Kweli inaweza kutokea "kwa bahati mbaya"?

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,475
39,991
Kuna watu ambao wamewahi "kujikuta" kwenye kitendo cha ngono na mtu ambaye baadaye au kesho yake wanajutia kwanini ilitokea hivyo. Na mara nyingi inatokea katika mazingira ya sherehe sherehe hivi. Kisa kimoja ambacho kiliwahi kunishangaza sana na jamaa ambaye alijikuta ametoka na mke wa rafiki yake na kisingizio pekee ni kuwa "walikuwa wamelewa". Na wengine wamekuwa wakitumia maneno kuwa "one thing led to another" wakimaanisha kwamba labda walianza kutaniana, kugusana n.k na mwisho wakajikuta kwenye mazingira tamanishi.

Hapa inabidi tuhoji:

a. Je ni kweli suala hilo laweza kweli kutokea kwa bahati mbaya?
b. Je, majuto yanayofuatia ni ishara kuwa mtu kweli hakuwa amefikiria - na hasa watu ambao wanajikuta kweli wanajutia tendo hilo?
c. Je, mtu aliyeingia kwenye mazingira hayo tamanishi anaweza kweli kujiamini tena mbele ya yule mtu mwingine - hata kama hakumbuki?
d. Je kutokea kwa bahati mbaya ni uhalalisho wa kuanzisha "full scale" affair? au kama kweli unajutia usirudie tena? Inakuwaje kwa wale ambao baadaye wanaanza kuwa curious tena?

Lakini je kuna watu ambao wamewahi kujikuta ile "bahati mbaya" imegeuka kuwa ni bahati "nzuri" ya kuanzisha uhusiano wa kudumu? itakuwaje wale wengine ambao wanatengeneza "bahati mbaya" kwa sababu tu wanajua wanaweza kudai kuwa "walikosea"?
 
Hamna dhambi yenye maandalizi marefu kama uzinzi. Unaanza kwa kuona, kisha unatongoza, koisha unakataliwa halafu unabembeleza, unaongeza vinywaji na nyama choma nyingi zaidi, maonghezi yananoga, vidole vinapapasa, midomo inakutana, mdudu James anasisimka, unaficha bibi asione. Mnatoka, mnaanza kutafuta gesti. Mnaenda Sinza mnakuta gesti zote zimejaa, mnakimbia, mnafika Ubungo mnakuta kuna foleni kali, mnanza kutafuta short cut, mnaenda Tabata, mnapata chumba, mnapapasana tena, mnanyonyana, mnavua nguo, mnafanyana hadi mnachubuana kama mmejikwangua kwenye makokoto, mnapitiwa na usingizi mzito, mnalala kama mapoepo wachafu.
Asubuhi kumekucha, unaanza kujipapasa, pembeni unaona condoms mpyaaaaa, ukijicheki mdududu James amechubuka na damu zinamtoka.
Haya niambie hiyo bahati mbaya hapo iko wapi?
 
Hamna dhambi yenye maandalizi marefu kama uzinzi. Unaanza kwa kuona, kisha unatongoza, koisha unakataliwa halafu unabembeleza, unaongeza vinywaji na nyama choma nyingi zaidi, maonghezi yananoga, vidole vinapapasa, midomo inakutana, mdudu James anasisimka, unaficha bibi asione. Mnatoka, mnaanza kutafuta gesti. Mnaenda Sinza mnakuta gesti zote zimejaa, mnakimbia, mnafika Ubungo mnakuta kuna foleni kali, mnanza kutafuta short cut, mnaenda Tabata, mnapata chumba, mnapapasana tena, mnanyonyana, mnavua nguo, mnafanyana hadi mnachubuana kama mmejikwangua kwenye makokoto, mnapitiwa na usingizi mzito, mnalala kama mapoepo wachafu.
Asubuhi kumekucha, unaanza kujipapasa, pembeni unaona condoms mpyaaaaa, ukijicheki mdududu James amechubuka na damu zinamtoka.
Haya niambie hiyo bahati mbaya hapo iko wapi?

Hilo nalo neno!

Ubarikiwe
 
Bujibuji aisee kuna watu hawana maandalizi marefu namna hiyo.... sijui ndio ushetani wenyewe, ukame, au usongo.. wengine wanakuwaga kama wanyama hivi - akili zote 'out'.. ni baada ya tukio ndio wanaanza kujiuliza 'what happened'.
 
Siamini kabisa kama kuna bahati mbaya duniani.
Wewe unajua kabisa chombo ukishika vibaya kikateleza na kuvunjika usingizie bahati mbaya hii haipo.
Unajua fika mapenzi bila kinga unapata mimba au dono au HIV ukipata kwa kuto tumia kinga usingizie bahati mbaya.
Bahati mbaya hakuna kabisa ila neno hili linatumika kuficha uzembe.
 
Kuna watu ambao wamewahi "kujikuta" kwenye kitendo cha ngono na mtu ambaye baadaye au kesho yake wanajutia kwanini ilitokea hivyo. Na mara nyingi inatokea katika mazingira ya sherehe sherehe hivi. Kisa kimoja ambacho kiliwahi kunishangaza sana na jamaa ambaye alijikuta ametoka na mke wa rafiki yake na kisingizio pekee ni kuwa "walikuwa wamelewa". Na wengine wamekuwa wakitumia maneno kuwa "one thing led to another" wakimaanisha kwamba labda walianza kutaniana, kugusana n.k na mwisho wakajikuta kwenye mazingira tamanishi.

