Siku zote mapenzi ya HONEY,DEAR,SWEETIE,BABY,DARLING hayadumu!!!!!

KIBURUDISHO

JF-Expert Member
Mar 28, 2011
1,002
274
Jambo wote wana wa familia ya JF??????.
Bila kupoteza muda nimeona ni vyema nikaweka matokeo yangu ya uchunguzi nilioufanya kwa kipindi kirefu na kubaini mambo kadha wa kadha juu ya jambo hili.Natumai mlio wengi mtakubaliana na mimi na wachache mtakataa juu ya kichwa cha habari hii kinavyojieleza. Hayo majina niliyoyataja hapo juu siku hizi yanatumika vibaya na yamekuwa kivuli/ cha kuficha maovu yanayotendwa na wote wa jinsia mbili walioko kwenye mahusiano ya mapenzi si mwanaume au mwanamke.Na kwa kutumia majina hayo yakisindikizwa na sauti bembelevu unawe ukamfunania mke/mume lakini utakapotumia mjina hayo yatakusafisha na kuonekana huna doa lolote.Na mapenzi hayo ya hayo majina yaliyoko hapo juu yamejaa usaliti wa hali ya juu.Pia majina hayo humsababisha anayeitwa majina hayo kujiona yeye ndio yeye wala hakuna mwingine na inapotokea dili hilo kugeuka kuwa dirisha mapenzi hayo huyeyuka na kumwacha mmoja aliyebweteshwa na hayo majina akiwa na maumivu makubwa moyuoni.
 
Ah tumeshazowea kuitwa hivyo na tunalizwa na hao hao wanaotuita hayo majina mwishoni tunakua manunda sie pia tunawaumiza...
 
This is a fallacy of generalization....hata akuite my stone or my pumpkin akiamua kukusaliti ataweza tu regardless of the nomenclature given.....usaliti ni tabia ya m2 bhana!!
 
sasa unashauri nini? Ukifanya utafiti wa tatizo unatakiwa utafute na dawa ya hilo tatizo. So umegundua dawa gani itumike??
 
Jambo wote wana wa familia ya JF??????.
Bila kupoteza muda nimeona ni vyema nikaweka matokeo yangu ya uchunguzi nilioufanya kwa kipindi kirefu na kubaini mambo kadha wa kadha juu ya jambo hili.Natumai mlio wengi mtakubaliana na mimi na wachache mtakataa juu ya kichwa cha habari hii kinavyojieleza. Hayo majina niliyoyataja hapo juu siku hizi yanatumika vibaya na yamekuwa kivuli/ cha kuficha maovu yanayotendwa na wote wa jinsia mbili walioko kwenye mahusiano ya mapenzi si mwanaume au mwanamke.Na kwa kutumia majina hayo yakisindikizwa na sauti bembelevu unawe ukamfunania mke/mume lakini utakapotumia mjina hayo yatakusafisha na kuonekana huna doa lolote.Na mapenzi hayo ya hayo majina yaliyoko hapo juu yamejaa usaliti wa hali ya juu.Pia majina hayo humsababisha anayeitwa majina hayo kujiona yeye ndio yeye wala hakuna mwingine na inapotokea dili hilo kugeuka kuwa dirisha mapenzi hayo huyeyuka na kumwacha mmoja aliyebweteshwa na hayo majina akiwa na maumivu makubwa moyuoni.

Sio Kweli!!! Labda kwako tu Mkuu hii theory in apply lakini si kwa jamii yote. Pole kwa yaliyokukuta
 
Mimi natumia moja ya majina hapo juu na mpenzi wangu lakini tupo poa

Sema Ogopa sana hayo mapenzi yenu vijana ya kukaa samaki samaki kila wkend.
 
Haaaaahaaaaaaa teeeeeeeeeehhhhhhhhhhhhhh teeeeeeeeeeeeehhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh
hata umwite lion akiwa na roho hiyo noshaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Tafiti yako kwa asilimia fulani ina nusu uongo nusu ukweli.
Wapo ambao wanatumia majina hayo na mapenzi yao yapo moto moto kwa sababu wanapendana na wanaheshimiana na wanatumia maneno hayo kwa kumananisha.

Ila kwa matapeli wa mapenzi maneno hayo hutumika kama kinga ya nira mbaya ya uovu.
 
Usaliti hautokani na majina wala kubembelezana, unatokana na watu bila kujali wanawaita na kuwatreat vipi wenzi wao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom