Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Kadiri ninavyowachunguza watu na mahusiano yao, ndivyo ninavyozidi kuamini kuwa moja ya matatizo makubwa tuliyorithi kutoka kwa wazazi wetu ni utamaduni wa kuishi kwa ajili ya maoni ya wengine...
0 Reactions
1 Replies
110 Views
Kwa sababu ya umri na kupungua kwa majukumu ya kazi miezi ya karibuni nimekuwa nikipata muda wa kutafakari matukio kadhaa ambayo yameacha alama kwenye maisha yangu. Aidha ni matukio yalitonitokea...
3 Reactions
8 Replies
965 Views
Habari ndugu... Nakumbuka huko Nyuma niliwaletea mirejesho ya MKE wangu kama mnakumbuka.. Sasa MKE wangu baada ya kusikia namtafuta kweli alirudi baada ya kwenda kwa wazazi wangu na baadae...
11 Reactions
84 Replies
2K Views
Baada ya mimi kurudi home siku ambayo wife hakutarajia ntarudi ,sikumkuta nyumbani na nilipompigia simu yy alijibu yupo home anaangalia tamthilia. Nimekaa kuanzia saa moja usiku mpka saa sita...
100 Reactions
1K Replies
105K Views
Couple inaenda miaka 25, mbunge huyu wazamani, Jimbo la bumbuli, lushoto Tanga, limenipa furaha,lakini ghafla nikanuna, nikakumbuka jambo. The no 1 artist kule tandale, katika mahojiano aliwahi...
7 Reactions
13 Replies
538 Views
1. Kupaka kucha rangi. Asipakwe na mpaka rangi utakuja unishukuru. 2. Masaji mfanyie wewe mwenyewe,tofauti na hapo utajuta. 3. Mlambishe koni. Aslam aleykum
9 Reactions
19 Replies
321 Views
Wakuu, Tupo sehemu tunabishana na wadau. Mwanamke aliyefiwa na mumewe huwa anaitwa Mjane, vipi mwanaume akifiwa na mke anaitwaje? Kuna sehemu nilisema anaitwa mgane wakasema siyo kweli kuwa...
0 Reactions
43 Replies
92K Views
Wanawake Ukiwanyima Tu pesa Kauli Inayofuata Ni "Wanaume Wote Ni Mbwa" Hii kauli Ilitokana Na Mapenzi Watu wanajiua Kisa mapenzi Laiti haya Mapenzi yangekuwa mtihani wa taifa wengi tungekuwa...
1 Reactions
0 Replies
199 Views
Kwa niaba ya wanaJF Leo ni bora nitoe la moyoni,mdada mwenye usingle wa mwili na roho kama mkaka mimi sizani kama itakuwa mbaya tukiunda joint yetu na kuanza safari mpya as couple au hata...
3 Reactions
43 Replies
2K Views
Leo nimeona nishare hii story yangu. Ilikuwa hivi, nilivyomaliza chuo nilibaki Dar nikipambana na life. Ndani ya muda kidogo nikapata job bana, mshahara si haba. You can imagine umetoka chuo kwa...
223 Reactions
207 Replies
18K Views
1/ Dunia ya leo, upendo wa kweli ni nadra. Watu wengi wanaishi maisha ya ku-pretend tu. Ukiwa na mtu, akagundua hawezi kupata kitu, huondoka. Hii ndio ukweli wa mahusiano. 2/ Wengi wanafanya ndoa...
15 Reactions
96 Replies
2K Views
Muda mwingine huwa nawaza tu, hivi Hawa watoto walioko mtaani ni kosa au matokeo ya nani??. jibu ni sisi , ndio ni Mimi na wewe, Kama sio sisi, ni yule au wale. Haijalishi we ni mzuri auhandsome...
26 Reactions
223 Replies
6K Views
Niende moja kwa moja kwenye mada leo asubuhi na mapema. Katika jamii yetu kwa sasa kumekuwa na mijadala mingi kuhusu ndoa hasa kutokana na idadi ya migogoro na talaka kuongezeka kila mwaka. Wakati...
1 Reactions
17 Replies
260 Views
Kila ninachokipata kinapotea kwenye mazingira yasiyoeleweka, kichwa kikuu kimeshindwa kabisa kufanya maamuzi magumu ya kuzuia pesa isipotee. Maendeleo yangu yamekuwa ni yakusua sua, wakati...
5 Reactions
18 Replies
325 Views
Kwa miaka mingi, jamii imekuwa ikitazama kufika kilele (orgasm) kama hatua ya mwisho na ushahidi wa mafanikio katika tendo la ndoa. Katika filamu, vitabu na hata mazungumzo ya kawaida, kilele...
2 Reactions
8 Replies
458 Views
Wakuu, Jana Vodacom system ili crash mida ya jioni. Kuna transaction nilifanya mida hio. Sasa nikasubiri labda meseji itarudi hakuna meseji iliyorudi mpaka leo muda huu hakuna meseji hakuna...
7 Reactions
42 Replies
725 Views
Niliwahi kuwa na girlfriend back in 2018, Alienielezea namna jamaa alivyokuwa anamchapa makofi na muda mwingine kumuingilia kinguvu kingono. Na akasema hataka amrudie tena huyo mbwa Red flag...
0 Reactions
1 Replies
160 Views
Jaman za jioni? Basi nimekumbuka hii story nimejicheka Sana. Katika pitapita zangu za utafutaji kipindi flani nikakutana na mkaka flani mfanyabiashara mkubwa tu..... Me bwana nikawa busy na...
28 Reactions
182 Replies
3K Views
Guys kuna raha kua Mwanamke na raha ya Mwanamke kuhudumiwa, acheni sasa niwaambie mimi ni yule mwanamke hata nikipata mshahara sasa hivi, bado nitapiga simu kwa kaka zangu (wananipenda sana...
42 Reactions
764 Replies
8K Views
Hello wakuuu Tupeane mbinu mnaishije na mwenza au mpenzi mwenye tabia ngumu ambapo unakuta io tabia inakukera au zinakukera sana na umejaribu kuongea nae mara kwa mara lakini haachi,,,na unakuta...
13 Reactions
96 Replies
817 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…