Ukiona nimekuja humu asubuhi, ujue kuna jambo zito. Aunty yenu nimeshapaki najiandaa kuondoka mjini weekend hii ila jana nimepewa kichapo cha haja kimenifanya niahirishe safari, nitaondoka kesho...
Jamani wakubwa zangu shikamooni.
Mdogo wenu nimeyakanyaga, kuna mwanamke ni mke wa mtu tena wa ndoa kabisa. Katika kuendekeza ngono zembe nimejikuta nimempiga mimba. Cha kushangaza yeye...
CK (Comrade Kipepe)
Namkaribisha binti yoyote hapa jf (hata single maza) kama unajijua ni mzuri na unavutia na mtulivu, nakukaribisha weekend ya tarehe 21 mwezi huu wa 12, tutoke ule unachotaka...
Yaani utakuta mtu amekutoa out mtaongea weeee, sasa muda wa kuondoka anakusindikiza mpka stand ndo unakuta anatoa elfu Tano au elfu kumi anakupa mbele ya kadamnasi itakusaidia nauli.
Khaa!! Yaani...
Bwana ni mwema wakati wote.
Wewe mwanaume mpumbavu unayemfukuza nyumbani binti yako kwa sababu kapata ujauzito akiwa nyumbani nakukumbusha tu kuwa DUNIA HAINA HURUMA.
Iwapo wewe mzazi umeamua...
Kuna mdogo wangu anapiga mishe mishe maeneo ya Babati na Mbulu, katika mawasiliano yangu na yake akaniambia braza njoo utalii huku maeneo ya mbulu kuna watoto wazuri kuliko hata waarabu...
Habari za mda huu wadau wa JamiiForums kama mada inavyojieleza apo juu naomba kuwasilisha kisa cha kweli ili kuweza kupata mawazo na michango tofauti x2 kutoka kwenu.
Mimi ni kijana wa kitanzania...
Katika zama hizi, wanaume wanapotia magumu sana. Wapo na insecure sana. Kuna matabaka kibao. Hawa wanaogopa kuoa, hawa wanawachukia wanawake, hawa wapo jela sababu ya wanawake wengine mpaka...
Yes she is gift,
You only see her natural glowing skin on her hands
Her voice of compassion, smooth like an Arabian serin.
Its very enough to judge if she is so much beutfull, by simply looking...
Faida za tendo la ndoa kiafya
Post hii inawahusu wanandoa tu..
Kufanya sex kunasaidia kuzuia saratani ya kizazi.
Kufanya sex kunazuia kuziba kwa mirija.
Kufanya sex kunapunguza mafuta mwilini...
Mbaya zaidi ni Mwalimu wa chuo cha kati na mwanafunzi ni wa chuo cha kati,
Natamani nimwambie atoe kwasababu wazazi wake wakijua watakuja chuo na wakija basi sijui kama ntakuwa na KAZI tena...
1. Kwanini mke wa mtu huwa ni mtamu sana?
2. Watu wanaokunywa pombe za kienyeji huwa na mionekano ya maisha magumu sana si wanywaji wala wauzaji?
3. Wanawake huwa wanawaza na kupambana kumtawala...
Nafikiri mwaka ukiisha mnipe tuzo ya watesekaji bora wa mahusiano JF.
Nipo na huyu kijana mwezi wa pili sasa lakini naona kama mapichapicha japo since tunaanza niliona ni mtu wa hivyo ila...
EPS 1
Heshima Kwenu Wakuu,
Niliwaahidi Kwamba Nitawaletea Mkasa Kuhusu safari au Hekaheka zangu nilizozipata wakati nafanya Shughuli zangu za Udalali Jiji la Dar es salaam na maeneo ya jirani...
KINDS OF SEX IN MARRIAGE!!!
🔊 RECONCILIATION SEX:- Sex is a most potent weapon for diluting and difusing misunderstanding in Marriage. If you don't use SEX to settle some stubborn crisis, then...
Katika mambo ambayo mwanzo niliyapinga sana kutoka wanaume wenzangu
Ni jambo la kusema kuwa mwanamke hawezi kuachana na Ex hasa hasa mwanaume wake wa kwanza
Nilikuwa nafikiria ni uongo na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.