afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,207
migogoro mingi ya maisha ipo kila kukicha,
mafarakano mengi ndani ya mahusianoi yapo kila dakika.
lakini hiyo bado haituzii kupenda, kutunzana namengineo mengi.
kuna mambo mengi yanayotufanya tupende wepenzi wetu,
yaweza kuwa yaweza kuwa unampenda yeye sababu mnajuana ndani nje,
mmekuwa pamoja kwa muda mrefu sana, au vitu kama personality yake ina
kuvutia kiasi kwamba wamfikiria kila dakika, na kuna wale wenzangu na mie
wanaopenda ndevu, macho, masikio yake, sijui mdomo, pua , kofia , mfupi etc.
swali nini haswa kinakufanya umpende ulienae?
siku tamu..
kuna wengine hawataisahau , siku fulani katika mahusiano yao,
na hata baada ya mahusiano kuporongoka bado kuna siku au kuna
kitu alipewa ambacho hata kisahau daima..
Je una siku tamu ambayo huta kaa uisahau? au una kitu ambacho
hutakaa ukisahau?
siku tamu na mambo matamu ndio yanayotufanya tusonge mbele, waweza kuwa na siku mbaya sana ila ukikumbaka
kitu fulani kizuri, tabasamu fulani tu linarudi taratibu..
Muwa na vilentine Njema kabisa na mbarikiwe sana..