tofauti tu ni kwamba akitongoza yeye anatakiwa awe juu...!
Eti jamani ,
msichana akitongoza mvulana kwani kuna ubaya gani ?
tena mi huwa wanashia kuniniliwa hadi kwa kameruni halafu nduki mbaya asinizoee..
tena mi huwa wanashia kuniniliwa hadi kwa kameruni halafu nduki mbaya asinizoee..
Mbona enzi za wavulana kutongoza zilishakwisha siku nyingi?
Eh .. kutongoza ndio nini?