Ngomo
JF-Expert Member
- Oct 15, 2009
- 200
- 95
zamani wakati tunakua ilikuwa ukitaka kumtongoza msichana unatumia muda mrefu na wakati mwingine njia mngumu sana mpaka umuweke kwenye himaya yako. Kwa mfano kama unakaa kijijini unaweza kwenda kwenye kisima cha ktekea maji na kuomba muongee naye japo kidogo au hata kuongea unashindwa una mpa barua ya kumtaka mapenzi. siku ya siku akikukubalia ilikuwa kazi kweli kuvua nguo lazima uwe na nguvu za ziada ndipo uweze kufanikiwa; Vijana wa siku hizi wala hawana shida kabisa akikutana na msichana anamwambia oyaa huo mzigo utatoa na binti anamjibu kiulaini kabisa kwani wewe una shilingi ngapia halafu anatoa mzigo.