Ndeonasiae
Senior Member
- Aug 15, 2011
- 102
- 49
Asanteni sana wadau kwa michango yenu kwenye my last thread titled "I have moved".
My heading is quoted from one of the PM nilizopata kutoka kwa wadau, mdau mwenyewe ni mwanamke.
Namshukuru kwa ushauri wake umenipa changamoto nzuri tu, lakini kutoka katika ushauri wake ambao ananiinstist nisitoke kwenye ndoa, nimeibuka na maswali.
Hivi ni nini hasa msingi wa ndoa??
Je ni Mapenzi??
Je ni Status kwa jamii
Au ni security ( kwa maana huwezi kupendwa tena pindi utakapotoka kwenye ndoa) au nini hasa??
Au kila ndoa ina msingi wake so katika maamuzi yapasa kuconsider msingi wa ndoa hiyo kwanza instead of kugeneralise?
Na je Tunaingia kwenye ndoa ili tuishi ama tunaishi ili tuwe kwenye ndoa? I mean kati ya ndoa na maisha nini kinakuja kwanza?
My heading is quoted from one of the PM nilizopata kutoka kwa wadau, mdau mwenyewe ni mwanamke.
Namshukuru kwa ushauri wake umenipa changamoto nzuri tu, lakini kutoka katika ushauri wake ambao ananiinstist nisitoke kwenye ndoa, nimeibuka na maswali.
- Ananiambia ni bora nirudi eti mimi mwanamke wa miaka 32 ndio kwanza mihemko inachanganyia nitaishia kuiba waume wa watu koz sitapata mwanaume aliye single
- Pili anasema eti nani atanikubali mimi na watoto wangu wawili bora nivumilie
- Tatu Heshima kwa jamii
Hivi ni nini hasa msingi wa ndoa??
Je ni Mapenzi??
Je ni Status kwa jamii
Au ni security ( kwa maana huwezi kupendwa tena pindi utakapotoka kwenye ndoa) au nini hasa??
Au kila ndoa ina msingi wake so katika maamuzi yapasa kuconsider msingi wa ndoa hiyo kwanza instead of kugeneralise?
Na je Tunaingia kwenye ndoa ili tuishi ama tunaishi ili tuwe kwenye ndoa? I mean kati ya ndoa na maisha nini kinakuja kwanza?