Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Wasalaam Hii ni story ya kweli ambayo imetokea kwenye maisha yangu napenda nishare nanyi kisa hiki kifupi ili tujifunze na tuburudike. Mnamo mwaka 2019 nilimaliza elimu ya digrii katika chuo...
16 Reactions
149 Replies
7K Views
Habari, mimi ni member ya JF , nimerudi Tena baada ya muda mrefu. Mimi ni mtaalamu wa afya pia nafundisha chuo mpk sasa. Sasa miaka kadhaa nyuma nilikuwa ni mwalimu katika chuo kimoja Cha afya...
19 Reactions
84 Replies
2K Views
Asipoingia jukwaan najihisi sipo sawa.kiukwel sijawahi kumwona ila i feel i am spiritual attracted.
7 Reactions
41 Replies
426 Views
Tahadhari Tu kwa vijana. Usikamie sana mechi Kwa Lishangazi ukidhani atakupa hela. Hali mbaya. Usijichoshe.
2 Reactions
13 Replies
895 Views
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Husikeni na kichwa cha habari hapo juu! Kwa utangulizi mfupi mimi nilipata ajali July sasa kutokana na hiyo ajali bado...
30 Reactions
449 Replies
49K Views
Ukianza kuishi na mpenzi wako siku za mwanzo kila kitu kinaonekana kipya. Mkikaa sebuleni mnaangaliana tu mnacheka bila sababu. Simu ikiita unamuuliza nani huyo? kwa sauti ya upendo. Hata akienda...
7 Reactions
16 Replies
306 Views
Mwezi uliopita nilienda duka la madawa kuingia mle nikakuta kuna mdada fulani simple sn mcheshi, nikamuelewa sana nikaomba namba nikapewa. Tumechat sn siku hiyo kumbe pia ni mwenyeji wa mkoa...
7 Reactions
12 Replies
527 Views
Usione akina lipumba ,hawaoi kuna sababu maalumu Sababu zinazoweza kukufanya uchukie wanawake wote na mama yako akiwemo 1. Si wakweli hasa ikiwepo harufu ya pesa sehem, mwanamke yuko tiyari...
38 Reactions
263 Replies
31K Views
Kuna ile umetoka kzn na stress mishe zimebuma halafu unarudi hm mke kanuna / kelele nyingi. Hapo ndo utajua umuhimu wa kuangalia tabia kuliko Nyash. Unakuwa na battle nyengine nyumbani
27 Reactions
272 Replies
3K Views
Anaitwa lamomy,sina hakika kama ni mwanamke mwenzangu,ila kama ni kweli huenda pia kiumri kanizidi, Kinachonifurahisha ni pale anapoingiza maneno ya uongo, mwanzoni roho ilikuwa inaniuma fulani...
28 Reactions
527 Replies
11K Views
Kitendo cha kumfumania mwenzi wa ndoa au uhusiano wa karibu ni moja kati ya mapigo mazito zaidi ya kisaikolojia anayoweza kuyapitia mwanadamu. Katika jamii zetu, tumeshuhudia mara nyingi matukio...
1 Reactions
0 Replies
101 Views
Shikamoon wakubwa, wadogo zangu hamjambo. Siwezi kuwa mnafiki,ndoa ni moja ya nguzo ya lazima,na napenda sana niwe na mtu sahihi ambaye tutaheshimiana. Mapenzi ni kama majani huota popote...
19 Reactions
106 Replies
1K Views
Hivi kwanini Dada wa ki afrika akipendwa na mme wake ni sawa ila mdogo wake akimpenda mke wake anasema karogwa . Ni wivu au ni nini ?
6 Reactions
20 Replies
267 Views
Familia moja nchin kenya imeangamia baada ya mgororo uliodumu kwa mda. baba mwenye nyumba baada ya kupandwa na mori. alichukua acidi na kuwamwagia...
1 Reactions
4 Replies
113 Views
Wakuu, umasikini unatisha bhana. Nimechoka nimechoka nimechoka, naitaji mwenye kujua connection ya mganga wa kienyeji anayetoa ndagu za utajiri anisaidie.
10 Reactions
61 Replies
1K Views
Habari wana jamii. Nimeanza na hilo swali kwasababu ya kisa ambacho nahitaji kumpa mtu ushauri Je, upi ni mtizamo wako kuhusu ndoa? 1. Uoe au uolewe kwaajili ya kupenda/kupendwa au 2. Uoe au...
2 Reactions
16 Replies
197 Views
Wanaume wengi wanaweza kuona kabisa mwanamke waliye naye hawatoboi lakini wanaweza kumng'ang'ania tu kwa sababu ya makalio, rangi au uzuri wake bila hata huyo mwanamke kuwa na mchango wowote wa...
7 Reactions
11 Replies
290 Views
Fetish inamaana gani? Neno "Fetish" (kwa Kiswahili wakati mwingine huitwa Fetihi) katika muktadha wa mapenzi na mahusiano lina maana ya kuvutiwa kingono na kitu, tabia, au sehemu fulani ya mwili...
13 Reactions
57 Replies
844 Views
Furaha ni hisia inayojengwa na vitu vitatu kiroho,kimwili na kijamii. Kwa leo nitaeleza ni jinsi gani unaweza kurudisha furaha iliyopotea kwa kuzingatia mlo kamili na mazoezi. Hii itakusaidia...
6 Reactions
12 Replies
205 Views
MAMAAKE NI SINGLE MOTHER LAKINI KAMKATAZA ASIOE SINGLE MOTHER. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. 1. Rafiki Yangu wa shule(A'Level) na chuo kikuu amenipigia akiwa katika hali ya kuchanganyikiwa...
4 Reactions
65 Replies
1K Views
Back
Top Bottom