Aina za ndoa...
1. NDOA YA MKEKA
Inatokana na kufumaniwa na Binti wa watu. Ndoa hii huwa Haina mahari. Hii huvunjika mwaka mmoja tu baada ya wanandoa kugundua hawakuwa wakipendana!
2. NDOA YA...
Ni swali tu, maana nahis JF ni forum ya wagumu, haitoi fursa kutangaza uzuri wa mtu kwa sura, au Amber ruti yake,
Katika mawazo Nawaona wadada wa JF kama wale wadada waliokuwa wanaongoza masomo...
Wasalaam
Hii ni story ya kweli ambayo imetokea kwenye maisha yangu napenda nishare nanyi kisa hiki kifupi ili tujifunze na tuburudike.
Mnamo mwaka 2019 nilimaliza elimu ya digrii katika chuo...
Habari, mimi ni member ya JF , nimerudi Tena baada ya muda mrefu.
Mimi ni mtaalamu wa afya pia nafundisha chuo mpk sasa.
Sasa miaka kadhaa nyuma nilikuwa ni mwalimu katika chuo kimoja Cha afya...
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Husikeni na kichwa cha habari hapo juu!
Kwa utangulizi mfupi mimi nilipata ajali July sasa kutokana na hiyo ajali bado...
Ukianza kuishi na mpenzi wako siku za mwanzo kila kitu kinaonekana kipya. Mkikaa sebuleni mnaangaliana tu mnacheka bila sababu. Simu ikiita unamuuliza nani huyo? kwa sauti ya upendo. Hata akienda...
Mwezi uliopita nilienda duka la madawa kuingia mle nikakuta kuna mdada fulani simple sn mcheshi, nikamuelewa sana nikaomba namba nikapewa.
Tumechat sn siku hiyo kumbe pia ni mwenyeji wa mkoa...
Usione akina lipumba ,hawaoi kuna sababu maalumu
Sababu zinazoweza kukufanya uchukie wanawake wote na mama yako akiwemo
1. Si wakweli hasa ikiwepo harufu ya pesa sehem, mwanamke yuko tiyari...
Kuna ile umetoka kzn na stress mishe zimebuma halafu unarudi hm mke kanuna / kelele nyingi.
Hapo ndo utajua umuhimu wa kuangalia tabia kuliko Nyash.
Unakuwa na battle nyengine nyumbani
Anaitwa lamomy,sina hakika kama ni mwanamke mwenzangu,ila kama ni kweli huenda pia kiumri kanizidi,
Kinachonifurahisha ni pale anapoingiza maneno ya uongo, mwanzoni roho ilikuwa inaniuma fulani...
Kitendo cha kumfumania mwenzi wa ndoa au uhusiano wa karibu ni moja kati ya mapigo mazito zaidi ya kisaikolojia anayoweza kuyapitia mwanadamu. Katika jamii zetu, tumeshuhudia mara nyingi matukio...
Shikamoon wakubwa, wadogo zangu hamjambo.
Siwezi kuwa mnafiki,ndoa ni moja ya nguzo ya lazima,na napenda sana niwe na mtu sahihi ambaye tutaheshimiana.
Mapenzi ni kama majani huota popote...
Wakuu, umasikini unatisha bhana. Nimechoka nimechoka nimechoka, naitaji mwenye kujua connection ya mganga wa kienyeji anayetoa ndagu za utajiri anisaidie.
Habari wana jamii.
Nimeanza na hilo swali kwasababu ya kisa ambacho nahitaji kumpa mtu ushauri
Je, upi ni mtizamo wako kuhusu ndoa?
1. Uoe au uolewe kwaajili ya kupenda/kupendwa au
2. Uoe au...
Wanaume wengi wanaweza kuona kabisa mwanamke waliye naye hawatoboi lakini wanaweza kumng'ang'ania tu kwa sababu ya makalio, rangi au uzuri wake bila hata huyo mwanamke kuwa na mchango wowote wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.