Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,779
Pengine unaona malavidavi unayopewa na huyo mwanaume ama mwanamke ukahisi ndio mke ama mume sahihi uliepangiwa la hasha kuwa na mazoea ya kumruhusu mungu aingilie katio kwenye mahusiano yenu chukua muda dada umpe mungu aingilie kati..akupe yule alie sahihi usimwombe huyo ulie nae awe sahihi la hasha mwache akuchagulie..ninao ushuhuda mzito sana juu yangu nakupa kama siri yako niliwahi kumfwata mch mwakasege nina itaji aniombeeeee mke sahihi wakti huo nikiwa na google,,akaniambia umeamua kweli nkamwambia kweliiiiii kabisa wakati huo nikiwa na binti nilie kaa nae 1yr uwezi amini ndan ya mwezi vitu vikaanza kuchench mara unajua niko ttyt unajua ..ukimtafuta insuch mapenzi yale ya zamani yakawa ndio bye bye ikawa kama yale maombi yanamtimua bila kujua leo niko na alie kutoka kwa bwana aka mama didy binti wa yesu
so njoo kwenye huo mkesha ijumaa saa tatu mpaka sita pale mwenge kanisa la mikocheni b assemblies of god ,kumbuka m si mshirika pale ila napenda kushiriki baadhi ya vipindi vinavyoonijenga kiroho ,nduugu yangu utahisi unapoteza muda lakini mkesha una mambo makubwa ,tupunguze kuwapa shida wale majaji mahakimu kila siku kwenye kesi za ndoa jamani tuombe intervation ya mungu kabla akijalipuka
nawatakia ndoa yenye baraka ana amani
so njoo kwenye huo mkesha ijumaa saa tatu mpaka sita pale mwenge kanisa la mikocheni b assemblies of god ,kumbuka m si mshirika pale ila napenda kushiriki baadhi ya vipindi vinavyoonijenga kiroho ,nduugu yangu utahisi unapoteza muda lakini mkesha una mambo makubwa ,tupunguze kuwapa shida wale majaji mahakimu kila siku kwenye kesi za ndoa jamani tuombe intervation ya mungu kabla akijalipuka
nawatakia ndoa yenye baraka ana amani