Baada ya kupambana kwa muda mrefu angalau nichakate mbususu
Nikapata kidem cha mwaka wa kwanza, fikisha gheto ile kuanza harakati kanadai kanataka kurudi hostel, nimem boltia ameondoka...
Tumia muda wako kufanya kazi na siyo kuhangaika na mapenzi.
Unakutana na pisi kali unaomba namba unaanza kuwa busy nae we unadhani ameonekana na wangapi kabla yako na ni wangapi wanaomtaka ...
Nina Nyumba mbili, Nina Gari, nina kampuni, nina miradi.
Umeona tayari nina unafuu wa maisha, unataka nikuoe.
Wewe Huna kazi wala Biashara, mbaya zaidi Huna bikira.
Hivi huoni kuwa unanionea...
1. Chagua mtu ambaye anakuheshimu wewe na watu wazima (wakubwa)
2. Chagua mtu unayemwamini
3.Chagua mtu ambaye unaweza kuongea naye,kujadiliana, na kuhojiana kwa uwazi bila kugombana
3.Chagua mtu...
Siitaji kusifiwa maana nishasifiwa sana
Ila ni mwanamke ambae kila mwanaume anamtamani
Mara nyingi nimeshawahi kwenda nae BAR kwa heshima watu wanatupisha kutuachia seat tena madingi na heshima...
Ni Kawaida au Ni Tatizo?
1. Ukweli wa kwanza: Hasira ukikosa pesa ni ya kawaida lakini inaweza kuwa hatari Hii hali inatokea kwa watu wengi sana. Si wewe tu Si vijana tu. Hata watu wazima, hata...
Kama ulikuwa hujui basi nikutoe tongotongo kuna familia zina watoto 7 na kuendelea, nimewahi kuiona familia ina watoto 11 tumbo moja, hadi sasa kuna moja alifariki wamebaki 10.
Kwenu mliowahi...
Shikamooni wakubwa wa humu ndani.
Jaman nimewamiss mno , wapo wachache nimebahatika kukutana nao na hata wale ambao sijawahamu ,naamini ipo siku tutakutana.
Namiss utani,vicheko na baadhi ya...
Peace be with you all,
Nianze na ka kisa fulani kalitokea majuzi. Nilikua restaurant fulani hapa A town ghafla nikanuona mwanamke mmoja mrembo sana na alikua nadhifu sana. (Navutiwa na wanawake...
Habari zenu wakuu. Poleni sana kwa yote tuliyopitia na tunayoendelea kupitia ndani ya taifa letu.
Wakuu, ukiwa katika mchakato wa kuoa/kuolewa (engagement, send off& kufunga/kubariki ndoa)...
Nimekuja kumalizia likizo yangu jiji la upendo na ukarimu kwa wageni hapa. Please wapi naweza pata kampani ya sex tofauti namaanisha pisi kali tule maisha sina kipengele just for enjoyment. Wenye...
Leo Tena. Tukiwa bado na maombelezo ya vijana wenzetu nimeona si mbaya tupate vinywaji baridi kidogo.
Dada yangu sisi wanaume tunapokuwa na jambo letu huwa tunasaidiana kwa hali na mali na kwa...
1. Unaelewa kuwa inawezekana kutokubaliana bila kukosa heshima au kuinua sauti.
2. Unaheshimu ahadi zako kwa kuwa mwenye kutunza muda, jambo linalokupa sifa ya kuaminika.
3. Unaacha kuwahukumu...
Vijana wa kiume wengi bado wanafikiri mwanamke wa kisasa ni kama mama zetu wa miaka ya 60 na 70 waliotulea. Hii inapelekea wengi wao kuingia kwenye mahusiano wakiwa na pure intention.
Kitu...
Huyu binti alikuwa ni mpenzi wa rafiki yangu, sijui walizinguana nini, saa nne usiku akanipigia simu kuwa amezinguana na rafiki yangu (yaani mpenzi wake) na hajui atalala wapi hana hata mia mbovu...
A 19-year-old woman recently gave birth to twins, but the shocking twist is that each baby has a different biological father — a rare medical phenomenon known as heteropaternal superfecundation...
Habari wadau...
Baada ya ahadi ya miaka mingi moyoni mwangu ya kwenda kutembea na kuijua tanga isemwayo kwa mengi. Sasa imewadia na nahitaji kutimiza nlichokiahidi moyoni mwangu.
Nataka sasa...
Hivi mimba zote ndio zilivyo hivi mtu ana lia bila sababu una bembeleza mpaka una pata hasira una amua kwenda mbali ukirudi tu ana weza kukuuliza swali wewe uka mjibu vizuri
Lakini aka angua...
Salaaam mabibi na mabwana
salam marafiki zangu
Tupo na shughuli zetu za kujenga taifa letu kama kawaida
Mdada mmoja wa rika lapata miaka 33 anatoa simulizi kwamba ana jirani yake amepatwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.