Kuna watu wengi wamekosa amani kutokana na kusubiri kuombewa ama kusaidiwa katika mbali mbali
kuna wakati akuna kitu kizuri kama kujua adui wako anakupiga silaha hii na mie lazima nitumie silahaa...
Wadau nimeongea na baadhi ya wanandoa na kwa kiwango kikubwa wanawake wamekuwa wakiwatupia lawama wanaume kwamba si wavumilivu na waelewa inapokuja suala la KUJAMIANA,wanaume wakihitaji ngono...
Kudeka ni tabia ya mtu kutaka kupata kila anachokitaka kwa wakati anaotaka, kufanyiwa kila kitu bila kujishughulisha sana, kubembelezwa kila wakati na kutoambiwa kwamba amekosea. Mtu anayedeka pia...
Wanajamvi naomba kuelimishwa/fahamishwa juu ya hili.
Mim ni kijana mwenye umri wa miaka 26.Nimekaa zaidi ya 8 yrs bila kufanya mapenzi.Lakin kwa sasa ninampango wa kutafuta msicha wa kuoa.Mim...
Nimegundua kuwa "magwiji" wa mmu wana id zaidi ya moja...wengine mbili, tatu, nne hata tano na kuendelea.
Na kila moja ina matumizi yake.
Kuna ile ya "ugwiji" hii wanaitumia pale wanapoona wana...
Hali zenyu bhana! Hope hamjambo wanajamii wenzangu. mimi ni ke nina b/f wangu yupo mkoani. To be honestly ninampenda jamani. Tatizo ni kwamba yeye haoneshi kama ananipenda. Naweza m-call hata cku...
Inanisumbua kichwa wadau ;ni kipindi cha zaidi ya miezi tisa nimefahamiana na dada mmoja. Tulikutana arusha nilikenda kumtembelea mama yangu mdogo maeneo ya njiro karibu na chuo.kilicho pelekea...
Habar wapenz, jaman nina mpenzi tena tuna miaka 4,ambaye kwa wazaz wangu anafahamika na kwe2 pia anafahamika, umezuka ugomvi bila sababu eti anataka password za email yangu kwa nguvu kwa lazima...
Mie ni mwanaume! Nahitaji lesbian wa kunifundisha romance! I am very poor kumprepare mwanamke kabla ya tendo la ndoa! Naamini nikimpata lesbian anaweza kunisaidia practically! Bei kuanzia laki...
Habarini wana JF
Kuna wakati vijana wanapoingia kwenye mausiano na hasa wote wakiwa wasomi huwa very "optimistic" sana na hudhania mambo mengi mepesi kumbe sio uhalisia
mwanaume na mwanamke wote...
Nilikua nasoma utafiti mmoja kwenye jarida moja hivi la Zimbabwe,utafiti huo unadai kuwa wanawake wanapokuwa katika zile nyakati ambazo akikutana kimwili na na mwanaume anapata mtoto huwa wanakuwa...
Kuna mtu aliye karibu na first family kaniambia kuwa Bi Mkubwa - First Lady amejifungua hivi karibuni, lakini suala zima linafanywa siri sana. Mimi nimeshangaa kwani sijawahi kumuona akiwa mja...
kila nikiingia humu mmu nakuta post mbili au tatu ndo watu wanaoeleza mambo mengine zaidi ya natafuta. Ila zilizobaki wao wanatafuta tu. Sasa waliopata inakuwaje mbona hamleti feedback na pia...
Sihitaji mada yangu ihamishiwe kule love connect. Hapa inatosha. Kimsingi upweke unanitafuna sana. Katika umri wangu wa miaka 34 sijawahi kuwa na mwenza niseme huyu ni wangu japo kwa mwaka...
Habari ya asubuhi wadau
Leo ningependa ku share nanyi kisa kilicho mkuta kaka yangu.
Mnamo mwishon mwa mwaka jana kaka yangu aliugua. Na kipidi hicho mkewe na mtoto wake mwenye umri wa miaka...
Unakuta mwanaume anajitahidi kumjali msichana wake kwa kila hali,kuanzia pesa nk,bt mwisho wa cku unaishia kwa mwanaume kulambwa kibuti kitakatifu..jaman wadada,mtuonee huruma.
Nimekaa sehemu najaribu kuifukuza wikiendi. Mara anatokea mama mmoja mtu mzima hivi takribani wa miaka 50. Japo amekwenda age lakini anaonekana amenona pengine kutokana na matunzo. Akakaa karibu...