Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Mimi huwa naletaga mada za ukweli zilizogusa maisha yangu ukipata la kujifunza jifunze Mnakumbuka mara ya mwisho niliwawekeaga uzi humu nlivyofumaniwa kigamboni kisha yule mwanamke nikaachana nae...
44 Reactions
104 Replies
4K Views
Wakuu kutekwa sasa basi kila mtu ajilinde anavyojua tutakwishaaaaa..... Hivi ni vitu nimejaribu kuacha na nimeshindwa kabisa 1. Kutosalimia salimia watu 2. Kutongoza mwanamke akizingua mara moja...
2 Reactions
36 Replies
586 Views
Usichukue silaha. Usimshambulie mtu yeyote. Usiruhusu dakika moja ya hasira iharibu maisha yako yote. Kwa sababu kilichoanza kama “usaliti kwenye ndoa” kinaweza kugeuka haraka kuwa KESI YA...
1 Reactions
3 Replies
275 Views
Nilichojua ni kwamba, hapo kabla ya wiki hii kuanza, ulikuwa hunipendi. Ila sasa ndani ya wiki hii umeamua kuniweka katika orodha ya vitu na watu ambao huwapendi milele(umenichukia). Sawa...
10 Reactions
76 Replies
1K Views
Mahusiano ya watu wengi yanakufa kwasababu ya kiburi , unakuta mtu anasema atanitafuta tu halafu mwisho wa siku imetoka hiyo , au mwengine anataka atafutwe yeye kwanza ana kiburi cha kujiona...
29 Reactions
132 Replies
2K Views
Mwanaume usiogope kuwa na machaguzi yako hii dunia sio ya waoga Siku hizi kuna wanawake wana list ndefu kama CV ya kazi: Anataka mwanaume mwenye pesa, gari, nyumba, connection, akili, nguvu…...
17 Reactions
112 Replies
1K Views
Kuna hii concept ya "Open relationship" kwamba wewe uko kwenye mahusiano na mtu lakini mnapeana ruhusa ya kuwa na mahusiano na watu wengine nje ya mahusiano yenu. Miezi kadhaa iliyopita niliwahi...
6 Reactions
76 Replies
3K Views
Kupitia ukurasa wa Instagram wa Mannara ameandika ujumbe huu baada ya kuona wimbo wa Dulla Makabila, "Ukijiendekeza utajipiga kitanzi kweli ww shauri yako Ok nna jirani yangu anatafuta Mume njoo...
2 Reactions
3 Replies
181 Views
nmechoka na usela awe mweupe mwenye makebo makubwa.Na awe yupo dsm din muislamu kabila msambaa. Nipo 28 yrs my future my awe 19-25 yrs.
1 Reactions
20 Replies
377 Views
Habari ndugu zangu... nimerudi tena... Kama ni wafuatiliaji wa threada zangu zilizopita kuhusu MKE wangu,,mtakuwa mnanielewa Tangu MKE wangu aondoke,,,kwasasa ni Mwezi Mmoja na Nusu,,, niliamua...
10 Reactions
61 Replies
2K Views
Wapo watu ambao baada ya kuachana na wapenzi wao huanza kung'aa, kuwa huru, na hata kujiendeleza zaidi. Je, ni kwamba mahusiano yao yalikuwa kikwazo? Au kuna kitu watu hukosea wanapokuwa kwenye...
8 Reactions
19 Replies
974 Views
Habari wana JF, Kweli nimeamini kuna wakati tunatakiwa kuheshimu mawazo yetu ya awali hasa wakati tunapojaribu kufikiria jambo fulani linalotutatiza kiuhalisia. Katika maisha yangu niliamini...
7 Reactions
51 Replies
2K Views
Gentlemens woz-up? Ipo hivi kuna mke wa mtu tulikutana tumezoea na kuanza mahusiano ya kimapenzi japo hatukuwai kutana kimwili hata siku moja . Kwa maana anadai mme wake yupo nae anamchunga sana...
7 Reactions
56 Replies
864 Views
Mnaanza lini tena member mpya nipo hapa Nimesoma ule uzi wa nguvu itokanayo na jambo hilo am in aiseee
12 Reactions
81 Replies
1K Views
Wakuu, Kuna pisi mmoja hivi nimeanza mahusiano nayo kama miezi 3 imepita. Kwa kweli inapenda sana Shoo. Yaani kidogo tu anakuuliza uko wapi, ukimwambia uko home Dk 40 hizo hapo kashakuja geto...
7 Reactions
27 Replies
627 Views
Wakuu,nimeona watu wengi hasa wenye vipato vya juu huwalea binti zao wawe wenye vipato vyao,kazi nzuri,maisha mazuri na matokeo yake mabinti wengi huishia kwenye ukahaba,usingle mama na tabia...
2 Reactions
6 Replies
142 Views
  • Redirect
Ushimen "Nipo sebleni kwa shemeji hapa nimekula pensi na kifua changu wazi nasubiria tamthilia ya kobisi, aloooh, huo mziki sio kawaida"
5 Reactions
Replies
Views
Tawire tawire Aisee kuna kamchezo kameibuka kanakofanywa na mademu siku hizi, ukiomba namba unapewa kiroho safi chaaaaaap, ila ukimtafuta baaadae kwa kumpigia simu haipokelewi, ukimtext hajibu...
11 Reactions
101 Replies
2K Views
Nimeikuta huko mtandaoni mtu anaomba ushauri nimesoma nimeumizwa sana lakini imenifikirisha zaidi. Ni Me copy na kupaste nilitaka kuihariri nikaona naweza kupoteza maana hebu soma tu mwenyewe...
4 Reactions
28 Replies
957 Views
Hamjambo wanabodi. Moja ya vitu vinampa mtu Amani na utulivu ni kufurahia mazingira ,iwe kazini,hotelini,mgahawani inshort kila unachofanya ni vizuri sana ukikifurahia. Lakini suala la ugumu...
5 Reactions
12 Replies
247 Views
Back
Top Bottom