Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.9K
Posts
231.4K
Threads
7.9K
Posts
231.4K
Oya wakuu nimeachwa ata kablya Yesu hajazaliwa🙌😭😭💔 mapenzi ni ujinga
10 Reactions
50 Replies
904 Views
Kufanya mapenzi ni sehemu ya maisha, na ina faida nyingi za kiafya na kijamii. Mojawapo ikiwa ni kupata watoto, lakini pia ni sehemu ya starehe ya wanyama. Kufanya mapenzi huwa na msaada wa...
13 Reactions
32 Replies
10K Views
Hizi hatua sijui kama wengi wanazipitia, na pia wapo wanaokwama kwenye hatua moja muda mrefu. i. Just look at a girl. Unampenda manzi fulani lakini husemi, wewe nikumzoom tu. ii. Hug a girl...
8 Reactions
25 Replies
1K Views
Okay my dadas, kwanza kabisa habari zenu :) kama tunavyojua, kila mmoja wetu hapa ana story za ajabu kuhusu mambo waliofanya kisa mapenzi. Some are wild, wengine funny, weingine cringey, na wengi...
5 Reactions
7 Replies
795 Views
JE, MAPENZI YA KWELI YAPO? AU NI NDOTO TU? 🌹 Mapenzi ni hisia tamu ambazo kila mtu anatamani, lakini je, mapenzi ya kweli yapo au ni hadithi tu? Wengine wanaamini kuwa mapenzi ni kujitoa bila...
1 Reactions
3 Replies
970 Views
Habari? Je, Kuna uwezekano mchumba yuko Tanzania na mchumba mwingine yuko japan halafu mchumba aliye Tanzania na na wadhamini wake na WAZAZI wa pande mbili wakaenda kwa ofisi ya DC na wakafanya...
1 Reactions
5 Replies
184 Views
Kila mmoja huwa anajisikia upweke baadhi ya nyakati.Upweke haubagui,hauchagui unatokea kwa watu wote duniani matajiri kwa maskini,wasomi na wasiofika shule,wazee kwa vijana,waliopo kwenye...
9 Reactions
25 Replies
2K Views
Haina haja ya salamu watu tupo busy. Mwaka huu sehemu flani katika mizunguko yangu nilikutana na dada mmoja mzuri sana kwa sura na figure. actually nilikutana naye kwenye Dispensary yake yeye ni...
32 Reactions
137 Replies
7K Views
KAMA MWANAUME Adui wa kwanza wa kupambana naye ni tamaa ya NGONO. Mwanaume mwenye tamaa HII ya ngono Ndani ya dk 5 anaweza poteza ndoto na malengo ya miaka 20 ijayo Ndani ya ngono kuna BARAKA...
8 Reactions
17 Replies
1K Views
Kuna Mdada ni mteja wangu mkubwa katika biashara Yangu, Yupo vizuri kimaisha, kama mwanaume nilijikuta nikimtamani maana ni mtu na nusu Ila kabla ya kumtongoza nilikuwa Namuuliza kama Ana mume...
34 Reactions
186 Replies
13K Views
Wanawake wanataka nini kwa mwanaume wasicheat? Bas kimoja tu
3 Reactions
28 Replies
640 Views
Wakuu Katika maisha ya mahusiano tunapitia mengi,unaweza ukapendwa sana mpaka ukawa unahisi ni kero sasa Mtu kila saa anakutafuta,anakutumia text,anakupigia,ukimjibu au ukichelewa kumjibu...
29 Reactions
318 Replies
11K Views
Hiiv hii habari ya kua ukifanya unapenda sana ngono unajiletea mikosi maishani yani mambo yako ya utafutaji yanakua hayaendi vizuri ni kweli? Na kama kweli kwanini? Humu ndani yupo imewahi mtokea...
17 Reactions
131 Replies
5K Views
Ngoja Leo niwape kisa kimoja Cha mshikaji wangu Fulani, tumuite diko. Diko ni house keeping pale hotelini, Yani watu wa usafi Kipindi na hustle huku na HUKO kutafuta riziki. Nikapata kazi ya...
0 Reactions
5 Replies
397 Views
Kwa sasa ukiona una mpenzi au wapenzi wengi inabidi kuangalia mtaji gani uliopo nao. Wengi wanaweza kusema pesa ila pesa nayo ni sehemu kubwa ya mtaji kwenye mapenzi. Mitaji ya penzi iliyopo...
1 Reactions
7 Replies
352 Views
Habarini Mke wangu ati alikuwa hajui kupika biriani vizuri hadi nkamwambia aende kwa Aunt yangu anaitwa Salma ili ajifunze kupika, kwasababu siye wote tunapenda Biriani hata yeye mwenyewe ila...
2 Reactions
6 Replies
249 Views
Someni message hapo Screenshot
7 Reactions
15 Replies
420 Views
Happy Uhuru Day to you guys Nimewamiss Nawapenda Kwani mlienda wapi Aliyenimiss akoment aneni miss aje Mje YouTube sasa mnione maana mmetamani sana kuniona live
7 Reactions
25 Replies
376 Views
Kuna raha ya kuwa na mwanamke Ana akili za kitoto kidogo ndani pachangamke, awe mshamba kiasi sio unakuta una mwanamke ana AKILI nyingi mpka unatumia nguvu nyingi kumdanganya. Unakuta mwanamke...
91 Reactions
365 Replies
16K Views
Habari wana JF Kuna ishu siipendi lakin pia nina mashaka nayo kwa dada wa kazi nyumbani kwangu. Akiwa anapakua chakula anapanua miguu halafu sahani sufuria kila kitu anaweka katikati ya miguu...
10 Reactions
39 Replies
1K Views
Back
Top Bottom