Muce
Senior Member
- Dec 19, 2011
- 116
- 14
Nina mpenzi wangu ambaye nimekuwa nae kwa muda mrefu sasa ingawaje kuna kipindi tulikorofishana na kutowasiliana nae kwa muda, lakini baada ya kuweka mambo yetu sawa na kuanza ukurasa mpya. mwenzangu amepata mimba lakini cha kunishangaza hajanipa taarifa kuwa anamimba na mimi nipo mbali nae, taarifa hizo nimedokezwa na dada yake, akinituhumu eti sitoi huduma na kumjali kama anaujauzito, ingawaje kila mwezi ninamtumia pesa za matumizi, sasa mm kwa hili nimeingiwa na shaka kuwa yawezekana nimebambikwa, wadau naombeni ushauri wenu nichukue hatua gani? nimemuuliza kama anamimba amekataa na amesema hana.
nawasilisha.
nawasilisha.