Mimi huwa naletaga mada za ukweli zilizogusa maisha yangu ukipata la kujifunza jifunze
Mnakumbuka mara ya mwisho niliwawekeaga uzi humu nlivyofumaniwa kigamboni kisha yule mwanamke nikaachana nae...
Wakuu kutekwa sasa basi kila mtu ajilinde anavyojua tutakwishaaaaa.....
Hivi ni vitu nimejaribu kuacha na nimeshindwa kabisa
1. Kutosalimia salimia watu
2. Kutongoza mwanamke akizingua mara moja...
Usichukue silaha.
Usimshambulie mtu yeyote.
Usiruhusu dakika moja ya hasira iharibu maisha yako yote.
Kwa sababu kilichoanza kama “usaliti kwenye ndoa”
kinaweza kugeuka haraka kuwa KESI YA...
Nilichojua ni kwamba, hapo kabla ya wiki hii kuanza, ulikuwa hunipendi.
Ila sasa ndani ya wiki hii umeamua kuniweka katika orodha ya vitu na watu ambao huwapendi milele(umenichukia).
Sawa...
Mahusiano ya watu wengi yanakufa kwasababu ya kiburi , unakuta mtu anasema atanitafuta tu halafu mwisho wa siku imetoka hiyo , au mwengine anataka atafutwe yeye kwanza ana kiburi cha kujiona...
Mwanaume usiogope kuwa na machaguzi yako
hii dunia sio ya waoga
Siku hizi kuna wanawake wana list ndefu kama CV ya kazi:
Anataka mwanaume mwenye pesa, gari, nyumba, connection, akili, nguvu…...
Kuna hii concept ya "Open relationship" kwamba wewe uko kwenye mahusiano na mtu lakini mnapeana ruhusa ya kuwa na mahusiano na watu wengine nje ya mahusiano yenu.
Miezi kadhaa iliyopita niliwahi...
Kupitia ukurasa wa Instagram wa Mannara ameandika ujumbe huu baada ya kuona wimbo wa Dulla Makabila,
"Ukijiendekeza utajipiga kitanzi kweli ww shauri yako
Ok nna jirani yangu anatafuta Mume njoo...
Habari ndugu zangu... nimerudi tena...
Kama ni wafuatiliaji wa threada zangu zilizopita kuhusu MKE wangu,,mtakuwa mnanielewa
Tangu MKE wangu aondoke,,,kwasasa ni Mwezi Mmoja na Nusu,,, niliamua...
Wapo watu ambao baada ya kuachana na wapenzi wao huanza kung'aa, kuwa huru, na hata kujiendeleza zaidi. Je, ni kwamba mahusiano yao yalikuwa kikwazo? Au kuna kitu watu hukosea wanapokuwa kwenye...
Habari wana JF,
Kweli nimeamini kuna wakati tunatakiwa kuheshimu mawazo yetu ya awali hasa wakati tunapojaribu kufikiria jambo fulani linalotutatiza kiuhalisia.
Katika maisha yangu niliamini...
Gentlemens woz-up?
Ipo hivi kuna mke wa mtu tulikutana tumezoea na kuanza mahusiano ya kimapenzi japo hatukuwai kutana kimwili hata siku moja .
Kwa maana anadai mme wake yupo nae anamchunga sana...
Wakuu,
Kuna pisi mmoja hivi nimeanza mahusiano nayo kama miezi 3 imepita. Kwa kweli inapenda sana Shoo.
Yaani kidogo tu anakuuliza uko wapi, ukimwambia uko home Dk 40 hizo hapo kashakuja geto...
Wakuu,nimeona watu wengi hasa wenye vipato vya juu huwalea binti zao wawe wenye vipato vyao,kazi nzuri,maisha mazuri na matokeo yake mabinti wengi huishia kwenye ukahaba,usingle mama na tabia...
Nimeikuta huko mtandaoni mtu anaomba ushauri nimesoma nimeumizwa sana lakini imenifikirisha zaidi.
Ni Me copy na kupaste nilitaka kuihariri nikaona naweza kupoteza maana hebu soma tu mwenyewe...
Hamjambo wanabodi.
Moja ya vitu vinampa mtu Amani na utulivu ni kufurahia mazingira ,iwe kazini,hotelini,mgahawani inshort kila unachofanya ni vizuri sana ukikifurahia.
Lakini suala la ugumu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.