Chadema 2030
JF-Expert Member
- May 5, 2025
- 1,911
- 3,736
Je ni sahihi kwa wanajamii kuwatenga, wanaume wasiokuwa na familia?
Atakama n msom na hana familia anaonekana c wa maana
Ndiyo maana kipindi fulani nilishauri fimbo zirudishwe JF. Bila bakora maswali ya hovyo hayatakoma.Maswali mengine bwana