Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,157
- 10,655
Wadau,
This is serious, dogo kaja mbio amechanganyikiwa... he loves siblings, na anvyohisi wote wanampenda na kama na wao hawaelewi wafanyeje, they are scared to ask him and he is scared kwani bado hawajafika ile hatua ya physical nanihii
I told him its ok, ila cha maana ni kufanya maamuzi na kujiandaa kumuumiza mmoja wao, which may cost him a wonderful partner... pia ajiandae na mazingira magumu sana ya mawasiliano.
Kama kaka nilimaliza kwa kusema awe very straight kwani yuko juu ya kuti kavu....
brothers and sister, kama ungekua wewe ungemshauri vipi kijana? he is in his prime, 28 years, working na ndio anaanza kufunguka na maisha yake
This is serious, dogo kaja mbio amechanganyikiwa... he loves siblings, na anvyohisi wote wanampenda na kama na wao hawaelewi wafanyeje, they are scared to ask him and he is scared kwani bado hawajafika ile hatua ya physical nanihii
I told him its ok, ila cha maana ni kufanya maamuzi na kujiandaa kumuumiza mmoja wao, which may cost him a wonderful partner... pia ajiandae na mazingira magumu sana ya mawasiliano.
Kama kaka nilimaliza kwa kusema awe very straight kwani yuko juu ya kuti kavu....
brothers and sister, kama ungekua wewe ungemshauri vipi kijana? he is in his prime, 28 years, working na ndio anaanza kufunguka na maisha yake