Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Mimi km mwanamke wa Kitanzania KWA ZAID YA MIAKA 10 SIJATUMIA KILEVI AINA YYT, SIJAVUTA SIGARA,BANGI WL KUTUMIA AINA YYT YA DAWA ZA KULEVYA, PIA KWA MM NI MWAMINIFU SN ZAID YA MIAKA 10 SIJAWAHI...
11 Reactions
56 Replies
4K Views
Jana nilikuwa napitia kidogo kwenye akaunti yangu ya FB ambayo nimeifanya yatima siku hizi. Katika pita pita zangu nikagundua kitu kimoja, picha nyingi za wanawake zinazopostiwa siku hizi...
0 Reactions
43 Replies
4K Views
Kuna watu huwa wananikera sana 1. Ukimuuliza swali badala ya kujibu naye anauliza swali. 2. Kujifanya kila kitu anajua. 3. Mchonganishi i.e mtu wa majungu hovyo.
0 Reactions
136 Replies
8K Views
zamani wakati tunakua ilikuwa ukitaka kumtongoza msichana unatumia muda mrefu na wakati mwingine njia mngumu sana mpaka umuweke kwenye himaya yako. Kwa mfano kama unakaa kijijini unaweza kwenda...
0 Reactions
55 Replies
9K Views
Habar wanajf mwenzenu nina tatizo naomben ushauri, nimeoa nina mtoto mmoja lkn mazingira ya kazi yangu magumu yanapelekea kuwa na familia yangu wiki mbili katika Miezi minne, je mnahisi natimiza...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Kwanza kabisa wana JF,napenda kuwaarifu kwamba me ni member mpya kwenye hili jukwaa,naahidi tutashirikiana ktk kuchangia mada zile zitakazotumwa.Baada ya utangulizi huo,naomba kila mmoja kwa...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Jamani naomba kuuliza, hivi mungu anaweza kumwambia mke wako wa ndoa iliyo dumu mwaka mmoja eti akuache kwa kumuotesha usingizini
1 Reactions
20 Replies
3K Views
Habari za hasubuhi wana JF!Mapenzi jamani yanaumiza sana. Nina mpenz wangu ki ukweli nina mpenda sana ila juzi juma mosi kimetokea kisa kimoja. Niliingia kazini juma mosi hasubuhi na ilipofika...
1 Reactions
69 Replies
6K Views
Jamani wana MMU naombeni kuuliza hivi ni kwanini ukiweka picha yako kwenye Facebook lazima itasifiwa hata ikiwa mbaya vipi, binafsi nimejaribu kuweka picha niliyotoka hovyo kabisa, lakini...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Kuna watu ambao wamewahi "kujikuta" kwenye kitendo cha ngono na mtu ambaye baadaye au kesho yake wanajutia kwanini ilitokea hivyo. Na mara nyingi inatokea katika mazingira ya sherehe sherehe hivi...
3 Reactions
24 Replies
3K Views
jaman network searchng....., available, searchn............., jaman wanawake wafanyabiashara ni balaa tupu! Simu haizimwi,nimechoka naye, ugomv wetu ni cmu, uko uwanjan hajal ni kona, goalkick, au...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
On your birthday, I wish you only smiles and joy A wonderful celebration, a gathering of friends, great happiness and joy that never ends. May your special day be filled with memories and...
7 Reactions
122 Replies
29K Views
Jamani wale wenzangu na mie wadadakwa wakaka tunaopanda daladala.. utakuta mtu kwenye daladala anasikiliza mziki kwenye simu yake simu yenyewe ya kichina, nasema ya kichina cz ni simu...
3 Reactions
15 Replies
1K Views
salam sana.nilijaribu kufanya ka uchunguzi nikagungua wanawake wengi wenye sura za kuvutia wapo katika hatari ya kuambukizwa magonjwa ya zinaa ikiwamo UKIMWI.Pia wengi wao hawajui mapenzi na ua...
0 Reactions
33 Replies
13K Views
Nawasabahi waungwana...maranyingi ktk mijadara isiyorasmi swaala hili limekuwa likijadiriwa na mwisho wa hiyo mijadala watu wamekuwa wakikubaliana kuwa ni kweli kwamba wanaume wasio-kunywa...
0 Reactions
35 Replies
5K Views
Unakuta boy na gal wake wanakutana mahali,let say rum kwa mshkaji, wana do haraka haraka,thn hata hawaogi,wanaondoka hvo hvo kwenda kwenye misele yao.nimeisha shuhudia visa vya namna hi mara...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Imefahamika kuwa vitendo vya kishoga kwa our fellow brothers wa kitz wanaoishi Atlanta GA vimeshika kasi ya ajabu.Wengi wamekuwa wakifanywa vitendo hivyo kwa kutafuta urahisi wa maisha.Hii...
0 Reactions
28 Replies
5K Views
Wote tunavaa nguo zinazo itwa nguo za ndani, boxer, nguo ndogo, chupi ni baadhi ya maneno yanayo tumika. Swali: Ivi nani anawajibu wa kumFulia mwenzie nguo yake ya ndani. (mke /mume/HG ?).
0 Reactions
34 Replies
3K Views
Eti jamani ni kweli mchumba anatafutwa kwa mitandao kama huu
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Mara nyingine unaweza kujiuliza kwanini mtu kachagua ID fulani, Unaweza kucheka, kuchukia au kubaki kawaida na maswali yako. Kwa upande wangu nastahili kuitwa/ kujiita mcharuko. Naongea kutoka...
5 Reactions
152 Replies
16K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…