Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Kwanza naomba kwa nitakae mchukiza kwa hiki ninachoenda kukiandika hapa tusameheane ila nitasema ukweli na ukweli tupu sitosema uongo. Niende moja kwa moja, kwanza brother huyo binti au mwanamke...
11 Reactions
56 Replies
545 Views
Kidume akishavuka 35, ule uwezo wa kutafuna jagina sio tena ule wa 18-35 ndio maana hata sugar mamy huwez mkuta ana tembea na jamaa wa 35+, huwa mara nyingi ni vijana wa 20s. Kwahiyo acheni visa...
9 Reactions
60 Replies
913 Views
Siku za nyuma kuna member aliandika kuhusu mabinti wa chuo kikuu ambao wanafanya kazi kwenye mgahawa wa kuuza chakula wakiwa bado wanasoma. Members wengi waliwapongeza lakini ukiangalia cha ajabu...
20 Reactions
51 Replies
566 Views
Kuna wenzako wanapewa mara moja kwa mwezi kama wanapokea mshahara.
8 Reactions
69 Replies
666 Views
Wakuu habarini, Kuna msichana nimempenda kweli,ni mrembo mno, mwenye tabia ya upole na heshima. Shepu yake ni ya kuvunja kiti,kifuani chuchu sindano, nyuma mzigo amejazia wa maana kabisa. Hana...
12 Reactions
176 Replies
5K Views
Ndugu zangu wanaJF, habari zenu!!! Nimekuwa mfuatiliaji wa mada za JF tangu 2018 na nimekuwa nikivutika mno na elimu itolewayo hapa jukwaani lakini sikuona haja ya kujiunga kama member kwa kuwa...
17 Reactions
235 Replies
7K Views
Habari wanajukwaa, Moja kwa moja kwenye mada. Wanawake wenye mafanikio kiuchumi huwa hawadumu kwenye ndoa na wengine huwa hawaolewi kabisa japo wanapenda kudate na wanaume (vijana) wasio na pesa...
10 Reactions
171 Replies
8K Views
Kwenye maisha kuna muda wanaume tunapendwa na wanawake tusio wapenda kwa mfano kwangu mimi niliwaigi kupendwa na mwanamke nisiye mpenda kiasi kwamba hadi aliniomba namba za simu ili tuwe...
34 Reactions
448 Replies
32K Views
Wadau Kuna pisi moja Kali sana aisee demu mzuri kinoma tunaishi nae nyumba moja ya kupanga apa DSM yeye anafanya kazi dukani kariakoo ni mzuri kinoma sina maeozea nae sana zaidi ya salama ila...
21 Reactions
67 Replies
1K Views
Kuna huyu dada nimekuwa kwenye mahusiano nae miezi mi 3 sasa ila cha ajabu ni kwamba ananipa hela kuliko kawaida , hii hali kwa kweli inanitisha muda mwingine hata sijamuomba ila unastukia ka...
13 Reactions
39 Replies
564 Views
Imetokea mbeya Msichana ambaye anaonekana katika video hapo chini, Ameolewa katika familia inayomwandama kwamba hapati mtoto la sivyo aachike, Akabidi kufanya maamuzi magumu ya kwenda hospital...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Naamini mitaa hii manzi zipo nyingi sana ila ni adimu kupatikana kwa upande wangu wakuu nipeni miongozo namimi niwe na c mbili kwenye comments
9 Reactions
53 Replies
414 Views
Wasalaam, Wana JF wote. Leo nina mada kidogo kuhusu suala la uchepukaji kwa wanaume hususani walioko katika ndoa kunakosababishwa na wanawake wenyewe. Nikiwa miongoni mwa wanaume walioko katika...
4 Reactions
39 Replies
4K Views
Habari nina mgonjwa anaye tarajiwa kufanyiwa operation siku zijazo, ila ana changamoto nyingine ya kuishiwa damu mara kwa mara. je naweza pata wapi sehemu ninayo weza kununua damu, angalau chupa...
9 Reactions
50 Replies
568 Views
Katika moja mbili tatu ya aina za wanawake niliokutana nao kimwili, kiukweli huwa navutiwa mno na wanawake wenye michirizi ya kutanuka, kizungu wanaiita “stretch marks”. Sio mabonge, wengine ni...
6 Reactions
217 Replies
26K Views
Mke wangu sasa tuna mwaka wa kumi, ananijua vizuri kabisa. Sijawahi kumpiga na sitampiga kabisa mpaka mwisho wa safari yetu. Ila nishamweleza msimamo na mtazamo wangu tangu tukiwa wachumba...
8 Reactions
35 Replies
587 Views
Maisha ya kuwa baba wa kambo yanahitaji moyo wa chuma sana.umekaa zako sebuleni unakunywa zako chai kwa amani. Ghafla katoto kanakuja kakikimbia, kanakupanda mapajani na kukuita baba. Wewe...
9 Reactions
20 Replies
394 Views
  • Redirect
nilikuwa natoka Dar kwenda Mtwara mwaka 2017 nilikaa siti ya nyuma na mrembo wa kimakonde, nafupisha stori nilima kwenye siti ilipofika sa mbili uck.
2 Reactions
Replies
Views
Kuna members naona wanajituma kinoma ila naona ni kama wanarusha jiwe kituo cha polisi.
13 Reactions
137 Replies
1K Views
Habari zenu wanaJF wenzangu, Kisa chenyewe kinaanzia mbali kidogo, hivyo naomba msomaji usome kwa kutulia ili kama una ushauri wowote wa maana, basi uendane similar na kile nilichoandika. Ok...
20 Reactions
163 Replies
15K Views
Back
Top Bottom