Holoholo
JF-Expert Member
- May 10, 2023
- 8,703
- 19,589
Wakuu,nimeona watu wengi hasa wenye vipato vya juu huwalea binti zao wawe wenye vipato vyao,kazi nzuri,maisha mazuri na matokeo yake mabinti wengi huishia kwenye ukahaba,usingle mama na tabia zisizo faa.
Jamii nyingi vijijini zimekuwa zikiwaandaa mabinti waje kuwa mama bora,walezi na wajenzi wa familia.
Ndio maana wanandoa wengi ambao huachana ni wale wasomi,masingle mama wengi ni wasomi ambao wameachika. Niwapongeze watu wa vijijini kwa kuwalea mabinti zetu katika misingi ya uanauke.
Jamii nyingi vijijini zimekuwa zikiwaandaa mabinti waje kuwa mama bora,walezi na wajenzi wa familia.
Ndio maana wanandoa wengi ambao huachana ni wale wasomi,masingle mama wengi ni wasomi ambao wameachika. Niwapongeze watu wa vijijini kwa kuwalea mabinti zetu katika misingi ya uanauke.