Mi niliona concert ya Fally ile ya kwanza hadi nikakata tamaa yaani, ilibidi nibadili channel. Wanawake wanamkatikia alafu na yeye anawachezea kwa dharau sana... cha kushangaza wana watu wao pale pale, wengine unaona mtu wake anamkataza kupanda, jukwaani, anamvuta mkono ila Fally anamwita basi dada anamsukuma mtu wake na kumkimbilia fally! hadi huruma nakwambia...
Mi huwa najiuliza sana kama wanadamu tunajitambua!Sijapata jibu kabisa!
Unakuta umeenda kwenye show ya msanii flan na mpenzi wako,cha kushangaza huyo mpz wako anajifanya anaenda kumtuza huyo msanii afu anamkatikia mauno as if wanajuana..inanikeraga sana hii tabia.
Unakuta umeenda kwenye show ya msanii flan na mpenzi wako,cha kushangaza huyo mpz wako anajifanya anaenda kumtuza huyo msanii afu anamkatikia mauno as if wanajuana..inanikeraga sana hii tabia.