Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Wanasayansi hivi sasa wanakiri kwamba, huwa inatokea mpenzi akamshika mpenzi wake kwenye akili, yaani akili yako inaweza kushikwa na mpenzi wako na ukasumbuka sana. Kwenye lugha za mitaani hali...
2 Reactions
14 Replies
3K Views
WAPO WATU WANAOGOPA KUOGA TANGU WAKIWA AWAJAOA AMA KUOLEWA NA MPAKASASA WAMEOA AMA KUOLEWA BADO WAKIFIKA NYUMBAN JUOGA NI TATIZO KUBWA SANA Nirudi kwenye kichwa cha habari Yawezekana wewe ni...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Binamz na Wapwaz! Niwapongeze na kuwatia moyo wote wenye mapenz mema na mliotayari kutoa msaada pale amabpo imehitajika na kubidi! Ila kuna suala moja moja limekuwa likijitokeza katika michango...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hii silaha si maarufu sana kwa wanawake, ipo silaha nyingine ambayo wapo wanawake wanaipenda sana kuitumia wakiwa kwenye ndoa. Kwa nini baadhi ya wanawake hupenda kutumia silaha ya kuwanyima...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Assallamu Aleikum! Nimekuwa na bwanangu miaka 13 bila shida na watoto wawili. Mara si mara, tulihamia mombasa na bwanangu kapata msichana wa kikamba. Nikapata mimba na huyo msichana kasema...
1 Reactions
26 Replies
3K Views
Ninahitaji kua na mwenza sasa sifa: Mwenye kujazia kwa chini ya kiuno miguu ya bia mweupe wa tanga na zanzibar watapata kipaumbele cha kwanza dini yoyote sio freemason au mpagani
0 Reactions
3 Replies
1K Views
KUALA LUMPUR, Malaysia (AP) — Malaysian police said Tuesday they have busted a sex slave ring and rescued 21 Ugandan women who were forced into prostitution after being lured to Malaysia with...
0 Reactions
0 Replies
830 Views
Mimi ni mwanaume nina mpenzi wangu ambaye anapenda sana kutishia kuniacha kila inapotokea ugomvi kidogo tu. Mara nyingi nimekuwa nikijitahidi sana kuomba msamaha hata kama kosa ni la kwake, ili tu...
0 Reactions
21 Replies
6K Views
You cannot change the past but you will ruin the present if you keep worrying about the future.<!--[if !supportEmptyParas]--> <!--[endif]-->
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ukweli Mapenzi ni Matamu na ni Machungu! Je, umewahi kumpenda mtu kuliko maisha yako mwenyewe na ukampa kila anachohitaji lakini ukaishia kujuta kwa sababu amekusaliti na kukuumiza? Sisi sote kwa...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Mimi ni wife niliyewahi kutendwa mno na hubby wangu for the past 5 yrs yani alikuwa hasikii wala haoni kifupi hakunijali hata, na mungu alinijalia moyo wa kuyavumilia mengi mno(cheating zaidi)...
0 Reactions
58 Replies
6K Views
Huo ndo ukweli wenyewe!Don't bother yourself,live your life!
2 Reactions
31 Replies
3K Views
Kama tu katika maisha ya kawaida kuna wakati una'regret' kuwa kwa nini ulifanya hivi na sio vile..mfano..labda kama ni masomo unaweza kusema 'kwa nini nilisoma Sheria badala ya Uchumi'??.. au kwa...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
ndg naombeni mnisaidie nimshauri rafiki yangu. kabla au hata kipindi akiwa na msichana bunduki(pen....c) inacmama sana kuonyesha ina hamu sana ya ku do..lakini wakati ukifika ili waanze ku do...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Kupenda ni kule kuwa na hisia nzito juu ya mtu mwingine,na ktk suala hili ,juu ya mwanamke kama u mwanaume au juu ya mwanaume kama u mwanamke...hisia nzito inamaana kwa namna nzuri,namna njema,si...
1 Reactions
3 Replies
35K Views
Ukitaka usalama na mkeo usiulize idadi ya rafiki zake wa kiume kabla ya ndoa. Akijipodoa usimtazame na akimaliza umsifie. Mpe fedha kwenda dukani lakini usifuatane naye. Ukinunua nyama usihesabu...
4 Reactions
32 Replies
3K Views
Tatizo la kujichua ni mwaka wa tatu sasa nimeshindwa kuacha,nimejaribu kwa kipindi kirefu lakini nimeshindwa,kufanya ngono na prostitutes imekuwa kawaida,maisha yangu yamekuwa ya upweke sana...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Many married women and men as well do not like to identify with their partner in public gatherings like ceremonies, shopping outings, seminars etc....Is that right or wrong? This happens with...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hebu chukulia kwamba umeoa au kuolewa na umeishi na mkeo au mumeo huyo kwa miaka nane, na mna watoto wawili katika ndoa yenu. Inatokea mnakubaliana mnunue kiwanja kutokana na kuchoshwa na nyumba...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
When the darkness falls Feeling the midnight chills Like rivers of pain tears flow Totally forgotten this I know Overwhelmed by sadness Embraced by coldness Alone and lonely Gone and...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Back
Top Bottom