Nakumbuka mwaka 2017 nilipata nafasi fulani ya kwenda mahala kujifunza masuala ya ufugaji.Ilikua ni programe imeandaliwa na mahali pangu pa kazi.
Tulivyofika Kule singida tulikutana watu kutoka...
Mwanaume mwenye akili timamu hawezi kuoa single maza
Single maza wapo kwa ajili ya wanaume mabwege wajinga wajingwa wasiojitambua tu, ila kwa mwanaume anafahamu uanaume ni nini hawezi kuoa single...
Nataka nijue kwanini, Nimeambiwa ila sijapewa sabbu
Kama ni mapenzi ni usiwe nae au awe mmoja na kama ni mmoja na yeye asigawe
Uhusiano wa madini na mapenzi ukoje??
Na je ni madini tu...
Ni mwanzo tulivu sana wa weekend... maeneo fulani nimetulia na PC yangu nikaona nieleze kinaga ubaga kuhusu jambo hili lililoshamiri mno miongoni mwetu tulio wengi. ingawa jmbo hili halisemwi...
Salaam jamiiforum.
Pombe ni burudani ambayo ipo tangu enzi za manabii,ikiwa ni moja ya burudani nzuri,yenye kukutanisha marafiki,wachapakazi pamoja na wazalendo.
Sisi wenyewe ni mashahidi ni...
Peace be with you all,
Nianze na ka kisa fulani kalitokea majuzi. Nilikua restaurant fulani hapa A town ghafla nikanuona mwanamke mmoja mrembo sana na alikua nadhifu sana. (Navutiwa na wanawake...
Kitu ambacho watu wengi hawajui ni kwamba mwanamke anazaliwa akiwa na thamani (value) lakini mwanaume anazaliwa hana thamani (value) kisha thamani ya mwanaume anaitengeneza kwa kufanya kazi,kubeba...
Mimi huwa naletaga mada za ukweli zilizogusa maisha yangu ukipata la kujifunza jifunze
Mnakumbuka mara ya mwisho niliwawekeaga uzi humu nlivyofumaniwa kigamboni kisha yule mwanamke nikaachana nae...
Wakuu kutekwa sasa basi kila mtu ajilinde anavyojua tutakwishaaaaa.....
Hivi ni vitu nimejaribu kuacha na nimeshindwa kabisa
1. Kutosalimia salimia watu
2. Kutongoza mwanamke akizingua mara moja...
Usichukue silaha.
Usimshambulie mtu yeyote.
Usiruhusu dakika moja ya hasira iharibu maisha yako yote.
Kwa sababu kilichoanza kama “usaliti kwenye ndoa”
kinaweza kugeuka haraka kuwa KESI YA...
Nilichojua ni kwamba, hapo kabla ya wiki hii kuanza, ulikuwa hunipendi.
Ila sasa ndani ya wiki hii umeamua kuniweka katika orodha ya vitu na watu ambao huwapendi milele(umenichukia).
Sawa...
Mahusiano ya watu wengi yanakufa kwasababu ya kiburi , unakuta mtu anasema atanitafuta tu halafu mwisho wa siku imetoka hiyo , au mwengine anataka atafutwe yeye kwanza ana kiburi cha kujiona...
Mwanaume usiogope kuwa na machaguzi yako
hii dunia sio ya waoga
Siku hizi kuna wanawake wana list ndefu kama CV ya kazi:
Anataka mwanaume mwenye pesa, gari, nyumba, connection, akili, nguvu…...
Kuna hii concept ya "Open relationship" kwamba wewe uko kwenye mahusiano na mtu lakini mnapeana ruhusa ya kuwa na mahusiano na watu wengine nje ya mahusiano yenu.
Miezi kadhaa iliyopita niliwahi...
Kupitia ukurasa wa Instagram wa Mannara ameandika ujumbe huu baada ya kuona wimbo wa Dulla Makabila,
"Ukijiendekeza utajipiga kitanzi kweli ww shauri yako
Ok nna jirani yangu anatafuta Mume njoo...
Habari ndugu zangu... nimerudi tena...
Kama ni wafuatiliaji wa threada zangu zilizopita kuhusu MKE wangu,,mtakuwa mnanielewa
Tangu MKE wangu aondoke,,,kwasasa ni Mwezi Mmoja na Nusu,,, niliamua...
Wapo watu ambao baada ya kuachana na wapenzi wao huanza kung'aa, kuwa huru, na hata kujiendeleza zaidi. Je, ni kwamba mahusiano yao yalikuwa kikwazo? Au kuna kitu watu hukosea wanapokuwa kwenye...
Habari wana JF,
Kweli nimeamini kuna wakati tunatakiwa kuheshimu mawazo yetu ya awali hasa wakati tunapojaribu kufikiria jambo fulani linalotutatiza kiuhalisia.
Katika maisha yangu niliamini...
Gentlemens woz-up?
Ipo hivi kuna mke wa mtu tulikutana tumezoea na kuanza mahusiano ya kimapenzi japo hatukuwai kutana kimwili hata siku moja .
Kwa maana anadai mme wake yupo nae anamchunga sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.