Habari wana jamii.
Nimeanza na hilo swali kwasababu ya kisa ambacho nahitaji kumpa mtu ushauri
Je, upi ni mtizamo wako kuhusu ndoa?
1. Uoe au uolewe kwaajili ya kupenda/kupendwa au
2. Uoe au uolewe kwaajili ya connection, future na fursa zinazofuatia
Hapa naomba nieleze kidogo
Ki historia watu wenye nguvu/mamlaka mara nyingi watoto wao walioa au kuolewa kwaajili ya kukuza power, utajiri na mamlaka ili vizazi na vizazi vinavyofuatia visijepata kadhia au shida. Na ndio maana huwezi kukuta mtoto wa GSM au Mwinyi ameolewa na nobody eti kisa mapenzi.
Na ndio maana mara nyingi ndoa zao zinakuwa arranged, hivyo kupenda au kupendwa utakukuta huko huko ndani ya ndoa.
Lakini hata zamani wazazi wetu kabla ya binti yao au kijana who kuoa au kuolewa walikuwa wanafanya uchunguzi kuhusu historia ya familia, magonjwa ya kurithi, imani, uchapakazi na uadilifu n.k na ndio maana ilikuwa rahisi wao kupoint uende sehemu au familia flani ukaoe au kuolewa kwasababu kuna gain utazipata
Ila hili la kuoa au kuolewa kisa kupendana mm siliafiki kwasababu vipi mapenzi yakiisha kipi kitawaunganisha l, hili limesababisha divorce rate iwe kubwa na ongezeko la single mothers na single fathers.
Wengine wamefikia hatua ya kupenda harusi zaidi bila kujiandaa kuhusu ndoa.
Na ndio maana mwingine unasikia mi nataka harusi yangu ashereheshe Gara B na shela litoke uturuki, na barnaba aje kuperfom.
Upi mtazamo wako wewe mwana jamii
Nimeanza na hilo swali kwasababu ya kisa ambacho nahitaji kumpa mtu ushauri
Je, upi ni mtizamo wako kuhusu ndoa?
1. Uoe au uolewe kwaajili ya kupenda/kupendwa au
2. Uoe au uolewe kwaajili ya connection, future na fursa zinazofuatia
Hapa naomba nieleze kidogo
Ki historia watu wenye nguvu/mamlaka mara nyingi watoto wao walioa au kuolewa kwaajili ya kukuza power, utajiri na mamlaka ili vizazi na vizazi vinavyofuatia visijepata kadhia au shida. Na ndio maana huwezi kukuta mtoto wa GSM au Mwinyi ameolewa na nobody eti kisa mapenzi.
Na ndio maana mara nyingi ndoa zao zinakuwa arranged, hivyo kupenda au kupendwa utakukuta huko huko ndani ya ndoa.
Lakini hata zamani wazazi wetu kabla ya binti yao au kijana who kuoa au kuolewa walikuwa wanafanya uchunguzi kuhusu historia ya familia, magonjwa ya kurithi, imani, uchapakazi na uadilifu n.k na ndio maana ilikuwa rahisi wao kupoint uende sehemu au familia flani ukaoe au kuolewa kwasababu kuna gain utazipata
Ila hili la kuoa au kuolewa kisa kupendana mm siliafiki kwasababu vipi mapenzi yakiisha kipi kitawaunganisha l, hili limesababisha divorce rate iwe kubwa na ongezeko la single mothers na single fathers.
Wengine wamefikia hatua ya kupenda harusi zaidi bila kujiandaa kuhusu ndoa.
Na ndio maana mwingine unasikia mi nataka harusi yangu ashereheshe Gara B na shela litoke uturuki, na barnaba aje kuperfom.
Upi mtazamo wako wewe mwana jamii
