Nianzie wapi kumwambia kuwa GF sio mwaminifu?

valid statement

JF-Expert Member
Sep 18, 2011
2,851
868
Nina rafiki yangu ambae tumetoka nae mbali sana, ni zaidi ya rafiki kwangu mana tunaishi kama ndugu kabisa. Jamaa yangu ana GF wake ambae amejiandaa atamvisha pete desemba hii, na wafunge ndoa april 2012. Jamaa anampenda sana huyu binti, tatizo ni nimekuja kugundua huyu binti si MWAMINIFU KABISA kwa jamaa yangu. Nimejua hili baada ya kumfuma live akiingizwa lodge kwenda kumegwa.Hapo lodge hawana bar kubwa ila kaunta ndogo ya vinywaji va wateja wanaolala na masofa pembeni ya wageni wa vinywaji tu. Siku moja mimi nkiwa nko mapokezi kaunta nateremsha lager akaja na mwanaume wakabuku chumba, ile anajeuka akakuta namwangalia. Akaja kunisalimia kwa kweli alitetemeka sana. Mpaka kajasho kakawa kanamtoka. Na alivo na bahati mbaya, mimi hupenda kunywa hapo, so nlishamwona 3times. Mara mbili hakuniona. Nikamuuliza kiujanja mtu wa pale mapokezi kuwa huyu dada kila nkija kunywa hapa nae huja kulalaga. Yule mtu wa mapokezi akanambia, huyu dada huwa anakujaga kulala hapo mara 2 au 3 kwa kila mwezi na huyo mwanaume.
Kwa kweli nimehuzunika sana. Jinsi ya kuanza kumwambia jamaa kuwa GF sio mwaminifu ndo inanishinda.
Mshkaji yani kapenda kama vile amewekewa dawa.
Wadau embu nipeni msaada wa jinsi ya kumweleza ukweli jamaa yangu huyu ajue afanyaje mapema.
 
Mkuu ushauri utaupata kwenye thread flani hivi ya Bujibuji mana ni matatizo yanayofanana,kwa upande wangu kuna ushauri Afrodenz aliutoa kwamba njia nikumlengesha boyfriend wake,yaani mnajifanya mnaenda kupata moja baridi moja moto hizo sehemu bila we kumwambia chochote,so wakigongana uso kwa usoni ndo solution itapatikana.
 
chagua moja
kupiga kimya
au ukiona vp mlengeshe siku akienda kulala na huyo bwana
fanya kama mpo kwenye starehe kumbe una lako jambo lkn usimwambie mojakwamoja.
 
Mkuu ushauri utaupata kwenye thread flani hivi ya Bujibuji mana ni matatizo yanayofanana,kwa upande wangu kuna ushauri Afrodenz aliutoa kwamba njia nikumlengesha boyfriend wake,yaani mnajifanya mnaenda kupata moja baridi moja moto hizo sehemu bila we kumwambia chochote,so wakigongana uso kwa usoni ndo solution itapatikana.

hakuna cha kuongeza hapo, uko sawa!
Jamaa aje ahudhuria hapo counter wagongane wenyewe.
 
Mapenzi haya! Huff!

Nina rafiki yangu ambae tumetoka nae mbali sana, ni zaidi ya rafiki kwangu mana tunaishi kama ndugu kabisa. Jamaa yangu ana GF wake ambae amejiandaa atamvisha pete desemba hii, na wafunge ndoa april 2012. Jamaa anampenda sana huyu binti, tatizo ni nimekuja kugundua huyu binti si MWAMINIFU KABISA kwa jamaa yangu. Nimejua hili baada ya kumfuma live akiingizwa lodge kwenda kumegwa.Hapo lodge hawana bar kubwa ila kaunta ndogo ya vinywaji va wateja wanaolala na masofa pembeni ya wageni wa vinywaji tu. Siku moja mimi nkiwa nko mapokezi kaunta nateremsha lager akaja na mwanaume wakabuku chumba, ile anajeuka akakuta namwangalia. Akaja kunisalimia kwa kweli alitetemeka sana. Mpaka kajasho kakawa kanamtoka. Na alivo na bahati mbaya, mimi hupenda kunywa hapo, so nlishamwona 3times. Mara mbili hakuniona. Nikamuuliza kiujanja mtu wa pale mapokezi kuwa huyu dada kila nkija kunywa hapa nae huja kulalaga. Yule mtu wa mapokezi akanambia, huyu dada huwa anakujaga kulala hapo mara 2 au 3 kwa kila mwezi na huyo mwanaume.
Kwa kweli nimehuzunika sana. Jinsi ya kuanza kumwambia jamaa kuwa GF sio mwaminifu ndo inanishinda.
Mshkaji yani kapenda kama vile amewekewa dawa.
Wadau embu nipeni msaada wa jinsi ya kumweleza ukweli jamaa yangu huyu ajue afanyaje mapema.
 
