Sabung'ori
JF-Expert Member
- Jul 19, 2011
- 2,166
- 1,247
Nawasabahi waungwana...maranyingi ktk mijadara isiyorasmi swaala hili limekuwa likijadiriwa na mwisho wa hiyo mijadala watu wamekuwa wakikubaliana kuwa ni kweli kwamba wanaume wasio-kunywa pombe,kuvuta sigara au starehe nyingine inayo-fanana na hizi,starehe yao ni kufanya mapezi na wanawake.Sijui utafiti huo ulifanyika wapi lakini ndo hivyo huku mitaan watu wanavyoamini.Sasa ngependa kujua je na wanawake nao wasiokunywa pombe,kuvuta sigari au mambo yanayo fanana na hayo nao starehe yao ni kufanya mapezi na wanaume??.Najua humu JF kuna wenyeufaham mpana watanielewesha vizuri...NAWASILISHA