Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.9K
Posts
231.4K
Threads
7.9K
Posts
231.4K
Miaka 7, 8 , 10 . Gape Si ni sawa kuoa😀 Kuna binti hapa nimedata nae
8 Reactions
65 Replies
895 Views
After a 12-Hour Shift, Man Comes Home to Find Another Man with his wife and their baby on the Floor! The video has sparked outrage and deep discussions online about loyalty, respect, and broken...
0 Reactions
0 Replies
140 Views
Mwanaume yeyeote atanielewa! Nimepigiwa simu na Jane, samsing yangu ya siku nyingi sana. Ananisalimia tu na kuuliza Xmas nina mpango gani. Sijakaa sawa Mwajuma naye kanitumia messeji, eti ana...
10 Reactions
37 Replies
766 Views
Wengi wetu hujiuliza kwa nini maisha ya mapenzi ya mbali huwa hayafiki mbali na kubaki wa kijiuliza tatizo ni nini? Wakati mwingine watu huanza kuulizana mchawi ni nani katika mapenzi yao. Laa...
0 Reactions
13 Replies
11K Views
Siku ya kwanza, Mwanaume anasikiliza na Mwanamke anasikiliza, Padre ndio anaongea. Mwaka wa kwanza wa ndoa, Mwanaume anaongea Mwanamke anasikiliza. Mwaka wa pili, Mwanamke ndio anaongea...
17 Reactions
27 Replies
697 Views
Mke anakununia siku nzima yaani hataki kuongea na wewe kabisa afu asubuhi niache matumizi wakati ameninunia
11 Reactions
28 Replies
861 Views
Kaniita anaanza kuniambia mbona hauko sawa unamawazo gani yeye YANA muhusu nini Huo mtego siingii ng'oo
9 Reactions
21 Replies
803 Views
I had came home from school , dropped my bag in the middle of the floor , and walked into the kitchen to get something to drink ...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Aise hii tabia kwenye mahusiano ambayo mke au mume au wapenzi wanashika simu na kuanza kupekua haina afya kabisa. Simu nimenunua kwa pesa yangu au mwanamke kanunua kwa pesa yake, sioni ulazima wa...
9 Reactions
27 Replies
769 Views
Kwa kweli nmeathirika sana kisaikolojia. Mwanamke akiwa na tumbo kubwa binafsi nashindwa kabisa kupata hamu ya kufanya naye mapenzi. Hili jambo limeniathiri sana. Kuna dada mmoja nampenda...
7 Reactions
45 Replies
1K Views
Daktari msomi sana toka Zambia, Dr Aaron Mujajati kaweka wazi kuwa ni ngumu kwa mwanamke kupata mtoto akivuka 35years. Hajasema haiwezekani ila kasisitiza kupata mtoto huambatana na changaamoto...
7 Reactions
68 Replies
3K Views
Inauzunisha sana kuona kijana anafanya kazi na kupata kipato halafu karibu hela yote inaishia kuhonga. Ifike hatua vijana tujenge mazoea ya kufanya uwekezaji binafsi. Hata kama kipato chako ni...
27 Reactions
76 Replies
1K Views
Ebana daah! Hapa mjini warembo ni wengi sana ila vigezo vyao sasa vinashangaza! Hua naenda kula mgahawa mmoja hivi kwa bimkubwa ambae nishamzoea, hua ananiambia ana mtoto wake wa kike anasoma...
9 Reactions
75 Replies
1K Views
Mambo ya falagha yabaki kuwa ni siri baina yenu iwe kwenye ndoa au mahusiano ya kiuchumba. Kuyasema maufundi anayo unayofanyiwa na mwenza wako unawatafutia watu lawama. Kuna baadhi ya wanawake...
3 Reactions
5 Replies
424 Views
Nina tatizo kubwa binafsi kwangu naona kama ni tatizo kubwa kwa sababu sikuwaga hivi. Kwasasa nina hali ya kutamani kila mwanamke, huenda mwingine akasema hiyo ndio sifa ya mwanaume kamili lakini...
6 Reactions
17 Replies
481 Views
Kama kichwa kinavyojieleza, huyu mwanamke sijajua nia yake haswa ni nini Mimi kusema ukweli simjui kabisa huyo dada nimeshangaa tu mtu kanitumia request ya kuni follow ikabidi niangalie ni nani...
5 Reactions
108 Replies
1K Views
girls, ninani hua anakufikisha kileleni Mume wako, boyfriend wako au mchepuko wako ?
1 Reactions
8 Replies
248 Views
Mwezi wa Desemba ni mwezi wangu wa kuzaliwa. Kila mwaka nautumia mwezi huu kama fursa ya kuwakumbuka na kuwagusa wale wanaoishi mazingira magumu, hususan watoto na wazee wanaoishi mtaani bila kuwa...
8 Reactions
22 Replies
303 Views
KATAA NDOA sio suluhisho na kuzalisha mwanamke na kumkimbia sio suluhisho pia. Katika maamuzi yote utakayotaka kufanya usikubali kuona mtoto wako anapewa malezi na baba mwingine, kama unampenda...
0 Reactions
0 Replies
155 Views
December hii najua tulio wengi tupo nyumbani na familia zetu Nawajuza kama ulikua mbali na mkeo, chukua simu yake nenda kwenye blacklist. Angalia namba zilizopo huko Amini nakuambia...
5 Reactions
19 Replies
503 Views
Back
Top Bottom