Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.9K
Posts
231.4K
Threads
7.9K
Posts
231.4K
Baada ya kupambana kwa muda mrefu angalau nichakate mbususu Nikapata kidem cha mwaka wa kwanza, fikisha gheto ile kuanza harakati kanadai kanataka kurudi hostel, nimem boltia ameondoka...
17 Reactions
33 Replies
1K Views
Tumia muda wako kufanya kazi na siyo kuhangaika na mapenzi. Unakutana na pisi kali unaomba namba unaanza kuwa busy nae we unadhani ameonekana na wangapi kabla yako na ni wangapi wanaomtaka ...
14 Reactions
9 Replies
770 Views
Nina Nyumba mbili, Nina Gari, nina kampuni, nina miradi. Umeona tayari nina unafuu wa maisha, unataka nikuoe. Wewe Huna kazi wala Biashara, mbaya zaidi Huna bikira. Hivi huoni kuwa unanionea...
15 Reactions
22 Replies
726 Views
1. Chagua mtu ambaye anakuheshimu wewe na watu wazima (wakubwa) 2. Chagua mtu unayemwamini 3.Chagua mtu ambaye unaweza kuongea naye,kujadiliana, na kuhojiana kwa uwazi bila kugombana 3.Chagua mtu...
10 Reactions
45 Replies
1K Views
Siitaji kusifiwa maana nishasifiwa sana Ila ni mwanamke ambae kila mwanaume anamtamani Mara nyingi nimeshawahi kwenda nae BAR kwa heshima watu wanatupisha kutuachia seat tena madingi na heshima...
1 Reactions
14 Replies
574 Views
Ni Kawaida au Ni Tatizo? 1. Ukweli wa kwanza: Hasira ukikosa pesa ni ya kawaida lakini inaweza kuwa hatari Hii hali inatokea kwa watu wengi sana. Si wewe tu Si vijana tu. Hata watu wazima, hata...
2 Reactions
11 Replies
295 Views
Kama ulikuwa hujui basi nikutoe tongotongo kuna familia zina watoto 7 na kuendelea, nimewahi kuiona familia ina watoto 11 tumbo moja, hadi sasa kuna moja alifariki wamebaki 10. Kwenu mliowahi...
4 Reactions
41 Replies
1K Views
Shikamooni wakubwa wa humu ndani. Jaman nimewamiss mno , wapo wachache nimebahatika kukutana nao na hata wale ambao sijawahamu ,naamini ipo siku tutakutana. Namiss utani,vicheko na baadhi ya...
5 Reactions
35 Replies
692 Views
Peace be with you all, Nianze na ka kisa fulani kalitokea majuzi. Nilikua restaurant fulani hapa A town ghafla nikanuona mwanamke mmoja mrembo sana na alikua nadhifu sana. (Navutiwa na wanawake...
4 Reactions
18 Replies
785 Views
Habari zenu wakuu. Poleni sana kwa yote tuliyopitia na tunayoendelea kupitia ndani ya taifa letu. Wakuu, ukiwa katika mchakato wa kuoa/kuolewa (engagement, send off& kufunga/kubariki ndoa)...
19 Reactions
108 Replies
2K Views
Wanaume hatuna masihara nanyi Wachunaji na tutawarogeni sana tu hadi mkome na mnyooke.
1 Reactions
6 Replies
343 Views
Nimekuja kumalizia likizo yangu jiji la upendo na ukarimu kwa wageni hapa. Please wapi naweza pata kampani ya sex tofauti namaanisha pisi kali tule maisha sina kipengele just for enjoyment. Wenye...
1 Reactions
4 Replies
307 Views
Leo Tena. Tukiwa bado na maombelezo ya vijana wenzetu nimeona si mbaya tupate vinywaji baridi kidogo. Dada yangu sisi wanaume tunapokuwa na jambo letu huwa tunasaidiana kwa hali na mali na kwa...
6 Reactions
30 Replies
801 Views
1. Unaelewa kuwa inawezekana kutokubaliana bila kukosa heshima au kuinua sauti. 2. Unaheshimu ahadi zako kwa kuwa mwenye kutunza muda, jambo linalokupa sifa ya kuaminika. 3. Unaacha kuwahukumu...
10 Reactions
7 Replies
683 Views
Vijana wa kiume wengi bado wanafikiri mwanamke wa kisasa ni kama mama zetu wa miaka ya 60 na 70 waliotulea. Hii inapelekea wengi wao kuingia kwenye mahusiano wakiwa na pure intention. Kitu...
29 Reactions
124 Replies
4K Views
Huyu binti alikuwa ni mpenzi wa rafiki yangu, sijui walizinguana nini, saa nne usiku akanipigia simu kuwa amezinguana na rafiki yangu (yaani mpenzi wake) na hajui atalala wapi hana hata mia mbovu...
47 Reactions
140 Replies
6K Views
A 19-year-old woman recently gave birth to twins, but the shocking twist is that each baby has a different biological father — a rare medical phenomenon known as heteropaternal superfecundation...
1 Reactions
9 Replies
419 Views
Habari wadau... Baada ya ahadi ya miaka mingi moyoni mwangu ya kwenda kutembea na kuijua tanga isemwayo kwa mengi. Sasa imewadia na nahitaji kutimiza nlichokiahidi moyoni mwangu. Nataka sasa...
1 Reactions
3 Replies
244 Views
Hivi mimba zote ndio zilivyo hivi mtu ana lia bila sababu una bembeleza mpaka una pata hasira una amua kwenda mbali ukirudi tu ana weza kukuuliza swali wewe uka mjibu vizuri Lakini aka angua...
10 Reactions
80 Replies
1K Views
Salaaam mabibi na mabwana salam marafiki zangu Tupo na shughuli zetu za kujenga taifa letu kama kawaida Mdada mmoja wa rika lapata miaka 33 anatoa simulizi kwamba ana jirani yake amepatwa na...
1 Reactions
70 Replies
5K Views
Back
Top Bottom