Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Mimi ni mdada wa miaka 29. Natafuta rafiki na kama mambo yakienda vema we can share the rest of our life together. Sifa zangu Dini - mkristo Mrefu wa wastan around 168cm Maji ya kunde...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
natafuta penzi la kweli na la dhati, silipati duh! hadi nimechoka mie. sasa basi ni bora kushukuru Mungu ndio majaliwa yangu.:embarassed2::shock:
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Yananichanganya sana haya maneno hasa juu ya tofauti iliyopo kati yake. Naomba tu mniaeleze ili nami nijue tofauti yake. Maneno yenyewe ni haya: Umalaya, uasherati, uzinzi na ukahaba. Nini...
1 Reactions
10 Replies
7K Views
Kuna jamaa yangu hapa anahuzunika sana,ana ma gals wengi tu,wamejitahidi sana kumtumia kadi za valentine,zawadi,sms kwa wingi.Anacholalamika ni kwamba,yule anae mpenda,hajajisumbua hata kufanya...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Usiku WA jana,rafiki yangu ambaye ameoa hivi karibuniamenihadithia kituko cha kimahusiano.Ilikuwa hivi: jamaa alikuwa na mkewewakiangalia taarifa ya habari TBC1.Sasa mkewe akawa anatuma ujumbe...
1 Reactions
28 Replies
3K Views
Kama unatafuta viumba kwenye nyumba za kulala wageni vimejaa Dsm yote. Hivyo jeshi limeweka mahema uwanja wa taifa.
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Better Sex Starts Here If you want to turn up the heat in the bedroom, it can be as simple as lacing up your sneaks. After all, staying in shape doesn’t just help you look good—it can enhance...
2 Reactions
17 Replies
3K Views
*Habari zenu wana jamiiforum wenzangu? Naitwa Sagao niko Mbeya, natafuta marafiki wa kuchat nao popote ulimwenguni, sina ubaguzi wa dini, kabila wala umri. Email yangu ni sagaonew@gmail.com na...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Tangu jana saa moja usiku, kila navyoruka hewani simu yake iko bize, bahada ya muda ikawa haipatikani kabisaa, nikituma sms "not sent", saa kumi usiku huu nampata hewani! ananikatia cm! Jamani...
0 Reactions
26 Replies
2K Views
Babari zenu waungwana, Kwamasitiko makubwa sana naandika haya,mimi ni mama wa watoto 2 tumeishi na mumewangu kwa dhiki kiasi ambacho hata hela ya kodi nalipa Mimi na haikunikera nilijua kua ipo...
0 Reactions
40 Replies
8K Views
Rafiki yako anakutumia meseji kukusallimu, halafu mwisho anamalizia na msalimie mkeo! anaweka na alama za kushangaa tatu (!!!), maana yake nini aiseee? Au nishaibiwa? ---- Message hii imetumwa na...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Wana JF, kusisitizia hoja alietoa Ndugu Mutabuzi yesterday kuhusu ndoa na mahusiano ya sasa, Naomba kila mmoja mwenye ndoa and partner humu ajaribu zoezi la kubadilishana simu (Mobile Phones) na...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Imeshauriwa wawili manaopendana mke na mume,Wachumba badilishaneni simu za mkononi kwa masaa angalau sita siku ya Valentine ili kuonyesha uaminifu na upendo wa dhati,mpe mpenzi wako simu yako...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari za leo ndugu wana jf,jana jioni nilivyorudi nyumbani toka kazini,nikiwa chumbani kwangu nikawasikia majirani wakijadiliana suala la ugomvi wa mpangaji mmoja kuwa waligombana na mumewe kisa...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
jamani kwanza ninawatakia valentine njema wale woote ambao mapenzi yao hayana matatizo wala migogoro.. pili ninaomba msaada kwa hili jamani.. i hav a girl who used to love me so much.. na siku...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Leo ni siku inayoitwa Valentine Day. Wengi wetu tunafahamu historia ya kidini ya siku hii. Sitaki nizungumzie hilo. Maoni yangu ni namna siku za hivi karibuni siku inavyopotoshwa kabisa. Leo...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Nilipo maliza kidato cha sita nilienda kuishi katika kijiji cha usangi,ambacho kipo wilayani mwanga mkoa wa kilimanjaro,nilikutan na mwanadada mmoja aliyeitwa neema.Ambaye nilifanikiwa kuanzisha...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nimesoma sana posts za MMU na nimegundua kitu: wanaume wengi wanaamini kuna wife material na girlfriend material. Wife material ni mpole, mtiifu, ana background nzuri, ni msomi kiasi, future...
17 Reactions
129 Replies
10K Views
migogoro mingi ya maisha ipo kila kukicha, mafarakano mengi ndani ya mahusianoi yapo kila dakika. lakini hiyo bado haituzii kupenda, kutunzana namengineo mengi. kuna mambo mengi yanayotufanya...
22 Reactions
64 Replies
6K Views
I wish you all the best katika siku hii.
1 Reactions
25 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…