Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Nakumbuka mwaka 2017 nilipata nafasi fulani ya kwenda mahala kujifunza masuala ya ufugaji.Ilikua ni programe imeandaliwa na mahali pangu pa kazi. Tulivyofika Kule singida tulikutana watu kutoka...
17 Reactions
43 Replies
3K Views
  • Redirect
Mwanaume mwenye akili timamu hawezi kuoa single maza Single maza wapo kwa ajili ya wanaume mabwege wajinga wajingwa wasiojitambua tu, ila kwa mwanaume anafahamu uanaume ni nini hawezi kuoa single...
2 Reactions
Replies
Views
Nataka nijue kwanini, Nimeambiwa ila sijapewa sabbu Kama ni mapenzi ni usiwe nae au awe mmoja na kama ni mmoja na yeye asigawe Uhusiano wa madini na mapenzi ukoje?? Na je ni madini tu...
11 Reactions
51 Replies
890 Views
Ni mwanzo tulivu sana wa weekend... maeneo fulani nimetulia na PC yangu nikaona nieleze kinaga ubaga kuhusu jambo hili lililoshamiri mno miongoni mwetu tulio wengi. ingawa jmbo hili halisemwi...
4 Reactions
27 Replies
643 Views
Salaam jamiiforum. Pombe ni burudani ambayo ipo tangu enzi za manabii,ikiwa ni moja ya burudani nzuri,yenye kukutanisha marafiki,wachapakazi pamoja na wazalendo. Sisi wenyewe ni mashahidi ni...
11 Reactions
86 Replies
1K Views
Peace be with you all, Nianze na ka kisa fulani kalitokea majuzi. Nilikua restaurant fulani hapa A town ghafla nikanuona mwanamke mmoja mrembo sana na alikua nadhifu sana. (Navutiwa na wanawake...
4 Reactions
19 Replies
1K Views
Kitu ambacho watu wengi hawajui ni kwamba mwanamke anazaliwa akiwa na thamani (value) lakini mwanaume anazaliwa hana thamani (value) kisha thamani ya mwanaume anaitengeneza kwa kufanya kazi,kubeba...
9 Reactions
16 Replies
2K Views
Mimi huwa naletaga mada za ukweli zilizogusa maisha yangu ukipata la kujifunza jifunze Mnakumbuka mara ya mwisho niliwawekeaga uzi humu nlivyofumaniwa kigamboni kisha yule mwanamke nikaachana nae...
44 Reactions
104 Replies
4K Views
Wakuu kutekwa sasa basi kila mtu ajilinde anavyojua tutakwishaaaaa..... Hivi ni vitu nimejaribu kuacha na nimeshindwa kabisa 1. Kutosalimia salimia watu 2. Kutongoza mwanamke akizingua mara moja...
2 Reactions
36 Replies
586 Views
Usichukue silaha. Usimshambulie mtu yeyote. Usiruhusu dakika moja ya hasira iharibu maisha yako yote. Kwa sababu kilichoanza kama “usaliti kwenye ndoa” kinaweza kugeuka haraka kuwa KESI YA...
1 Reactions
3 Replies
275 Views
Nilichojua ni kwamba, hapo kabla ya wiki hii kuanza, ulikuwa hunipendi. Ila sasa ndani ya wiki hii umeamua kuniweka katika orodha ya vitu na watu ambao huwapendi milele(umenichukia). Sawa...
10 Reactions
76 Replies
1K Views
Mahusiano ya watu wengi yanakufa kwasababu ya kiburi , unakuta mtu anasema atanitafuta tu halafu mwisho wa siku imetoka hiyo , au mwengine anataka atafutwe yeye kwanza ana kiburi cha kujiona...
29 Reactions
132 Replies
2K Views
Mwanaume usiogope kuwa na machaguzi yako hii dunia sio ya waoga Siku hizi kuna wanawake wana list ndefu kama CV ya kazi: Anataka mwanaume mwenye pesa, gari, nyumba, connection, akili, nguvu…...
17 Reactions
112 Replies
1K Views
Kuna hii concept ya "Open relationship" kwamba wewe uko kwenye mahusiano na mtu lakini mnapeana ruhusa ya kuwa na mahusiano na watu wengine nje ya mahusiano yenu. Miezi kadhaa iliyopita niliwahi...
6 Reactions
76 Replies
3K Views
Kupitia ukurasa wa Instagram wa Mannara ameandika ujumbe huu baada ya kuona wimbo wa Dulla Makabila, "Ukijiendekeza utajipiga kitanzi kweli ww shauri yako Ok nna jirani yangu anatafuta Mume njoo...
2 Reactions
3 Replies
182 Views
nmechoka na usela awe mweupe mwenye makebo makubwa.Na awe yupo dsm din muislamu kabila msambaa. Nipo 28 yrs my future my awe 19-25 yrs.
1 Reactions
20 Replies
377 Views
Habari ndugu zangu... nimerudi tena... Kama ni wafuatiliaji wa threada zangu zilizopita kuhusu MKE wangu,,mtakuwa mnanielewa Tangu MKE wangu aondoke,,,kwasasa ni Mwezi Mmoja na Nusu,,, niliamua...
10 Reactions
61 Replies
2K Views
Wapo watu ambao baada ya kuachana na wapenzi wao huanza kung'aa, kuwa huru, na hata kujiendeleza zaidi. Je, ni kwamba mahusiano yao yalikuwa kikwazo? Au kuna kitu watu hukosea wanapokuwa kwenye...
8 Reactions
19 Replies
974 Views
Habari wana JF, Kweli nimeamini kuna wakati tunatakiwa kuheshimu mawazo yetu ya awali hasa wakati tunapojaribu kufikiria jambo fulani linalotutatiza kiuhalisia. Katika maisha yangu niliamini...
7 Reactions
51 Replies
2K Views
Gentlemens woz-up? Ipo hivi kuna mke wa mtu tulikutana tumezoea na kuanza mahusiano ya kimapenzi japo hatukuwai kutana kimwili hata siku moja . Kwa maana anadai mme wake yupo nae anamchunga sana...
7 Reactions
56 Replies
864 Views
Back
Top Bottom