kuna sehemu nilisema anaitwa mgane wakasema siyo kweli kuwa kunajinalake! waswahili mnisaidie
Sidhani kama kuna namna yoyote ya kumwita mtu wa namna hii. Nimetafuta na nimeshindwa. Nafikiri kuna haja ya kutengeneza neno na kuliongeza kwenye msamiati wa kiswahili. Mgane lingefaa tu...:wink2:
Kiswahili fasaha ni MGANE
kama ujui bora kunyamaza wapo wanaojua na mdau jina aliloweka ndilo linatumika.
kuna sehemu nilisema anaitwa mgane wakasema siyo kweli kuwa kunajinalake! waswahili mnisaidie
Ni kweli ulikosea kwakuwa haitwi mgane bali mjanekuna sehemu nilisema anaitwa mgane wakasema siyo kweli kuwa kunajinalake! waswahili mnisaidie
babu niaje tena? hahahahahahaNi kweli ulikosea kwakuwa haitwi mgane bali mjane
Au kama vipi ukiona limekushinda sana waweza mwita wifi.:lalala:
kuna sehemu nilisema anaitwa mgane wakasema siyo kweli kuwa kunajinalake! waswahili mnisaidie