cacutee
JF-Expert Member
- Apr 9, 2024
- 1,872
- 4,789
Guys (in.......'s Accent) natumaini harakati za utafutaji zinaendelea.
Sasa Mimi Leo sina mengi ila huwa najiuliza na bado nawauliza enyi wenye jinsia ya kiume kwamba Kwani mnaponunua bidhaa wanazouza wanawake wanaofanyia biashara kwenye mikusanyiko ya watu mfano nguo, chakula n.k ni huruma? Au huwa mnawaza nini? Unakuta mtu ni mteja wako mzuri tu daily anakuungisha kwenye biashara yako (namaanisha biashara halali maana hamshindwi kuwaza mengine) sasa kosa akuone unamzoea mwanaume mwingine ambaye nae ni mteja wako tayari anakuhama. Au mwisho akutongoze umkatalie tayari anakuhama kama hakuwahi kuwa mteja wako vile.
Mbona Sisi wanawake hatuko hivyo? Kama namuungisha mtu nakuwa mteja tu Hadi pale nitakapoona sihitaji tena au nimepata mbadala.
Wanaume mnakwama sana nyie mtuungishe tu ila Mambo mengine myaweke pembeni.
#badonahitajifreezermsijikaushe
Sasa Mimi Leo sina mengi ila huwa najiuliza na bado nawauliza enyi wenye jinsia ya kiume kwamba Kwani mnaponunua bidhaa wanazouza wanawake wanaofanyia biashara kwenye mikusanyiko ya watu mfano nguo, chakula n.k ni huruma? Au huwa mnawaza nini? Unakuta mtu ni mteja wako mzuri tu daily anakuungisha kwenye biashara yako (namaanisha biashara halali maana hamshindwi kuwaza mengine) sasa kosa akuone unamzoea mwanaume mwingine ambaye nae ni mteja wako tayari anakuhama. Au mwisho akutongoze umkatalie tayari anakuhama kama hakuwahi kuwa mteja wako vile.
Mbona Sisi wanawake hatuko hivyo? Kama namuungisha mtu nakuwa mteja tu Hadi pale nitakapoona sihitaji tena au nimepata mbadala.
Wanaume mnakwama sana nyie mtuungishe tu ila Mambo mengine myaweke pembeni.
#badonahitajifreezermsijikaushe