Hapa inabidi tuhoji:

a. Je ni kweli suala hilo laweza kweli kutokea kwa bahati mbaya?
b. Je, majuto yanayofuatia ni ishara kuwa mtu kweli hakuwa amefikiria - na hasa watu ambao wanajikuta kweli wanajutia tendo hilo?
c. Je, mtu aliyeingia kwenye mazingira hayo tamanishi anaweza kweli kujiamini tena mbele ya yule mtu mwingine - hata kama hakumbuki?
d. Je kutokea kwa bahati mbaya ni uhalalisho wa kuanzisha "full scale" affair? au kama kweli unajutia usirudie tena? Inakuwaje kwa wale ambao baadaye wanaanza kuwa curious tena?

Lakini je kuna watu ambao wamewahi kujikuta ile "bahati mbaya" imegeuka kuwa ni bahati "nzuri" ya kuanzisha uhusiano wa kudumu? itakuwaje wale wengine ambao wanatengeneza "bahati mbaya" kwa sababu tu wanajua wanaweza kudai kuwa "walikosea"?

...labda tu alikuwa ameleweshwa saana kiasi cha kushindwa kujitambua maamuzi yake,
otherwise, huu utetezi kwamba ooohhh, "ni viumbe dhaifu..!" hapana kaka.
 
Kufanya Ngono/Uzinzi hakuna bahati mbaya,bahati mbaya ni kwa yule akiyebakwa tu,siyo kwa watu mliyokubaliana,----Ulitizama kwa macho,ukatamani kwa moyo,ubongo ukachekecha-kisha ukatamka kwa mdomo,ukampapasa kwa mikono ,ukmbusu( nyonya) kwa ulimi ukapanga mkutane wapi na saa ngapi,------------------------------------------Bado unasema ni Bahati Mbaya? Hakuna Bahati mbaya hapo.
 
Hamna dhambi yenye maandalizi marefu kama uzinzi. Unaanza kwa kuona, kisha unatongoza, koisha unakataliwa halafu unabembeleza, unaongeza vinywaji na nyama choma nyingi zaidi, maonghezi yananoga, vidole vinapapasa, midomo inakutana, mdudu James anasisimka, unaficha bibi asione. Mnatoka, mnaanza kutafuta gesti. Mnaenda Sinza mnakuta gesti zote zimejaa, mnakimbia, mnafika Ubungo mnakuta kuna foleni kali, mnanza kutafuta short cut, mnaenda Tabata, mnapata chumba, mnapapasana tena, mnanyonyana, mnavua nguo, mnafanyana hadi mnachubuana kama mmejikwangua kwenye makokoto, mnapitiwa na usingizi mzito, mnalala kama mapoepo wachafu.
Asubuhi kumekucha, unaanza kujipapasa, pembeni unaona condoms mpyaaaaa, ukijicheki mdududu James amechubuka na damu zinamtoka.
Haya niambie hiyo bahati mbaya hapo iko wapi?


Bujibuji siongezi neno hapo maana umemaliza yote
yaani umesema kwa uhakika kile halisi kilichopo
 
Bujibuji aisee kuna watu hawana maandalizi marefu namna hiyo.... sijui ndio ushetani wenyewe, ukame, au usongo.. wengine wanakuwaga kama wanyama hivi - akili zote 'out'.. ni baada ya tukio ndio wanaanza kujiuliza 'what happened'.
Anayejiuliza 'what happened?' huwa ni kichwa numero uno wakati kichwa namba mbili kishajilalia zake kwenye kufuli kama vile hamnazo.Kila siku nasemaga humu mmu,tatizo letu ni kuwa wanaume tuna vichwa viwili,kimoja kikiwa 'on' kingine kinakuwa offline.
 
Bujibuji aisee kuna watu hawana maandalizi marefu namna hiyo.... sijui ndio ushetani wenyewe, ukame, au usongo.. wengine wanakuwaga kama wanyama hivi - akili zote 'out'.. ni baada ya tukio ndio wanaanza kujiuliza 'what happened'.

Hasa wale wanaotembea na mabinti zao wa kazi (house girl) au member yeyote wa ndani ya familia (ndugu wa wife au...). kisa mama watoto kasafiri, unakuja usiku umelewa unafunguliwa mlango na binti mbichi ndani ya shimiz!, matokeo yake ghafla unachombeza, kumbe binti naye alikua wa ki-tanga au mzaramo!, unaenda nae chumbani kwa mama watoto!, aisee!
 
Anayejiuliza 'what happened?' huwa ni kichwa numero uno wakati kichwa namba mbili kishajilalia zake kwenye kufuli kama vile hamnazo.Kila siku nasemaga humu mmu,tatizo letu ni kuwa wanaume tuna vichwa viwili,kimoja kikiwa 'on' kingine kinakuwa offline.

Bishanga, nimeipenda hiyo!!!
 
Anayejiuliza 'what happened?' huwa ni kichwa numero uno wakati kichwa namba mbili kishajilalia zake kwenye kufuli kama vile hamnazo.Kila siku nasemaga humu mmu,tatizo letu ni kuwa wanaume tuna vichwa viwili,kimoja kikiwa 'on' kingine kinakuwa offline.

Utafiti wa hili jambo ndio unaweza kutoa jibu sahihi. Kama ni kweli, basi sio ajabu kichwa kilichokua ''offline'' kikiwa ''on'' kikalaani yaliyotokea na hivyo kwa upande huo itakua ni KWELI KUNA BAHATI MBAYA HAPO.
 
huo ni uongo mlishatamaniana siku nyingi tu ndo maana mkaweza kudo
halafu tabia ya kusingizia pombe siipendi kama nn
utakuta mtu anatukana halafu ukimuuliza kwann ulikua unafanya eti nililewa, unakusudia dhambi halafu unasingizia pombe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom