Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.9K
Posts
231.8K
Threads
7.9K
Posts
231.8K

On JF:

His behavior attitude sharpness entution capacity strongness fitting responsibility oneness idealistic mentality to me, occasion immunity establishment psychology numeration enjoyment moment of...
5 Reactions
34 Replies
464 Views
Nina kiduka changu hapa mjini wateja hamna kabisa, kwa majirani nao wanalia njaa tu, tuseme mwezi huu ni wa tabu kwa wote au ni kwangu peke yangu?
2 Reactions
6 Replies
128 Views
Wachungaji wengi wamejigeuza kuwa kuwa washauri wa mahusiano kwa mitazamo yao wakitumia vibaya mistari kuhalalisha mawazo yao potofu, hii imeleta shida kwenye ndoa nyingi. Kumekuwa na skendo...
7 Reactions
19 Replies
611 Views
Jamani msituchoke sisi ambao tupo kwenye ndoa pale tunapokuwa tunatoa malalamiko yetu kwenye mitandao ya kijamii Wengine ndo njia yetu ya kuondoa stress any way jana usiku nilinyimwa tendo la...
4 Reactions
8 Replies
206 Views
tendo la ndoa(sex) si jambo la kimwili tu , ni la kiroho pia(spirtual) , unapofanya tendo la ndoa mnabadilishana nishati au energy , nishati hizo zinaweza kuwa hasi au chanya. Unapofanya tendo la...
2 Reactions
10 Replies
567 Views
https://www.jamiiforums.com/threads/ushawahi-kujichanganya-kimapenzi-mpaka-ukawa-unawaza-hapo-nyuma-ulikosea-wapi.2291358/ Kwema wanafamilia.... Maisha haya hayana mapumziko, hasa hasa sisi...
20 Reactions
110 Replies
9K Views
Wakuu, nampongeza mwanzilishi wa jukwaa hili bwana Maxence Melo kwa kuanzisha jukwaa hili huru. Hongera sana mzee.
5 Reactions
5 Replies
178 Views
South African self employed olosho business woman makes recording after a Nigerian man booked her service and decided to pull a fast one on her by not paying in full after a successful Tatata...
1 Reactions
2 Replies
191 Views
siri yenu tu wale mbaopenda kuoa wachaga nimekaa marangu..mamba kotela nkaenda rombo mwika nkarudi kibosh then uruuu huku kote kuna ndugu wa ukoo ama walioa ama kuolewa na wengi wazee wa...
1 Reactions
4 Replies
148 Views
Naweza kusema ni state of mind pale unapoona kiuno cha kike shanga zimeonekana kidoogo! Kile kimuhemuhe na ashiki unayopata na mawazo yako unakoyapeleka. Shanga ni kivutio cha asili kwenye...
50 Reactions
548 Replies
161K Views
Nimetulia zangu kasehemu fulani uchochoroni hapa Bunju Beach, ameingia mwalimu mmoja hapa na bodaboda guest house, dada kapiga decent na Pete juu na bodaboda namfahamu, ila huyu boda hajaoa, kwa...
22 Reactions
99 Replies
7K Views
Kuna binti mmoja, ni mke wa mtu, lakini ananiumiza kichwa sana siku hizi. Mume wake alimfungulia duka kubwa tu awe anakuwa bize, na kwa kuwa hata mimi nina duka katika mitaa hiyo, tulianza...
1 Reactions
19 Replies
594 Views
Sababu kubwa ni kwamba wakinga wengi hupenda kujishughulisha na maduka, kuna biashara nyingi sana lakini mkinga kachagua maduka. Madukani wakinga huwa wanashinda na wake zao, hakuna mke wa kubaki...
10 Reactions
30 Replies
846 Views
Historia na maandiko matakatifu mara nyingi hutufundisha jambo moja muhimu sana: mara nyingi hatuangushwi na maadui wa mbali, bali na watu wa karibu wanaojua siri zetu. Maelfu ya askari wa...
3 Reactions
3 Replies
154 Views
Kwenye video hii kuna mwanamke anayewapatia ushauri watoto wa kike. Baadhi ya wanawake wamemuunga mkono sana huku wanaume wakionesha kuwa ameongea tope. Ukitazama ushauri wake ni sawa na kusema...
3 Reactions
13 Replies
183 Views
Wanabodi, Naomba kuuliza, hivi kwa nini wanawake huwa hampendani?!, Inawezekana kuwa ni kweli, adui wa mwanamke ni mwanamke mwenyewe?!. Naomba niwape mfano mdogo tuu toka humu humu jf, Siku...
1 Reactions
76 Replies
10K Views
Kuna faida kubwa sana kwa wanaume kuzaa nje (michepuko), kwa mwanzo unaweza kuona ni changamoto ila baada ya miaka kwenda matunda yake uonekana...
7 Reactions
29 Replies
625 Views
hakunaga kitu kinaua confidence kwa mwanaume kama vile anapoambiwa ukweli (sio kusingiziwa) na mke wake anaempenda (sio girlfriend au mchepuko ) "huniridhishi" "unanichafua tu" "unanipapasa...
3 Reactions
6 Replies
282 Views
Ndugu salaam Sisi wanaume tumekua tukiwapa wanawake pipi kijiti (lolipop) kama njia ya kuridhika na ombi lao la kusamahewa ili hali tunajua kabisa ni starehe ovu na ya kikatili dhidi ya...
2 Reactions
10 Replies
995 Views
Back
Top Bottom