gplus
Member
- Jan 3, 2012
- 14
- 1
Mim ni mvulana wa 28 yrs,niko na girl friend wangu miaka 2 Sasa,mda wote huu tumekuwa tukipendana bila ya matatizo,lakin hivi miezi miwili iliyopita yaan amebadilka mno,sometime mpaka nashindwa kuamin ni yule nayemjua au mwengine,mpaka nimekuwa simwamini tena kutokana ta vitabia vya hapa na pale,mfano zaman alikuwa sana muwazi kwangu lakin sasaiv hafanyi tena hivyo(especial kwenye sim yake alikuwa free nayo lakin sasaiv hayuko hivyo mfano msg ikiingia hushtuka sana tukiwa pamoja)imagine ameanza kwenda na sim yake bafuni kuoga nayo na vitu vingine vingi tu,sasa kuna siku msg ikaingia nikamuomba niingalie akanipa kuichek ile msg ilikuwa ya utata kidogo sema sikutaka kumuonyesha kama sijaipenda ile msg,lakin baadaye nikaichukua ile namba kwa kuifanyia kaz baadaye,baada ya siku mbili nilipiga ile namba kupokea alikuwa mwanamke ambaye rafik yake lakin sikuongea nilipiga tu kusikiliza saut.tunakaa pamoja hiyo siku kesho yake nilichelewa kurud kutoka kazini nikamkuka amenuninunia siku inayofuata akatumia akaondoka kwenda kwake na kuniambia amenikasirikia ni kimuuliza kwanin hataki kuniambia sababu gan yaan kakasika sasa niko nia panda sijui achokairika mpaka sasaiv ni kuchelewa kwangu kutoka kazin au je ikiwa kama kagundua kama nilimzunguka kwa kuchukuwa ile namba na kuipiga itakuwaje na nitajitetea vip?na ikiwa bado nipo kwenye uchunguzi kwanin amebadilika siku izi?na bado sijapata ukweli?maana nilipiga na namba ambayo siitumii sana,na sikuongea niliskilza sauti tu.sasa naona kama nilipata bahatimbaya kwenye uchunguzi wangu.jaman naombeni msaada wenu nitajiteteaje ili asifikirie kama nilimzunguka kuchukuwa ile namba kwa ajili ya uchunguzi wangu?