Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Mim ni mvulana wa 28 yrs,niko na girl friend wangu miaka 2 Sasa,mda wote huu tumekuwa tukipendana bila ya matatizo,lakin hivi miezi miwili iliyopita yaan amebadilka mno,sometime mpaka nashindwa...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Wadau heshima zenu, Kuna dada tumefahamiana kama miezi miwil hivi, tumekuwa tukichati na kubadilishana mawazo. Mi mwanzon nikawa namvutia kasi, ila yy ndo akaanza kuniita mpenzi nikajua basi huyu...
0 Reactions
40 Replies
4K Views
Jambo wote wana wa familia ya JF??????. Bila kupoteza muda nimeona ni vyema nikaweka matokeo yangu ya uchunguzi nilioufanya kwa kipindi kirefu na kubaini mambo kadha wa kadha juu ya jambo...
0 Reactions
45 Replies
5K Views
Habari wana JF. Naomba kuelimishwa m2 anaposema/lalamika kwamba mwenzie ni mbabe katika mapenzi/mahusiano yao anakuwa anamaanisha kitugani. Niilimsikia dada mmoja akimweleza mwenzie kwa huzuni...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Pengine unaona malavidavi unayopewa na huyo mwanaume ama mwanamke ukahisi ndio mke ama mume sahihi uliepangiwa la hasha kuwa na mazoea ya kumruhusu mungu aingilie katio kwenye mahusiano yenu...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Someone will always be prettier,someone will always be smarter. Some of their houses will be bigger.some will drive a better car. Their children will do better in school and their husband will...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Hivi wana JF ni bora kuwa na girl au boy friend ambaye umempenda sana zaidi ya anavyokupenda au inabidi yeye akupende sana wewe zaidi ya unavyompenda? Jimwagemwage hapo....
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Ukikutana na watu wanakimbia huku wanalia na wewe unajiunga nao huku unawauliza wanakimbia nini au unawasimamisha wasikimbie ili wakuambie kinachowakimbiza au unaendelea kwenda kule ambako wao...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Hello JF, Naomba kueleweshwa hii kwa niaba ya rafiki yangu ambae ana mtoto mchanga wa miezi mitatu mmewe anamwambia kuwa wamzibue mtoto masikio. Je ni kweli huwa masikio ya mtoto yameziba? na ku...
1 Reactions
53 Replies
11K Views
Nategemea kuanza maisha ya ndoa hivi karibuni,nahitaji mafundisho ya Ndoa jinsi ya kuishi na mwanamke kila mtu kwa jinsi anavyojua yeye,unaweza kunitumia notes,kuni PM,kunipa websites na blog na...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Jamann... Mie mwenzenu umri unakaribia kunitupa...sasa nahitaji wife wa kuishi nae .. Yeyote mwenye contacts za msichana mzuri, tall, midweight (60-70kgs), any natural colour, educated ani PM...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Bila shaka JFs wote mu buheri wa afya. Wahenga waenziwe kwa msemo wao wa mficha uchi hazai. Mwenzenu najivua gamba baada ya kumpata diaresti ambaye nilimsaka kupita foramu hii ya jamii. Nilipata...
1 Reactions
23 Replies
2K Views
Napata wakati mgumu ninapokutana na email kama hii,hasa kwenye sparm.Hawa watu ni wakweli au? Dearest one, I am more than happy to read your reply to my mail, How is your day?i hope you...
0 Reactions
26 Replies
5K Views
natafuta mchumba wa kuwa nae kiukweli nijibu
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Sio mimi jamani nasikiliza redio ya mama rwakatare watu wanasema shida zao ili waombewe kuna dada anaitwa katherine wa tegeta anaomba maombi yenu ameporwa mchumba wke na binti wa kichaga msilamu...
1 Reactions
47 Replies
4K Views
Unaingia bar ukiwa mpole, mstaarabu na adabu zako zote. Tena kumbuka umetoka kwako kwa heshima kuwa baba kaenda matembezini, ofisini kwako mchana uliondoka kwa adabu zote kama boss. Hapo bar...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Mimi ni kama mkimbizi nyumbani kwangu. Kabla ya kuoa, nyumbani kwangu kulikuwa ndio kimbilio baada ya mihaingaiko yangu ya kutwa nzima, lakini tangu nimuoe mke wangu huyu ambaye nimedumu naye kwa...
6 Reactions
53 Replies
8K Views
Mimi ni mwanaume wa miaka 30. Ni mrefu kiasi cha 5' 9'. Nina umbo la kispoti. Nina elimu ya graduate. Nina busara na nimeokoka. Ni mwaminifu. Natafuta mchumba wa kumwoa mwenye sifa mzuri. Naomba...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Unakutana na binti mzuri cute, perfect figure, tumbo hamna shape saafi makalio si haba na kila kitu kingine anacho. Unasema ngoja nijikite mazima unatangaza ndoa anakuwa wako. Bwana wee hata...
4 Reactions
104 Replies
10K Views
Ni ushauri tu kwa akina dada: Leo nikiwa njiani kuelekea kwenye deiwaka kulitokea jambo ambalo kidogo ni la kusikitisha. Akiwa kwenye daladala ambayo ilijaza kupita kiasi dada mmoja alianguka...
4 Reactions
76 Replies
11K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…