Kumwambia moja kwa moja sio issue sana maana masuala ya mapenzi ndugu unaweza kumwambi ana asichukulie serious na wakaendelea na mapenzi yao utaonekana mbeya bure
La muhimu hapo ni kuwashikisha ayaone mwenyewe haya mambo
Duh mapenzi haya bana
 
Mkuu ushauri utaupata kwenye thread flani hivi ya Bujibuji mana ni matatizo yanayofanana,kwa upande wangu kuna ushauri Afrodenz aliutoa kwamba njia nikumlengesha boyfriend wake,yaani mnajifanya mnaenda kupata moja baridi moja moto hizo sehemu bila we kumwambia chochote,so wakigongana uso kwa usoni ndo solution itapatikana.

mkuu km inawezekana naomba linki ya huo ushauri.
 
chagua moja
kupiga kimya
au ukiona vp mlengeshe siku akienda kulala na huyo bwana
fanya kama mpo kwenye starehe kumbe una lako jambo lkn usimwambie mojakwamoja.

kupiga kimya itakuwa dhambi zaidi mkuu. Bora iyo ya nimlengeshe labda.
 
lakini kama huyo dada kamuona rafiki wa jamaa anaweza kubadili kiwanja pia...

sijui ni kujiamini au nini? Lakini hajabadili viwanja. Mana nimemwona same place with same person 3times.
Hapo hawajagi watu wengi kunywa, ndo mana labda anadhani haonekani.
 
Kumwambia moja kwa moja sio issue sana maana masuala ya mapenzi ndugu unaweza kumwambi ana asichukulie serious na wakaendelea na mapenzi yao utaonekana mbeya bure
La muhimu hapo ni kuwashikisha ayaone mwenyewe haya mambo
Duh mapenzi haya bana
yaani ndo hivo,unaenda kumwambia live baadaye unakuta wakipatana unaonekana we mbea na mnafiki halafu wote wanakuwa adui zako
 
yaani ndo hivo,unaenda kumwambia live baadaye unakuta wakipatana unaonekana we mbea na mnafiki halafu wote wanakuwa adui zako

kabisa mkuu bora kukaa mbali san ana mambo ya wawili wapendanao maana siku kikigeuka utaonekana balaa na unaweza kusutwa mbaya
 
1. Chukua namba ya huyo jamaa wa mapokezi incase siku wakija akufahamishe in advance well you can tip him/her some little amount of money
2. Binti anaweza kubadilisha kiwanja baada ya kuwa amegundua kuwa umeishambamba tayari
3. Muulize jamaa yako kama anaweza akaweka GPS locator kwenye simu ili ajue GF huwa anakuwa wapi, its possible sema wengi wetu hawajui how it works

NB: Usimwambie kuwa mimi ndio nimekupa huu ujafanja
 
Kumwambia moja kwa moja sio issue sana maana masuala ya mapenzi ndugu unaweza kumwambi ana asichukulie serious na wakaendelea na mapenzi yao utaonekana mbeya bure
La muhimu hapo ni kuwashikisha ayaone mwenyewe haya mambo
Duh mapenzi haya bana

mdau watu wanasema ukipenda sana unakuwa kipofu. Jinsi jamaa anamwamini GF wake, sidhani kama atadhani nko siriaz. Ndo mana naomba mnambie namna ya kumwambia kwa staili asijeniona mi mmbea.
 
1. Chukua namba ya huyo jamaa wa mapokezi incase siku wakija akufahamishe in advance well you can tip him/her some little amount of money
2. Binti anaweza kubadilisha kiwanja baada ya kuwa amegundua kuwa umeishambamba tayari
3. Muulize jamaa yako kama anaweza akaweka GPS locator kwenye simu ili ajue GF huwa anakuwa wapi, its possible sema wengi wetu hawajui how it works

NB: Usimwambie kuwa mimi ndio nimekupa huu ujafanja

nikiomba namba ya simu ili anipe taarifa za huyo demu sio rahisi anipe, mana hapo ni kama anafukuza wateja. Na wala sikumwambia mtu wa kaunta kuwa namfahamu huyo demu.
 
mdau watu wanasema ukipenda sana unakuwa kipofu. Jinsi jamaa anamwamini GF wake, sidhani kama atadhani nko siriaz. Ndo mana naomba mnambie namna ya kumwambia kwa staili asijeniona mi mmbea.

Mkuu ndo maana nimekuambia unaweza kuja onekana mbeya baadae na mnafiki wawili wanpendanao watakapotupilia mbali tuhuma zako na kuendelea na mambo yao
Kuwa makini sana bora umkamatishe moja kwa moja ajionee mwenyewe na siku unaenda kufanya hayo wala haina haja kumwambia ni yeye ajionee mwenyewe na wewe vile vile unajifanya kushangaa na kushtuka
Ila unamwambia mimi nakuja hapa kwa starehe zangu ila hujawahi kushuhudia hayo
 
1. Chukua namba ya huyo jamaa wa mapokezi incase siku wakija akufahamishe in advance well you can tip him/her some little amount of money
2. Binti anaweza kubadilisha kiwanja baada ya kuwa amegundua kuwa umeishambamba tayari
3. Muulize jamaa yako kama anaweza akaweka GPS locator kwenye simu ili ajue GF huwa anakuwa wapi, its possible sema wengi wetu hawajui how it works

NB: Usimwambie kuwa mimi ndio nimekupa huu ujafanja

nikiomba namba ya simu ili anipe taarifa za huyo demu sio rahisi anipe, mana hapo ni kama anafukuza wateja. Na wala sikumwambia mtu wa kaunta kuwa namfahamu huyo demu. Gps locator tena? Mi nshampaga angalizo la juu juu kuwa, embu mpelele GF wako, mwenyewe mbishi kweli.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom