JICHO LA 3
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 356
- 62
Jamani wale wenzangu na mie wadadakwa wakaka tunaopanda daladala..
utakuta mtu kwenye daladala anasikiliza mziki kwenye simu yake
simu yenyewe ya kichina, nasema ya kichina cz ni simu zinazoongoza kwa kelele
badala ya kuweka headphone ili iwe kwa faida yake yeye anaweka sauti ya nje tena kali sana kiasi kwamba inakuwa kero kwa abiria mwenzake
wengine kuongea hatuwezi sababu huwezi jua unaemwambia atachukulia vipi suala hilo lkn kiukweli inaudhi.
ombi langu kama wengine mnatabia kama hizi bs jirekebisheni.
utakuta mtu kwenye daladala anasikiliza mziki kwenye simu yake
simu yenyewe ya kichina, nasema ya kichina cz ni simu zinazoongoza kwa kelele
badala ya kuweka headphone ili iwe kwa faida yake yeye anaweka sauti ya nje tena kali sana kiasi kwamba inakuwa kero kwa abiria mwenzake
wengine kuongea hatuwezi sababu huwezi jua unaemwambia atachukulia vipi suala hilo lkn kiukweli inaudhi.
ombi langu kama wengine mnatabia kama hizi bs jirekebisheni.