Ndio kwanza leo nasikia hayo, sasa kwa wale walio wachwa au kupewa mimba na muhusika akakimbia kwa yeye inakuwaje au anasaidiwaje?
Una kijanga nije tukizibue na mie?
Naa kikoton bug kizuri.
Hello JF,
Naomba kueleweshwa hii kwa niaba ya rafiki yangu ambae ana mtoto mchanga wa miezi mitatu mmewe anamwambia kuwa wamzibue mtoto masikio. Je ni kweli huwa masikio ya mtoto yameziba? na ku do ndiyo njia pekee ya kuyazibua?
Ndio kwanza leo nasikia hayo, sasa kwa wale walio wachwa au kupewa mimba na muhusika akakimbia kwa yeye inakuwaje au anasaidiwaje?