ni kweli doggy style huwa inawaumiza..?
Shida ni nini haswa kama huwa mnaumia..?
Je, tufanye nini kwa usahihi zaidi ili muepuke maumivu kwa wanaoumia..?
Itakuwa vyema sana kama kwenye...
Kama wasomi na "Great Thinkers, sisi ni mabingwa wa kufanya Due Diligence ((upembuzi yakinifu). Ukitaka kununua kiwanja cha milioni tano Chanika, utaenda Wizara ya Ardhi, utaleta mpima ardhi wako...
Inaweza ikakushangaza lakini huu ndio ukweli wenyewe.
Katika jamii zetu za kiafrika wanawake walio wengi wanakuwa hawapo tayari kushiriki tendo pasipo ahadi ya kupewa pesa au zawadi fulani...
Kuna siku kazini tulikuwa na get together, basi tukatoka out Kama office to have dinner then later watu wakaextend wakaenda kwenye mziki, so what happened is my boss was there so nilishangaa tu...
Moja ya zawadi bora nilizopata kwenye maisha yangu, ni mdogo wangu wa mwisho. Hadithi muhimu ni kwamba alikuja katika wakati ambao hatukutarajia.
Mama yangu ni mtu ambaye anapenda watoto sana...
Wakuu, haya mahusino naona kabisa hatuna future, ila tumezoea kuwa pamoja na ndio kitu pekee kinatubakisha.
Kwa namna nilivyoishi na huyu bibie sihitaji kuachana naye kwa vurugu, nahitaji...
Astakafirurahi ndugu zanguni! Baada ya kusindikwa ambakati nzito na mke wangu, niliamua kuhama. Nimehamia nyumba ambayo inatia huruma sana
Yaani imejaa wadada wadogo wadogo, na wao wana watoto...
Guys (in.......'s Accent) natumaini harakati za utafutaji zinaendelea.
Sasa Mimi Leo sina mengi ila huwa najiuliza na bado nawauliza enyi wenye jinsia ya kiume kwamba Kwani mnaponunua bidhaa...
Ndugu zangu...
Onyo kama siyo 18+ haikuhusu.
Katika hali isiyo ya kawaida zile video za zinazochochea watu kutunguana au kujitungua mpaka kufika mlima kilimanjaro, nimegundua hazina uhalisia...
Ulimwengu wa mapenzi una vitu vingi sana!, ila ufundi na stadi kazi ndio tamu na asali ya ulimwengu huu!.
Nilijipatia mtoto fulani hivi kipotabo mweupe kidogo na umbile changamano!, siku hii ndio...
Wakuu,hali ni mbaya,hapa nilipo nimejikojolea mara mbili,jana bhana baada ya pilika pilika nikaona 'nikamsaule' demu wangu,nikampanga akanambia hana nafasi ya kukutana na mimi dingi yake...
Kule ulaya ukimfuata Demu ukamuambia unampenda jibu utalipata kabla hata dakika Tano hazijaisha. Akikupenda atakujibu I like you too na mazungumzo yataendelea akiona humvutii atakuambia I'm not...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.