Ukiangalia 'Nyash' kuliko tabia utakuja kuliona balaa lake

Ukiangalia 'Nyash' kuliko tabia utakuja kuliona balaa lake

Ukiangalia kwa umakini zaidi Nyashi haina maana sana, sema tu tamaa ndio zinatuponza, zaidi ya kuipiga piga makofi na kuishika shika kimtindo haina maana ingine ni bora ukatafuta ki potabo chenye tabia njema kuliko kutafuta liwowowo lisilo na heshima wala akili
 
Ukiangalia kwa umakini zaidi Nyashi haina maana sana, sema tu tamaa ndio zinatuponza, zaidi ya kuipiga piga makofi na kuishika shika kimtindo haina maana ingine ni bora ukatafuta ki potabo chenye tabia njema kuliko kutafuta liwowowo lisilo na heshima wala akili
Hata mimi signage umuhimu wa Nyashh , tena wenye ma nyashh utawaona wazuri wakiwa na nguo
 
Vijana mnaruka baadhi ya hatua Katika maisha yenu na pia wengi wenu hamkupata mafunzo sahihi kutoka kwa Wazazi Jinsi ya kuishi na jamii au wenza wenu kila kukicha inakua kama Vita ya Iran vs USA bila sababu za msingi unakuta watu wana familia vizuri ila mazogo kama wapo sokoni sababu za hovyo hovyo tu..
 
Vijana mnaruka baadhi ya hatua Katika maisha yenu na pia wengi wenu hamkupata mafunzo sahihi kutoka kwa Wazazi Jinsi ya kuishi na jamii au wenza wenu kila kukicha inakua kama Vita ya Iran vs USA bila sababu za msingi unakuta watu wana familia vizuri ila mazogo kama wapo sokoni sababu za hovyo hovyo tu..
Na hili ni tatizo kubwa sana! Sijui kwanini wanalifumbia macho..
 
Mara nyingi hizo ni tabia za Wamama wa nyumbani!
Mtafutie kazi ya kufanya mf.mfungulie biashara hata ya genge angalau Kelele zitapungua.
Yeye anazungumzia tabia vs uzuri! Anasema ukiendekeza tu ''huyu yuko sexy na mrembo'' bila kuzingatia tabia basi utakwama. Na hili ndilo linalofanya ndoa nyingi zivunjike hasa kwa vijana wa leo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom